Asante nimeelewa vizuri sana.Kwenye comments huko wameelezea kila kitu.
Mimi si mwandishi mzuri ila ukiweza wakati wa sala sali na zaburi ya 51.
Usisikize maoni ya kejeli toka kwa wasioamini, Mungu anajibu kwa uaminifu sana mimi ni shahidi Amini katika maombi unayo omba na unaweza yaandika pembeni ili usiyasahau.
Muda mzuri wa sala ni 8 au 9 alfajiri na ukiweza kufunga kwa walau masaa 10 au 12 itakua nzuri zaidi.
Unaweza kusali muda mwingine wowote ila inapofika mabye saa 8 au 9 hakikisha unasali na kusema shida yako kubwa inayokusumbua
siamini katika uchafu wenu wa rozali, mafuta wala kitu chochote zaidi ya kumwomba Mungu kwa msaada wa Roho Mtakatifu na kumtumaini Kristo aliye upande wa kuume wa Mungu Baba. Ambaye Maandiko yanasema ananiombea kwa kuugua kusikoweza kutamkwa kwa ajili yangu.Nenda ukakanyage mafuta huku tuachie sie watabe
Ninaisali,nipo siku ya saba leo.Kanunue kitabu pale St Joseph kama upo Dar.
hii sala ina jibu kwa wanaoamini, sali kwa imani ukiambatana na kufunga/kujinyima na kutoa sadaka kwa kile unachojinyima, kutoa sadaka sio lazima iwe kanisani, toa kwa wahitaji.
Kama unaweza kufunga funga hata 3days nzima omba toba
Week inayofata Anza kusali novena muda ule ule mf usiku tu
Jitahidi wakati wa novena kuepuka vikwazo na dhambi
Unaweza kuwa na Nia kadhaa kwenye novena zitoe zote wakati wa novena
Haikwepeshi hiyo novena
Kila la heri
am in bfff, basi this week tuanze na toba kabisa ya kudhamiriaNjoo piem tuanze kufunga pamoja me naanza jmosi hii novena Mt Ritha ya siku 9
Kwanza kabisa unatakiwa kusali rozali ya huruma ya Mungu, ujisafishe kwa toba na kujiweka karibu na Mungu. Kisha anza Novena itapendeza ukifunga na mambo yote ndani ya hizo siku. Missy Gf shogare tuanze jmosi kufunga
Nipe maelezo ya kutosha, nipite hapo st peter nichukue kitabuNinaisali,nipo siku ya saba leo.Kanunue kitabu pale St Joseph kama upo Dar.
am in bfff, basi this week tuanze na toba kabisa ya kudhamiria
Kile kitabu ndo kinakuelekeza .Unafunga kula kadri unavyojisikia,unasali kwa imani.Na unamuachia Mungu yeye ndo atajibu maombi yako.Actually mt Rita alikuwa ni mtu wa Imani sana,yaani hata ambapo kibinadamu haiwezekani.Yeye maimbi yake kwa Mungu na Imani yake mambo yaliwezekana.Mfano mtu aliewahi olewa hairuhusiwi kuwa mtawa.Ila yeye alipofiwa na mmewe ,kisha na wanae.Aliomba kuwa mtawa kwenye shirika la mt Augustino ila aligonga mwamba.Aliendelea kumwomba Mungu ,na baadae akaenda tena kuomba kuwa mtawa hapo hapo alipokataliwa mwanzo.Baadae alikubaliwa.Yaani hii sala hii sala inakufanya kujenga imani kwa mambo magumu unayoyafanya ambayo kibinadaamu ni magumu,ila kwa Mungu yanawezekana na unatoboa kabisa.Nipe maelezo ya kutosha, nipite hapo st peter nichukue kitabu
π π π π π mimi nina mengi sana ya kuongea na Mt Rita, tuwe tunasali saa nane usiku ndyo muda mzuriTuanze bff tujitenge mbali kidogo na satan mvuruga mambo mwenyewe nina mtu nataka nimuweke kwenye maombi
π π π π π mimi nina mengi sana ya kuongea na Mt Rita, tuwe tunasali saa nane usiku ndyo muda mzuri
ile ya masaa 15 ile ni balaaa....ila siwezi sali hiyo nina heka heka sana nitakosa muda wa kusaliMimi huwa nasali huo muda kunakua kumepoa.
Afu kuna ile 3 kavu aiseee!!! Ile funga kazi lazima majibu yatoke kabla hujamaliza mfungo
Ile novena ina mengi sana ni vile binadamu wabishi
ile ya masaa 15 ile ni balaaa....ila siwezi sali hiyo nina heka heka sana nitakosa muda wa kusali
Waroma ndio nani? Au unamaanisha wakatoliki?Ni waroma eti?
yes unaweka alarmHiyo nishasali kila saa mpk masaa 15 ni nzuri sana kwa mtu mvivu
Mimi hiyo napenda kusali nikisafiri masafa marefu nakua na muda wa kutosha naisali
AhsanteKile kitabu ndo kinakuelekeza .Unafunga kula kadri unavyojisikia,unasali kwa imani.Na unamuachia Mungu yeye ndo atajibu maombi yako.Actually mt Rita alikuwa ni mtu wa Imani sana,yaani hata ambapo kibinadamu haiwezekani.Yeye maimbi yake kwa Mungu na Imani yake mambo yaliwezekana.Mfano mtu aliewahi olewa hairuhusiwi kuwa mtawa.Ila yeye alipofiwa na mmewe ,kisha na wanae.Aliomba kuwa mtawa kwenye shirika la mt Augustino ila aligonga mwamba.Aliendelea kumwomba Mungu ,na baadae akaenda tena kuomba kuwa mtawa hapo hapo alipokataliwa mwanzo.Baadae alikubaliwa.Yaani hii sala hii sala inakufanya kujenga imani kwa mambo magumu unayoyafanya ambayo kibinadaamu ni magumu,ila kwa Mungu yanawezekana na unatoboa kabisa.
N:B mimi si mkatoliki ila huwa ninasali novena mfano hii ya Rita,Antony wa Padua na nyingine nyingi.