Nani anafahamu jinsi ya kusali Novena ya Mtakatifu Rita wa Kashia anisaidie?

Nani anafahamu jinsi ya kusali Novena ya Mtakatifu Rita wa Kashia anisaidie?

Hiyo nishasali kila saa mpk masaa 15 ni nzuri sana kwa mtu mvivu
Mimi hiyo napenda kusali nikisafiri masafa marefu nakua na muda wa kutosha naisali
Masaa 15, unasali tu ? Katika masaa 24 utenge masaa 15 ya kusali?
 
Eti upuuzi, huyu mlengwa anataka kusamehe kafanyiwa mabaya.
 
Masaa 15, unasali tu ? Katika masaa 24 utenge masaa 15 ya kusali?

Sio hivyo bro, yaani hayo masaa 15 unaset alarm kila baada ya lisaa limoja unasali unapumzika, likifika tena unasali ukimaliza unapumzika mpk unamaliza hayo masaa 15
 
Sio hivyo bro, yaani hayo masaa 15 unaset alarm kila baada ya lisaa limoja unasali unapumzika, likifika tena unasali ukimaliza unapumzika mpk unamaliza hayo masaa 15
Km unafanya kazi fulan ,alarm ikilia unaacha ,unasali kdg ,kisha unaendela?
 
Mwili wa mtakatifu Rita wa Cassia.
20201020171052_869a0a06c42e3ef5958383db778d63b9656dbedabe2a0d6d54c244c3b1a27772.jpg
 
OMBA YESU ATAKUWEKA HURU MILELE

Na sasa Israel Bwana, Mungu Wako anataka ni kwako, anataka umche Bwana Mungu wako na kwenda katika njia zake zote

Kumbu Kumbu la Torati 10:12
 
White men call their Ancestors saints, But you Africans cast and bind your Ancestry spirit calling them Ghosts, Then praying with the name of white man's Ancestor..!!!

Wazungu huwaita mababu zao watakatifu. Lakini wewe mwafrika una kemea na kufukuza Roho za mababu zako kwa kudhani ni Mizimu, Halafu unasali kuomba wafu wa wazungu wakusaidie..!!!

Umelogwa na nani?

Hao kina Rita wa Kashia ni Wafu kama walivyo mababu zako wa Afrika hawana Utakatifu wowote ule.

Dini ime kupumbaza na kupofusha Akili yako kufikiri. Hakuna mtakatifu yeyote dunia hii.

Utakatifu ni dhana za kufikirika illusions.

Fanya kazi, Tafuta hela.

Amkaaaa...!!!
 
Waafrika mnadhihirisha ujinga wenu ulivyo, Dini zime pumbaza fikra zenu.

Wafu wa wazungu na waarabu mnawaita watakatifu.

Wafu, Mababu zenu wa kiafrika mnawaita mizimu!!

Halafu mnasali kuomba wafu wa wazungu wawasaidie!

Poverty Strikes Hard When Laziness is Combined With Prayers.
 
hoa watakatifu wanasaidia nini we amwombe Mwenyenzi Mungu inatosha.
Waafrika ni watu wa ajabu sana.

Wafu wa wazungu wana waita watakatifu halafu wafu wao wana waita mizimu.

Wana kemea na kufukuza Roho za mababu zao halafu wana omba na kusali roho za wafu wa wazungu ziwa saidie.

Hii inadhihirisha wazi kwamba Dini za kuletwa zimeharibu mfumo mzima wa waafrika kufikiri.
 
Mnaziishi mila na desturi za rome na mnaabudu miungu ya rome kwa maslahi ya rome eti Novena hahahaaaaaaaa
Dini ime wapumbaza sana hawa watu.

Mwafrika ni mtu wa ajabu sana

Roho za Wazungu na waarabu ana ziita Watakatifu.

Halafu, Wafu roho za mababu zake ana ziita mizimu.

Kisha anaomba roho za wafu wa wazungu zimsaidie.. !!!

Kweli ujinga ni janga la kitaifa.
 
achana na ushirikina na upagani wa kirumi. soma Biblia ukue kiroho.
Jambo usilojua ni kazi sana. Sisi tupo imara sana na ndio wakristo halisi. Bibilia unayosoma tumelipatia sisi nyie ndio na shukrani, hamjui historia ya ukristo wala mpaka tulipofika. Kashfa tumekaa nazo tena za maana na zimeanza miaka 2000 iliyopita ,nyingine tangu Yesu akiwepo. So we don't give a crap. Sanasana someni historia ya kanisa, mapokeo yote, oral na written(bibilia), otherwise msituchoshe wakristo wa mwituni. Kwanza nobody even cares you exist hamna madhara.
 
Waafrika ni watu wa ajabu sana.

Wafu wa wazungu wana waita watakatifu halafu wafu wao wana waita mizimu.

Wana kemea na kufukuza Roho za mababu zao halafu wana omba na kusali roho za wafu wa wazungu ziwa saidie.

Hii inadhihirisha wazi kwamba Dini za kuletwa zimeharibu mfumo mzima wa waafrika kufikiri.
watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa
 
Mnaziishi mila na desturi za rome na mnaabudu miungu ya rome kwa maslahi ya rome eti Novena hahahaaaaaaaa
Taja desturi ya rome hapo, ata moja unipe na reference, yani watu wanabwatukaga sana. Mimi ntakwambia kwanini tunafanya hivyo, we unaijua rome wewe? Tatizo mmeshiba conspiracy theories , alafu mna pride, zao la shetani, mnakoshani sio yani ndio kwenyewe kwa surprise sasa😂😂 sisi tupo tunawachora tu.
 
Mbona ata weusi wapo? Mizimu kila jamii duniani ilikuwa au inayo na ni majini.
 
Back
Top Bottom