Ileje
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 9,524
- 13,682
Kweli wee mgonjwa! Ndiyo fedha zote vinginevyo ni wizi!Fedha zote za serikali? Hebu acha utoto😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli wee mgonjwa! Ndiyo fedha zote vinginevyo ni wizi!Fedha zote za serikali? Hebu acha utoto😂
Kwa hiyo tamasha la Kizimkazi ni tamasha la serikali, wewe vipi?Kweli wee mgonjwa! Ndiyo fedha zote vinginevyo ni wizi!
Kwani ni siri? Serikali ndiyo inagharimia kutoka fungu la Waziri Mkuu!Kwa hiyo tamasha la Kizimkazi ni tamasha la serikali, wewe vipi?
Weka ushahidi tuone. Acha kupayuka payuka hovyo🤣Kwani ni siri? Serikali ndiyo inagharimia kutoka fungu la Waziri Mkuu!
Ushahidi ni huu: Samia atahudhuria tamasha akiwa na gari ya ikulu, wapamba wa ikulu, askari wa serikali, magari ya serikali na viongozi wa serikali!Weka ushahidi tuone. Acha kupayuka payuka hovyo🤣
Unabaki kubabaika babaika tu.Ushahidi ni huu: Samia atahudhuria tamasha akiwa na gari ya ikulu, wapamba wa ikulu, askari wa serikali, magari ya serikali na viongozi wa serikali!
Na ile sauti za busara huwa ni nini ati!Kiukweli kwa kule zanzibar kuna matamasha ya kiutamaduni maarafu na yote ni matamasha yapo east coast, huko east cost ndio unapata kizimkazi,makunduchi,paje,michamvi,jambiani n.k.
Kati ya hizi pwani za east coast, tamasha maarufu zaidi ni tamasha la makunduchi( nafikiri wenyewe wanaita tamasha la mwakatogwa" ) na ilo la kizimkazi ndio linaitwa "tamasha la kizimkazi".
Kwa zanzibar , watu wa east coast na makunduchi ndio wajanja wao, hata serikilani na viongozi mbalimbali wanatoka huko, kwahyo ili tamasha likifika viongozi mbalimbali wa serikali wanendaga huko kutambika na wao.
Matamasha haya yapo tangu enzi na enzi, mm niliwai kuishi zanzibar kwa miaka kama mitano hivi, kipindi cha hizi tamasha,nikweli harakati mbalimbali zinapungua mjini, na watu mbalimbali wanaelekea east coast kwenye hizi tamasha, sisi waswahili wapwani ya tanganyika matamasha kama haya yapo ila tunaitwa "madogoli", na hizi tamasha za east coast ya zanzibar ni mfano wako, ni tamasha la pure pure la kiasili.
Nafikiri Mama ni mtu wa kizimkazi, ndio maana hili tamasha this time limefanyiwa promotions sana sana.
N.B
Kwa zanzibar tamasha maarafu la kiasili ni lile la makunduchi na siyo ili la kizimkazi.
Kwani uongo fedha za serikali zitatumika?Unabaki kubabaika babaika tu.
Weka ushahidi hapa wewe; mbona unaendelea kujibaraguza baraguza?Kwani uongo fedha za serikali zitatumika?