Nani anafadhili tamasha la Kizimkazi? Malengo yake ni yapi?

Nani anafadhili tamasha la Kizimkazi? Malengo yake ni yapi?

Kuna watu wanajadili kuhusu tamasha au kongamano au kutaniko la Kizimkazi huko Zanzibar; limebeba wasanii wengi na wana habari; kutoka kwenye tamasha husika tutapata DC na RC au wagombea ubunge wa 2025; lakini nani mfadhili? Malengo yake ni yapi?
Utalii.
 
Kuna watu wanajadili kuhusu tamasha au kongamano au kutaniko la Kizimkazi huko Zanzibar; limebeba wasanii wengi na wana habari; kutoka kwenye tamasha husika tutapata DC na RC au wagombea ubunge wa 2025; lakini nani mfadhili? Malengo yake ni yapi?
Nguvu ya fedha ya genge la watanzania wenzetu kwa sura ya DP World.
 
Matamasha ya utamaduni Kwa upande wa unguja ni kawaida Sana upande wa kusini unguja namaanisha kizimkazi,paje ,bwejuu na makunduchi ni Kila mwaka ni utamaduni wao na makunduchi lao linaitwa Mwaka kogwa hiyo ndio unguja na wangazija lao linaitwa ngoma ya kibuki haya mambo usikii Sana Kwa upande wa kaskazinimwa unguja ambao ni Nungwi na kiwengwa huko ndio Kuna matamasha ya kuchanganyika watu wote hasa lile maarufu Sana Full moon party na Zanzibar sea food festival.kwa hiyo ilo la kimzikazi sio kitu kigeni.
 
Yaani hili tamasha ni ujinga,kuna watoto wanakaa chini,ila Rais anafanya sherehe ili ajitangaze kwa kuwatumia kina Baba levo. Tanganyika maskini. Hata Magufuli aliyependa Chato hakuwahi fanya tamasha la hivi ili tuwajua mama zake sijui shangazi zake.
Mam amepungukiwa na akili amekosa Cha kufanya Kaz Ni kushabikia mpira na kufanya vigoma vya ghrama kila mwezi

HV mtu unakumbuka siku ya kuzaliw alfu unakwenda kuwahita media zote akili matope alisikika lisu
 
Mam amepungukiwa na akili amekosa Cha kufanya Kaz Ni kushabikia mpira na kufanya vigoma vya ghrama kila mwezi

HV mtu unakumbuka siku ya kuzaliw alfu unakwenda kuwahita media zote akili matope alisikika lisu
Hivi kumbe ni birthday yake?Hatuna Rais hapa kwa kweli.Ila mbona nimeona kazaliwa January ?Au ndo watanzania tulivyo,tarehe ya kuzaliwa real si iliyopo kwenye documents.
 
Nimewaona jana Machawa wake wakina Mwijaku na Babalevo eti wanaonesha shule aliyosoma na nyumbani kwa Mama yake mdogo.Aisee,kweli Tanzania tumepatwa safari hii!
Hakuna kitu serikali ya awamu ya sita inakosea kama kuwatumia hawa watu zero brain kupromoti mambo yao yaani inaonekana ni serikali iliyofeli
 
Nimeipokea pole maana awamu hii ngozi nyeupe wamejua kutuchezea, alianza yule mzungu wa Royal toure na sasa waarabu.
Sawa. Uzuri ni kwamba utaishia kutukana tu ila maisha yake huna dalili ya kuyakaribia hata miaka 1000. Na matusi ndiyo ubunifu pekee wapumbavu wamejaaliwa nao!!
 
Yaani hili tamasha ni ujinga,kuna watoto wanakaa chini,ila Rais anafanya sherehe ili ajitangaze kwa kuwatumia kina Baba levo. Tanganyika maskini. Hata Magufuli aliyependa Chato hakuwahi fanya tamasha la hivi ili tuwajua mama zake sijui shangazi zake.
Kwani tuna mfumo gani wa kuwapata vionvozi, viongozi wanaojua Tanzania
 
Back
Top Bottom