Usimchuze mwenzio uale yameenda miles balaa ni kma chuma chakavukachukue hili dungu jec pale kc global link kwa chris lukosi,bei ya kutupa ,sawa na vanguard
Da umenichekesha mkuuHizi ni akili za kitoyota
MmmmmmhmnKama unapenda mbio chukua V8 petrol. Kama unapenda fuel efficient chukua ya diesel. Epuka kuchukua yenye air suspension kwani ni nzuri sana kama unatembea mawinguni ila ikizingua utaita maji mma unless uwe na milioni 3-6 ya matengenezo
Nimeitumia aiseee hadi naulizia hapa nimeona maajabu yake. Ile gari wameposition vizuri sana siti ya Dereva. Nimekaa very comfortable pale kwenye siti, kucontrol ni rahisi sana.Kwa kuongezea..ukiendesha Landrover Disco au Range ..utamsahau mjapani na Cruza zake. Hizi gari zipo comfortable kwenye kuendesha, solid, imetulia barabarani na position ya kiti cha dereva ipo vizuri sana. Gari inasimama na haiyumbi. Japokuwa inaweza kuhumili barabara mbaya.....ila huko itaiumiza.
Nimeitumia aiseee hadi naulizia hapa nimeona maajabu yake. Ile gari wameposition vizuri sana siti ya Dereva. Nimekaa very comfortable pale kwenye siti, kucontrol ni rahisi sana.
Mradi usijekumletea ya MOTO!!! Halafu Interpol ije kumtia msukosuko!!Karibu sana mkuu, kama ukihitaji ya kutoka South Africa karibu tufanye biashara
KeshaharibuKwahio kila mwenye hii gari ana 500mil [emoji3]
Sjafanya price comparison- ningekuwa na hio pesa estimate ninge i substitue kwa toyota fortuner- mara nyingi huwasimshauri mtu achukue europian car kama gari yake ya kwanza / au kuichukua wakati kavunja kibubu chake chote.. au akaenda kununua ya bei rahisi/ ya mkononi. View attachment 2611300
Jamaa naonaga bei rahisi sana,yani jumla unakuwa nalo mkononi naonaga hadi 28 million, au zile ni 3?
Well noted chiefNa akili zangu za kitoyota nisisitize ushauri wangu kwa mtoa mada maana hakutaja kujua watu wana akili gani ila facts kuhusu Disco 4.
Disocvery ni comfortable, practical na nzuri kuendesha na ina power ila ni sophisticated, complicated kama zilivyo gari nyingi za Ulaya. Atapambana na umeme, mziki wa air suspension, Electronic Parking brake yake inahitaji maintenance ya mara kwa mara n.k
Kama ana hela ya maintenance anunue. MAINTENANCE COSTS ni ghali, ziko juu (hii ni facts siyo maoni)
Hapana mkuu, zinakuwa halali kule kwenye ununuaji atafanya malipo yeye kwa bank transfer hata kama yupo Tanzania.Mradi usijekumletea ya MOTO!!! Halafu Interpol ije kumtia msukosuko!!
Bora umempa makavu maana yeye akiziona huko barabarani anazichukulia poa kwanza hela hana kama kweli hela ipo nenda Nyerere road makampuni yote ya magari New yapo eneo hilo, Tazara mbele kidogo mkono wa kulia kuelekea Gongolamboto.We jamaa kama ela IPO chukua kama pesa ya madafu Achana nayo
NARUDIA TENA HII NI GARI YA GHARAMA MZEE VIPURI VYAKE TU BEI IMECHANGAMKE SO KAMA WEWE PESA VUTA NDINGA mwagito
Andaa 90m and aboveHabari zenu wajumbe wa balaza hili tukufu la wapenda magari.
Mimi raia mwenzenu mnyenyekevu na Mzalendo nipo hapa mbele yenu kupata maoni, ufafanuzi, ujuzi, taarifa na maelezo ya kina juu ya gari hii aina ya Discovery 4.
Najua haya magari yanakuja na options tofauti kwa maana ya kuwa manual transmission na automatic transmission. Pia engine za ukubwa tofauti na fuel tofauti kwa maana ya diesel au petroleum. Lakini pia najua yanakuja kwa kutokea location tofauti kwa maana ya kutokea Ulaya yaani UK na kuna yanayotokea hapa bondeni kwa madiba yaani South Africa.
Hebu nifahamisheni zaidi enyi watukufu watalaamu na wapenda magari wenzangu. Napenda nifahamu zaidi kuhusu hii gari.
Naomba wazee wa suggestions msianze kujadili Discovery 3 maana ile siipendi ndio maana nimekuwa specific kuwa nataka Discovery 4 so please naomba wazee wa suggestions msianze kunichanganyia madawa taarifa za model tofauti na hii ya discovery 4.
Karibuni sana nawasubiria. View attachment 2608252View attachment 2608254View attachment 2608255View attachment 2608253
Bei zinaendaje kabla ya Kodi SA, DISCO 4 au kama za Lukosi?Hapana mkuu, zinakuwa halali kule kwenye ununuaji atafanya malipo yeye kwa bank transfer hata kama yupo Tanzania.
Kisha documents zote za Interpol na export permit zinakamilika ndio gari inaanza safari.
Kodi atapewa assessment mapema na kabla au gari ikikaribia border atapewa Control number ya TRA kulipa kodi. Gari inanunuliwa kihalali na kuingia kwa njia rasmi.
Pia kama atataka kwenda atakatiwa ticket zenye hii cost atarudisha biashara ikimalizika baada ya kurudi, pesa zake anakaa nazo kwenye akaunti akiridhia gari ndio afanye bank transfer.