Nani anamtumia Mwana FA juu ya ugonjwa wa Corona?

Tz hakuna corona virus. Hao wanaojitangaza ni katika kutafuta kiki tu.
 
Wabongo waoga sana,hii Corona sio ishu,Kuna magojwa Kama kansa,ukimwi,kifua kikuu,nk.. sasa hii Corona nao ugojwa,wazungu wamejitengenezea kifo ngoja kiwatafune,lkn ngozi nyeusi tunadunda kitaa,

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Hivi bado kuna mtu anasikiliza what MwanaFA talks on anything?

I knew that nigga was beyond bitchhood alipo msnitch Lady Jaydee kipindi anatoa album yake!

The funny thing is,album launch ya FA ilidoda ya Jidee ikapaa ajabu!

Lile jamaa nililiona Liswahili sana

From there on naliona janamke lililovaa suruali tu!

Na hii sanaa ya Corona ndio ameonekana hamnazo kabisa na Ummy wake!

Lile jamaa sio lizima aisee!
 

Unapotumia uongo ku-put your point across wewe ni fraud tu!

Haijalishi motive or anything behind it!

Ishu ni kua huyu Mwajuma na kilaza mwenzie Mwalimu wa Zamu wanafanya Kaole kabisa of which made them look pathetic and silly kwenye issue serious kama hii

Ya nini maigizo,?

For what hasa?Wananchi sio watoto

This made the whole thing seem pathetic kabisa!
 
Sijaelewa kwanini watanzania wamekuwa wagumu kumuamini Mwana FA kwamba ana maambukizi ya Corona aliyoyapata Afrika kusini.

Mbona Aurlus Mabere hatunaye kwa sababu ya Corona?

Mbona Mano Dibango naye amepata maambukizi ya Corona!

Hata mimi awali sikuamini lakini baada ya kufuatilia mambo yanayoendelea Afrika kwa sasa ambapo kuna vifo zaidi ya 16 vya Corona sitabisha tena mtu akisema ana maambukizi maana watu wameanza " kuvuta" pamoja na joto lote mfano kule Misri!

Niishie hapo!
 
Kila mtu ana uwezo wake wa kuchanganua jambo na kuamua kuliamini au kutoliamini..

Sasa unataka kila unaloliamini wewe ndio kila mtu aliamini..?

Wee Mama vipi wewe..!?
 
habar za week end wana jf.

Mwana FA yupo karantin au yupo nyumbani?

Wagonjwa wanao julikana positive si wanawekwa chinj ya uangalizi?

Mbona hajavaa mask wanao mletea chai,chakula nk si atawaabukizwa wote?

Je ni nani anahusika kuvitangaza hivi visa ?

Nani anamtumia FA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wapo watu maarufu wengi tu wanajinasibu kuwa walikuwa ni wahanga wa corona na sasa wamepona. Ukichimba Sana utakuta kimba. Achana nao
 
Mwana fa bwana! Yani jumapili yupo kwenye shoo mlimani city then akatoka hapo akaenda bondeni fasta kuchukua Corona na sasa eti yupo karantini Tz. Yote hayo yamefanyika ndani ya siku TATU TU! Acheni akaite kaugonjwa maana hata alivyokakwaa ni kimaajabu maajabu sana tena haiwezekani katika hali ya kawaida.
 
Mtambo wa umbea kazini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…