Nani anafadhili tamasha la Kizimkazi? Malengo yake ni yapi?

Nani anafadhili tamasha la Kizimkazi? Malengo yake ni yapi?

Yaani hili tamasha ni ujinga,kuna watoto wanakaa chini,ila Rais anafanya sherehe ili ajitangaze kwa kuwatumia kina Baba levo. Tanganyika maskini. Hata Magufuli aliyependa Chato hakuwahi fanya tamasha la hivi ili tuwajua mama zake sijui shangazi zake.
Dah. Tumwache mama aendelee kufanya yake. Hata mumseme, yeye ameamua kukaa kimya.
 
Nimewaona jana Machawa wake wakina Mwijaku na Babalevo eti wanaonesha shule aliyosoma na nyumbani kwa Mama yake mdogo.Aisee,kweli Tanzania tumepatwa safari hii!
Hebuni acheni roho mbaya hata kidogo, Kina Baba Levo na Mwijaku wameonesha kwenye account zao za social media wame post wenyewe ni kama wewe ukapost birthday yako kwenye account yako nani atakuuliza. Sasa kama umekereka wao kupost cha kwao basi ujumbe umefika maana lazima utapitia post zao. Ingekuwa wametumia main stream media ungekuwa na haki ya kuuliza. Wale ni makada na wako wazi wana msupport nani sasa shida iko wapi? Unatumia neno"Eti" neno la dharau wakati kazi ile ndio wanaishi maisha mazuri kuliko vijana wengi tu waliomaliza vyuo vikuu. punguzeni hasira na maisha pigeni kazi.
 
Yaani hili tamasha ni ujinga,kuna watoto wanakaa chini,ila Rais anafanya sherehe ili ajitangaze kwa kuwatumia kina Baba levo. Tanganyika maskini. Hata Magufuli aliyependa Chato hakuwahi fanya tamasha la hivi ili tuwajua mama zake sijui shangazi zake.
Kiukweli kwa kule zanzibar kuna matamasha ya kiutamaduni maarafu na yote ni matamasha yapo east coast, huko east cost ndio unapata kizimkazi,makunduchi,paje,michamvi,jambiani n.k.

Kati ya hizi pwani za east coast, tamasha maarufu zaidi ni tamasha la makunduchi( nafikiri wenyewe wanaita tamasha la mwakatogwa" ) na ilo la kizimkazi ndio linaitwa "tamasha la kizimkazi".

Kwa zanzibar , watu wa east coast na makunduchi ndio wajanja wao, hata serikilani na viongozi mbalimbali wanatoka huko, kwahyo ili tamasha likifika viongozi mbalimbali wa serikali wanendaga huko kutambika na wao.

Matamasha haya yapo tangu enzi na enzi, mm niliwai kuishi zanzibar kwa miaka kama mitano hivi, kipindi cha hizi tamasha,nikweli harakati mbalimbali zinapungua mjini, na watu mbalimbali wanaelekea east coast kwenye hizi tamasha, sisi waswahili wapwani ya tanganyika matamasha kama haya yapo ila tunaitwa "madogoli", na hizi tamasha za east coast ya zanzibar ni mfano wako, ni tamasha la pure pure la kiasili.

Nafikiri Mama ni mtu wa kizimkazi, ndio maana hili tamasha this time limefanyiwa promotions sana sana.

N.B
Kwa zanzibar tamasha maarafu la kiasili ni lile la makunduchi na siyo ili la kizimkazi.
 
Kiukweli kwa kule zanzibar kuna matamasha ya kiutamaduni maarafu na yote ni matamasha yapo east coast, huko east cost ndio unapata kizimkazi,makunduchi,paje,michamvi,jambiani n.k.

Kati ya hizi pwani za east coast, tamasha maarufu zaidi ni tamasha la makunduchi( nafikiri wenyewe wanaita tamasha la mwakatogwa" ) na ilo la kizimkazi ndio linaitwa "tamasha la kizimkazi".

Kwa zanzibar , watu wa east coast na makunduchi ndio wajanja wao, hata serikilani na viongozi mbalimbali wanatoka huko, kwahyo ili tamasha likifika viongozi mbalimbali wa serikali wanendaga huko kutambika na wao.

Matamasha haya yapo tangu enzi na enzi, mm niliwai kuishi zanzibar kwa miaka kama mitano hivi, kipindi cha hizi tamasha,nikweli harakati mbalimbali zinapungua mjini, na watu mbalimbali wanaelekea east coast kwenye hizi tamasha, sisi waswahili wapwani ya tanganyika matamasha kama haya yapo ila tunaitwa "madogoli", na hizi tamasha za east coast ya zanzibar ni mfano wako, ni tamasha la pure pure la kiasili.

Nafikiri Mama ni mtu wa kizimkazi, ndio maana hili tamasha this time limefanyiwa promotions sana sana.

N.B
Kwa zanzibar tamasha maarafu la kiasili ni lile la makunduchi na siyo ili la kizimkazi.
Sio this Time, ni hivi hili ndo tamasha la kwanza .Jiulize huko miaka ya nyuma kwa nini hakufanya tamasha?
 
Mbona imekua nongwa hivo,hill tamasha miaka nenda miaka rudi lipo au kwa vile wewe umelijua Jana ndio unahaukwa. Imekua tabu kila kitu. Nasema mama kanyaga twende tumecheleewa sana.
 
Sawa. Uzuri ni kwamba utaishia kutukana tu ila maisha yake huna dalili ya kuyakaribia hata miaka 1000. Na matusi ndiyo ubunifu pekee wapumbavu wamejaaliwa nao!!
Ni kweli siwezi kuyakaribia maisha yake ya kifahari yenye kugharamiwa na kodi za wananchi ambao ni masikini tu, vp wewe mkuu unayakaribia maisha yake?
 
Mbona imekua nongwa hivo,hill tamasha miaka nenda miaka rudi lipo au kwa vile wewe umelijua Jana ndio unahaukwa. Imekua tabu kila kitu. Nasema mama kanyaga twende tumecheleewa sana.
Afrika nzima tunajulikana tupo nyuma tumechelewa, sasa huyo mama amefanya maajabu gani tofauti na waafrika wengine?
 
Angefanya magufuli hapo wangenwita dictecta,fisadi na kila kitu kibaya kingezungumzwa...
 
Kuna watu wanajadili kuhusu tamasha au kongamano au kutaniko la Kizimkazi huko Zanzibar; limebeba wasanii wengi na wana habari; kutoka kwenye tamasha husika tutapata DC na RC au wagombea ubunge wa 2025; lakini nani mfadhili? Malengo yake ni yapi?
WAFADHILI NI;-
-PBZ
-CRDB
-NBC
-NMB
LENGO NI KUITANGAZA NA KUIFUNGUA UNGUJA KUSINI KIUTALII,NA KIUTAMADUNI.
 
Back
Top Bottom