Nani anastahili kujengewa sanamu ya kumbukumbu kati ya Mzee Nyerere na Magufuli?

Nani anastahili kujengewa sanamu ya kumbukumbu kati ya Mzee Nyerere na Magufuli?

nguruka wa kig0ma

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2020
Posts
2,946
Reaction score
2,932
Nyerere aliongoza mapambano ya kudai Uhuru toka kwa wakoloni. Kama ingelikuwa ni ujenzi wa ghorofa nasi Uhuru ni sawa msingi (foundation)

Alijenga umoja wa kitaifa.

"Reli ya Tazara"

"Mabwawa ya Kidatu na Mtera, nk."

Marais wote waliofuata baada ya Hayati Nyerere walijenga nchi juu ya msingi Uhuru, umoja na mshikamano.

Yupi anastahili sanamu ya kumbukumbu, je kumjengea sanamu Hayati Magufuli kunatoa tafsiri gani kwa familia ya Nyerere?

Kipi bora kwa watanzania, SGR, STIEGLER'S, AU UHURU, MSHIKAMANO NA UMOJA?

My take: Rais Samia Suluhu na Serikali yako mtafakari kwa kina na kusimamisha mpango huu wa TanTrade.
 
Ila waache wajenge tu.

Tutakua tunaenda kutoa ghadhabu zetu kimyakimya ili huko aliko adhabu ziongezeke.

Alitutesa Sana yule jamaa.

Hata yule jamaa alieahidi kwenda chattou kushusha mzigo kaburini atapunguza safari.

Kama Hana nauli mzigo atakua anashusha mbele ya sanamu.

Pia waangalie hiyo sanamu wakiiweka nje ya uwanja wa sabasaba DITF inaweza ikasababisha kupungua kwa mapato kutokana na viingilio kwani watu wengi hawataingia uwanjani kwa sababu ya sanamu ya aina ya mtu.

Mimi mmoja wao,popote watakapo weka sanamu hiyo njia hiyo sintapita.

Shauri zao.
 
Simply Hii project ni wasteful expenditure. Haiwezekani baadhi ya shule up to date wanafunzi wanakaa chini then serikali inapata wazo la kutumia mamilioni kutengeneza sanamu ambayo ni useless. Matumizi yafanyike kwa kuzingatia priority ya ustawi wa wananchi kwanza and not any otherwise!
 
Simply Hii project ni wasteful expenditure. Haiwezekani baadhi ya shule up to date wanafunzi wanakaa chini then serikali inapata wazo la kutumia mamilioni kutengeneza sanamu ambayo ni useless. Matumizi yafanyike kwa kuzingatia priority ya ustawi wa wananchi kwanza and not any otherwise!
Ni bora hiyo kuliko kumchangia 10ml mdude anayeendelea kuharisha tena.
 
Ni bora hiyo kuliko kumchangia 10ml mdude anayeendelea kuharisha tena.
Za mdude zinatolewa na wadau wake kwa hiari. hata kwa Magu watu wanaweza kuchangia kama kwa mduded, kuliko kutoa hizo hela kutoka kwny kodi wanayo kimbizwa watu mtaani wailipie, halafu inajenga sanamu badala ya madawati ya shule au vifaa tiba.
 
Mama Samia kama mrithi wa JPM hawezi kuukata mpango wa ujenzi wa sanamu. Kapita mikononi mwake akiwa msaidizi kwa miaka mitano.

Sio mpango mbaya kwa wanaojua hayati amefanya nini kwa ujenzi wa taifa hili, kumbuka nchi haijengwi kwa siku moja na kila Rais ni muhimu.
 
Mimi ningejenga Sanamu la Kikwete msema kweli mpenzi wa Mungu.
 
Back
Top Bottom