Uchaguzi 2020 Nani anafahamu wasifu wa Amani Golugwa meneja kampeni wa Tundu A. Lissu?

Uchaguzi 2020 Nani anafahamu wasifu wa Amani Golugwa meneja kampeni wa Tundu A. Lissu?

"Si MNAYATAKA TUKIN'GOLEWA TUKIENGULIWA TUTAINGIA BARABARANI"

Tundu Lissu (Mzee Wa Faragha)

Mpka sasa wameshaenguliwa 500 [emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23] Hakuna hata iliengia Service Road wacha Barabarani
We nae kama jinga sasa hayo nayo yana kufurahisha nini? raha ya ushindi kushindana, kupitia bila kupingwa mwanaume lazima tukuangalie mara mbili mbili
 
Pichani za mhe. Amani Golugwa aliye Kampeni Meneja wa Tundu Lissu. Siku za Karibuni alipata mafunzo Kwa ufadhili wa nchi Za Europian Union kuhusu masuala ya kisiasa.

Kwenye uchaguzi wa Malawi alishiriki kama mwangalizi chini ya European Union. Yupo very trained kwenye issue hizo za kisasa.

Ni Mzanzibar hapo awali aliwahi kuwa katibu Mkuu wa CHADEMA Kanda ya Kaskazini.

Nani anayemjua zaidi sifa zake kwa maana ya taaluma au mafunzo yoyote aliyonayo. Namuona Kama ana kitu cha ziada ndio maana naomba kujifunza.

Ole Mushi
0712702602


View attachment 1594299View attachment 1594300View attachment 1594301View attachment 1594302
Niliambiwa campaign manager ni Dr Marcossy Albanie

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Pichani za mhe. Amani Golugwa aliye Kampeni Meneja wa Tundu Lissu. Siku za Karibuni alipata mafunzo Kwa ufadhili wa nchi Za Europian Union kuhusu masuala ya kisiasa.

Kwenye uchaguzi wa Malawi alishiriki kama mwangalizi chini ya European Union. Yupo very trained kwenye issue hizo za kisasa.

Ni Mzanzibar hapo awali aliwahi kuwa katibu Mkuu wa CHADEMA Kanda ya Kaskazini.

Nani anayemjua zaidi sifa zake kwa maana ya taaluma au mafunzo yoyote aliyonayo. Namuona Kama ana kitu cha ziada ndio maana naomba kujifunza.

Ole Mushi
0712702602


View attachment 1594299View attachment 1594300View attachment 1594301View attachment 1594302
Wasifu wake
Screenshot_20201008-223132_Chrome.jpg
 
NEC wanasema kazi ya kulinda kura sio ya mpiga kura, wewe unasemaje ?

Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kulinda kura,tutabaki ili watutangazie matokeo hapo hapo.

Kwani wao matokeo wanataka tuyapate kwa namna gani? Watatuma kwa posta?

Tumekuja kupiga kura tutabaki watupe matokeo yetu,kisha tutaondoka zetu.

Kwani wao hofu ya nini sisi wapiga kura tukiamua kusubiria wajumlishe na kutujuza.

Kupiga kura watuhamisishe tufike,kupata matokeo watukataze..wasilete ulofa wao.

Tutapiga kura na kungoja watupe matokeo ya hizo kura zetu.
 
Pichani za mhe. Amani Golugwa aliye Kampeni Meneja wa Tundu Lissu. Siku za Karibuni alipata mafunzo Kwa ufadhili wa nchi Za Europian Union kuhusu masuala ya kisiasa.

Kwenye uchaguzi wa Malawi alishiriki kama mwangalizi chini ya European Union. Yupo very trained kwenye issue hizo za kisasa.

Ni Mzanzibar hapo awali aliwahi kuwa katibu Mkuu wa CHADEMA Kanda ya Kaskazini.

Nani anayemjua zaidi sifa zake kwa maana ya taaluma au mafunzo yoyote aliyonayo. Namuona Kama ana kitu cha ziada ndio maana naomba kujifunza.

Ole Mushi
0712702602


View attachment 1594299View attachment 1594300View attachment 1594301View attachment 1594302
Kako vizuri kwa kweli! Hiyo timu ya kampeni ya Lissu ni hatareee huwezi kulinganisha na matakataka ya kijani!
 
Pichani za mhe. Amani Golugwa aliye Kampeni Meneja wa Tundu Lissu. Siku za Karibuni alipata mafunzo Kwa ufadhili wa nchi Za Europian Union kuhusu masuala ya kisiasa.

Kwenye uchaguzi wa Malawi alishiriki kama mwangalizi chini ya European Union. Yupo very trained kwenye issue hizo za kisasa.

Ni Mzanzibar hapo awali aliwahi kuwa katibu Mkuu wa CHADEMA Kanda ya Kaskazini.

Nani anayemjua zaidi sifa zake kwa maana ya taaluma au mafunzo yoyote aliyonayo. Namuona Kama ana kitu cha ziada ndio maana naomba kujifunza.

Ole Mushi
0712702602


View attachment 1594299View attachment 1594300View attachment 1594301View attachment 1594302
Huyu jamaa yuko vizuri sana najiuliza Lissu kamuopoa wapi. Asante kwa taarifa
 
Pichani za mhe. Amani Golugwa aliye Kampeni Meneja wa Tundu Lissu. Siku za Karibuni alipata mafunzo Kwa ufadhili wa nchi Za Europian Union kuhusu masuala ya kisiasa.

Kwenye uchaguzi wa Malawi alishiriki kama mwangalizi chini ya European Union. Yupo very trained kwenye issue hizo za kisasa.

Ni Mzanzibar hapo awali aliwahi kuwa katibu Mkuu wa CHADEMA Kanda ya Kaskazini.

Nani anayemjua zaidi sifa zake kwa maana ya taaluma au mafunzo yoyote aliyonayo. Namuona Kama ana kitu cha ziada ndio maana naomba kujifunza.

Ole Mushi
0712702602


View attachment 1594299View attachment 1594300View attachment 1594301View attachment 1594302
Kwahiyo ana uzoefu wa Jinsi ya kushinda kama Malawi.

Kweli Lissu kajipanga. Alianda vichwa toka zamani. Inawezekana Siri ilivuja toka mwanzo kuwa Lissu ndie atakayekuja kumpinga jpm.

Kama kawaida ya Farao alipoona watoto wa kiume wanazaliwa na huku akijua kuna mmona atakuwa mfalme akaanza kuwachinja wote. Mambo yale yale ya Herode na ufalme wa Yesu.
 
Back
Top Bottom