Nani anamdanganya Rais Samia kuwa kati ya Watanzania mil 65, ni milioni 2 tu wanaolipa kodi?

Nani anamdanganya Rais Samia kuwa kati ya Watanzania mil 65, ni milioni 2 tu wanaolipa kodi?

Anadanganywa Kwa sababu ni mwepesi wa kudanganyika.Haiingii akilini kuwa tunaolipa Kodi ni milioni mbili wakati Kila unaponunua kitu unalipa Kodi.Ambaye halipi Kodi Nchi hii ni rais tu ambaye Kila kitu anapewa bure
 
Umesema vizuri kabisa kwamba watanzania wengi hawalipi Kodi ila ulichosahau ni kwamba viongozi wetu ndio wanaongoza kwa kutokulipa Kodi mfano mzuri ni wabunge
Kibajaji alisema analipwa mshahara milioni 4 na laki 6, analipa kodi milioni 1 na laki 2.

Hiyo ni kodi ya asilimimia 26, zaidi ya robo.

Zaidi ya hapo wabunge wana "kodi ya wananchi" wakirudi jimboni kila masikini anataka msaada.

 
1. Je, ni Watanzania wangapi wanalipia LUKU ya umeme kuna kodi mle na kila siku tunalipa?

2. Tunaambiwa watumiaji wa simu tuko zaidi milioni 29 na kila siku unanunua vocha, tunalipia miamala?

3. Wangapi wanatumia magari yote yanalipiwa kodi na mafuta ukinunua unalipa kodi?

4. Tunalipa kodi tukilioia visimbuzi kila uchawi hiyo sio kodi?

5. Tunaonunua bidhaa kwa lipa namba, tunasafirisha bidhaa kutoka eneo moja hadi lingine bado tunalipa kodi

6. Mishahara yote nchini inakatwa kodi PAE.

NI UKWELI KUWA VAT na PAE tunalipa kila siku na kila mara

USSR


Pia soma:Rais Samia: Tunachokusanya hakiendani na idadi ya watu na shughuli za uchumi zilizopo. Pesa inaenda kwenye mifuko ya watu
Rais Samia: Tunachokusanya hakiendani na idadi ya watu na shughuli za uchumi zilizopo. Pesa inaenda kwenye mifuko ya watu

1. Je, ni Watanzania wangapi wanalipia LUKU ya umeme kuna kodi mle na kila siku tunalipa?

2. Tunaambiwa watumiaji wa simu tuko zaidi milioni 29 na kila siku unanunua vocha, tunalipia miamala?

3. Wangapi wanatumia magari yote yanalipiwa kodi na mafuta ukinunua unalipa kodi?

4. Tunalipa kodi tukilioia visimbuzi kila uchawi hiyo sio kodi?

5. Tunaonunua bidhaa kwa lipa namba, tunasafirisha bidhaa kutoka eneo moja hadi lingine bado tunalipa kodi

6. Mishahara yote nchini inakatwa kodi PAE.

NI UKWELI KUWA VAT na PAE tunalipa kila siku na kila mara

USSR


Pia soma:Rais Samia: Tunachokusanya hakiendani na idadi ya watu na shughuli za uchumi zilizopo. Pesa inaenda kwenye mifuko ya watu
NANI KAKUAMBIA KUWA HUYO KIUMBE ANADANGANYWA..? TATIZO LAKO MLETA UZI NI KU UNDERESTIMATE STUPIDITY OF STUPID LEADER....HII UNDERESTIMATE NDIYO INAWA COST CHADEMA PIA
 
1. Je, ni Watanzania wangapi wanalipia LUKU ya umeme kuna kodi mle na kila siku tunalipa?

2. Tunaambiwa watumiaji wa simu tuko zaidi milioni 29 na kila siku unanunua vocha, tunalipia miamala....
Anamaansisha walipa kodi wakubwa wenye uweza kulipa angalau kuanzia shillingi million moja
 
1. Je, ni Watanzania wangapi wanalipia LUKU ya umeme kuna kodi mle na kila siku tunalipa?

2. Tunaambiwa watumiaji wa simu tuko zaidi milioni 29 na kila siku unanunua vocha, tunalipia miamal...
Huyu Maadam president ana tatizo. Kama sik lake binafsi, basi ni tatizo la mfumo, yaani hili neno la milioni mbili lipo tanvu miaka ya Mwinyi na bado lina rithiwa.

