Kanyigoboy
JF-Expert Member
- Feb 14, 2017
- 529
- 1,316
We nae kama jinga sasa hayo nayo yana kufurahisha nini? raha ya ushindi kushindana, kupitia bila kupingwa mwanaume lazima tukuangalie mara mbili mbili"Si MNAYATAKA TUKIN'GOLEWA TUKIENGULIWA TUTAINGIA BARABARANI"
Tundu Lissu (Mzee Wa Faragha)
Mpka sasa wameshaenguliwa 500 [emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23] Hakuna hata iliengia Service Road wacha Barabarani
Niliambiwa campaign manager ni Dr Marcossy AlbaniePichani za mhe. Amani Golugwa aliye Kampeni Meneja wa Tundu Lissu. Siku za Karibuni alipata mafunzo Kwa ufadhili wa nchi Za Europian Union kuhusu masuala ya kisiasa.
Kwenye uchaguzi wa Malawi alishiriki kama mwangalizi chini ya European Union. Yupo very trained kwenye issue hizo za kisasa.
Ni Mzanzibar hapo awali aliwahi kuwa katibu Mkuu wa CHADEMA Kanda ya Kaskazini.
Nani anayemjua zaidi sifa zake kwa maana ya taaluma au mafunzo yoyote aliyonayo. Namuona Kama ana kitu cha ziada ndio maana naomba kujifunza.
Ole Mushi
0712702602
View attachment 1594299View attachment 1594300View attachment 1594301View attachment 1594302
Wasifu wakePichani za mhe. Amani Golugwa aliye Kampeni Meneja wa Tundu Lissu. Siku za Karibuni alipata mafunzo Kwa ufadhili wa nchi Za Europian Union kuhusu masuala ya kisiasa.
Kwenye uchaguzi wa Malawi alishiriki kama mwangalizi chini ya European Union. Yupo very trained kwenye issue hizo za kisasa.
Ni Mzanzibar hapo awali aliwahi kuwa katibu Mkuu wa CHADEMA Kanda ya Kaskazini.
Nani anayemjua zaidi sifa zake kwa maana ya taaluma au mafunzo yoyote aliyonayo. Namuona Kama ana kitu cha ziada ndio maana naomba kujifunza.
Ole Mushi
0712702602
View attachment 1594299View attachment 1594300View attachment 1594301View attachment 1594302
Sio kulinda kura,tutabaki ili watutangazie matokeo hapo hapo.NEC wanasema kazi ya kulinda kura sio ya mpiga kura, wewe unasemaje ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kazi ya kulinda kura ni ya nani?NEC wanasema kazi ya kulinda kura sio ya mpiga kura, wewe unasemaje ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanataka na huyu apigwe risasiNi kijana mmoja smart sana
Kako vizuri kwa kweli! Hiyo timu ya kampeni ya Lissu ni hatareee huwezi kulinganisha na matakataka ya kijani!Pichani za mhe. Amani Golugwa aliye Kampeni Meneja wa Tundu Lissu. Siku za Karibuni alipata mafunzo Kwa ufadhili wa nchi Za Europian Union kuhusu masuala ya kisiasa.
Kwenye uchaguzi wa Malawi alishiriki kama mwangalizi chini ya European Union. Yupo very trained kwenye issue hizo za kisasa.
Ni Mzanzibar hapo awali aliwahi kuwa katibu Mkuu wa CHADEMA Kanda ya Kaskazini.
Nani anayemjua zaidi sifa zake kwa maana ya taaluma au mafunzo yoyote aliyonayo. Namuona Kama ana kitu cha ziada ndio maana naomba kujifunza.
Ole Mushi
0712702602
View attachment 1594299View attachment 1594300View attachment 1594301View attachment 1594302
Ni kijana? Nafikri hana sifa za ujana wala sifa za uzee. Hili ni kundi ambalo hatuna mahali maalum pa kuwekwa kwenye rika! Eti hata Polepole wanamwita kijana?Ni kijana mmoja smart sana
Ukipiga kura linda kura yako
Nàmpenda sana maana ako na maneno kama kokotoSikuwa namfahamu huyu mtu. Ila kwa nilivyoziona kampeni za Lissu ni dhahiri huyu jamaa ndo mrithi wa Kanali Abdulahaman Kinana kama Meneja Kampeni Bora zaidi kwa Siasa za Tanzania.
Huyu jamaa yuko vizuri sana najiuliza Lissu kamuopoa wapi. Asante kwa taarifaPichani za mhe. Amani Golugwa aliye Kampeni Meneja wa Tundu Lissu. Siku za Karibuni alipata mafunzo Kwa ufadhili wa nchi Za Europian Union kuhusu masuala ya kisiasa.
Kwenye uchaguzi wa Malawi alishiriki kama mwangalizi chini ya European Union. Yupo very trained kwenye issue hizo za kisasa.
Ni Mzanzibar hapo awali aliwahi kuwa katibu Mkuu wa CHADEMA Kanda ya Kaskazini.
Nani anayemjua zaidi sifa zake kwa maana ya taaluma au mafunzo yoyote aliyonayo. Namuona Kama ana kitu cha ziada ndio maana naomba kujifunza.
Ole Mushi
0712702602
View attachment 1594299View attachment 1594300View attachment 1594301View attachment 1594302
Kiswahili cha Tandale
Hifadhi kama ya Burigi lazima tuchungie kondoo zetu japo tutakunywa supu"SERIKALI YACHADEMA ITATUMIA WATAALMU WAKE KUAHAKIKISHA MNAKWENDA KUCHUNGA KWENYE HIFADHI" 😂🤣😂🤣
Tundu Lissu (Mzee Wa Faragha)
Yuko well committed and talented kwenye organization. Nilikuwa nikijiuliza sana huyu Mtu ni nani.
Kwahiyo ana uzoefu wa Jinsi ya kushinda kama Malawi.Pichani za mhe. Amani Golugwa aliye Kampeni Meneja wa Tundu Lissu. Siku za Karibuni alipata mafunzo Kwa ufadhili wa nchi Za Europian Union kuhusu masuala ya kisiasa.
Kwenye uchaguzi wa Malawi alishiriki kama mwangalizi chini ya European Union. Yupo very trained kwenye issue hizo za kisasa.
Ni Mzanzibar hapo awali aliwahi kuwa katibu Mkuu wa CHADEMA Kanda ya Kaskazini.
Nani anayemjua zaidi sifa zake kwa maana ya taaluma au mafunzo yoyote aliyonayo. Namuona Kama ana kitu cha ziada ndio maana naomba kujifunza.
Ole Mushi
0712702602
View attachment 1594299View attachment 1594300View attachment 1594301View attachment 1594302
Tundu Lissu amewashika pabaya
Ni Beberu jeusi.
*EU na CIA wap na wap*Atakua CIA....