Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waliosmamia kuua rais wa awmu ya tanoKuna watu wanajadili kuhusu tamasha au kongamano au kutaniko la Kizimkazi huko Zanzibar; limebeba wasanii wengi na wana habari; kutoka kwenye tamasha husika tutapata DC na RC au wagombea ubunge wa 2025; lakini nani mfadhili? Malengo yake ni yapi?
Na mm naunga telaNipo njiani[emoji1787][emoji1787]
Kuna watu wanajadili kuhusu tamasha au kongamano au kutaniko la Kizimkazi huko Zanzibar; limebeba wasanii wengi na wana habari; kutoka kwenye tamasha husika tutapata DC na RC au wagombea ubunge wa 2025; lakini nani mfadhili? Malengo yake ni yapi?
[emoji1]Ni bora nikashinda kwenye uzi wa rikiboy kuliko kufuatilia mambo ya awamu hii, tena ikiwezekana moderators watuwekee block button, tublock nyuzi zote za jukwaa la siasa tusizione kabisa. Maana serikali ya awamu hii inatia hasira kusikia mambo yake
Sent using Jamii Forums mobile app
Kila bajeti ni lazima ipitishwe na Bunge?Bunge lilipitisha bajeti ya Kizimkazi?
Serikali ya Samia ndiyo mfadhili Mkuu!Kuna watu wanajadili kuhusu tamasha au kongamano au kutaniko la Kizimkazi huko Zanzibar; limebeba wasanii wengi na wana habari; kutoka kwenye tamasha husika tutapata DC na RC au wagombea ubunge wa 2025; lakini nani mfadhili? Malengo yake ni yapi?
Wee mgonjwa matumizi ya fedha zote za serikali lazima yapitishwe na bunge vinginevyo ni wizi na uhujumu uchumi!Kila bajeti ni lazima ipitishwe na Bunge?
Huu ni zaidi ya ule unyani alio usema mtikilaNimewaona jana Machawa wake wakina Mwijaku na Babalevo eti wanaonesha shule aliyosoma na nyumbani kwa Mama yake mdogo.Aisee,kweli Tanzania tumepatwa safari hii!
Kwahiyo amegharimia tamasha la kukutanisha mngonoke na kufirana siyo.Msimpangie mama... Kizimkazi kuna wiki nzima ya kazi kazi. Nimemkamata mpemba mmoja hapo tamashani leo nimechapa kazi mpaka wote tukapatwa na kizunguzungu. Acheni fitna dhidi ya mambo mazur
Fedha zote za serikali? Hebu acha utoto😂Wee mgonjwa matumizi ya fedha zote za serikali lazima yapitishwe na bunge vinginevyo ni wizi na uhujumu uchumi!
Wewe c utamfikia chiefSawa. Uzuri ni kwamba utaishia kutukana tu ila maisha yake huna dalili ya kuyakaribia hata miaka 1000. Na matusi ndiyo ubunifu pekee wapumbavu wamejaaliwa nao!!
Uko sahihi kabisaaaKiukweli kwa kule zanzibar kuna matamasha ya kiutamaduni maarafu na yote ni matamasha yapo east coast, huko east cost ndio unapata kizimkazi,makunduchi,paje,michamvi,jambiani n.k.
Kati ya hizi pwani za east coast, tamasha maarufu zaidi ni tamasha la makunduchi( nafikiri wenyewe wanaita tamasha la mwakatogwa" ) na ilo la kizimkazi ndio linaitwa "tamasha la kizimkazi".
Kwa zanzibar , watu wa east coast na makunduchi ndio wajanja wao, hata serikilani na viongozi mbalimbali wanatoka huko, kwahyo ili tamasha likifika viongozi mbalimbali wa serikali wanendaga huko kutambika na wao.
Matamasha haya yapo tangu enzi na enzi, mm niliwai kuishi zanzibar kwa miaka kama mitano hivi, kipindi cha hizi tamasha,nikweli harakati mbalimbali zinapungua mjini, na watu mbalimbali wanaelekea east coast kwenye hizi tamasha, sisi waswahili wapwani ya tanganyika matamasha kama haya yapo ila tunaitwa "madogoli", na hizi tamasha za east coast ya zanzibar ni mfano wako, ni tamasha la pure pure la kiasili.
Nafikiri Mama ni mtu wa kizimkazi, ndio maana hili tamasha this time limefanyiwa promotions sana sana.
N.B
Kwa zanzibar tamasha maarafu la kiasili ni lile la makunduchi na siyo ili la kizimkazi.
Kuna ubaya ganiiiiii??? Ubaya ni upiii?Kwahiyo amegharimia tamasha la kukutanisha mngonoke na kufirana siyo.
Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
Basi sawa, shule hazina walimu. Nyumba za walimu hakuna. Endeleeni kula raha zenu.Kuna ubaya ganiiiiii??? Ubaya ni upiii?
Umaskini haujaanza juzi wala jana. Kwani hiyo kazi ya raisi?Basi sawa, shule hazina walimu. Nyumba za walimu hakuna. Endeleeni kula raha zenu.
Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app