Hii ni shida ya Rais kukosa kutumia muda wa kudurusu speech aliyo andikiwa kabla ya kuiwakilisha kwa umma, na hili lita gharimu
 
Nimekwenda shule kuliko ukoo wenu wote na mm ni mwanaccm namwambia ukweli rais Samia anadanganywa

USSR
Aisee Kama umeenda shule ndio unaandika nonsense hivi Kuna mtoto hakusoma kwa kukosa ada nasikitika ada ilitosomesha kijinga lisiloelimika Kama wewe
 
Hata kama ni direct tax, bado milioni 2 ni ndogo sana. Na isitoshe, unaposema direct tax maana yake nini? Mama akienda kununua mafuta ya taa kule kijijini Chiungutwa analipa kodi au sio direct tax?
Direct tax inatokana na biashara au mshahara. Umenunua maembe Tsh 1000, umeuza 1,200. Ile kodi inayolipwa kutoka faida ya Tsh 200. Umefanya kazi umelipwa mshahara ile PAYE ni direct tax.
 
Kodi ni Kodi tu hakuna Cha direct ama indirect tax. Unapokanusha kuwa ni watu m2 manake wengine wote hawalipi Kwa namna yoyote Ile. Angefafanua Kwa makundi yote angesomeka Sasa Hivi yeye anachojua ni hichohicho
 
Babako anajua kuwa nawazidi ukoo wenu wote elimu

USSR
Aisee Kama umeenda shule ndio unaandika nonsense hivi Kuna mtoto hakusoma kwa kukosa ada nasikitika ada ilitosomesha kijinga lisiloelimika Kama wewe
 
Andika lugha moja ieleweke kihande wewe

USSR
Tumia akili kiazi mbatata wewe
Professor mpumbavu ni hatari kuliko machinga mpumbavu ......msomi mpumbavu ni hatari kuliko mjinga mpumbavu ....Tajiri mpumbavu ni hatari kuliko masikini mpumbavu ...kiongozi mpumbavu ni hatari kuliko asiye kiongozi aliye mpumbavu ......hivyo

RAIS MPUMBAVU NI HATARI HATARI HATARI SANA KULIKO MWANANCHI WA KAWAIDA ALIYE MPUMBAVU ......Kwa hiyo.kanuni ina sema

💥💥💥💥DON'T UNDERESTIMATE THE STUPIDITY OF STUPID LEADER 💥💥💥💥
No matter that leader is your fadher or mother or president or boss ...is very big mistake to underestimate stupid leaders
 
Tumia akili kiazi mbatata wewe
Professor mpumbavu ni hatari kuliko machinga mpumbavu ......msomi mpumbavu ni hatari kuliko mjinga mpumbavu ....Tajiri mpumbavu ni hatari kuliko masikini mpumbavu ...kiongozi mpumbavu ni hatari kuliko asiye kiongozi aliye mpumbavu ......hivyo

RAIS MPUMBAVU NI HATARI HATARI HATARI SANA KULIKO MWANANCHI WA KAWAIDA ALIYE MPUMBAVU ......Kwa hiyo.kanuni ina sema

💥💥💥💥DON'T UNDERESTIMATE THE STUPIDITY OF STUPID LEADER 💥💥💥💥
Hakuna hoja umeweka hapa so far Zaid ya ujinga ujinga tu , weka hoja angalau ya maana

USSR
 
Mkuu hapo mkuu wa nchi ameongelea kundi linalolipa moja kwa moja bila kupitia kwa tax withholder,makundi hayo ni kama wafanyakazi kupitia mishahara(paye tax) ...
Duh! Ni mhimu kutafuta TIN namba. Imsaidie nini mtanzania wa hali ya chini? Umetumwa na TRA kupiga promo?
 
Inashangaza sana hii, Serikali yenyewe ina matumizi mabaya ya pesa za Umma tena mubashara, hapa Kilongola nae anashangaa pesa kupungua? 😲

Hivi zile million 10 zinazogawiwa kwenye ubaya ubwera zinatoka wapi na kuratibiwa na nani? 😲😮
 
Back
Top Bottom