Nani anafadhili tamasha la Kizimkazi? Malengo yake ni yapi?

Weka ushahidi tuone. Acha kupayuka payuka hovyo🤣
Ushahidi ni huu: Samia atahudhuria tamasha akiwa na gari ya ikulu, wapamba wa ikulu, askari wa serikali, magari ya serikali na viongozi wa serikali!
 
Je kama hili Tamasha ni undercover ya kitu Fulani ?....ivi..
 
Hivi kwanini serikali isihamishe wale raia pale Kizimkazi tuwape wawekezaji lile eneo
 
Na ile sauti za busara huwa ni nini ati!
 
Kula maisha kizimkazi! Unajipo baada y maokoto y bandari. Ila itakutokea puani. Ngoma mbichi hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…