nguruka wa kig0ma
JF-Expert Member
- Jan 16, 2020
- 2,946
- 2,932
- Thread starter
- #21
Hata Kama Dodoma lipo, kuna haja ya kujenga na magufuli,Alimaanisha Nyerere, hajatembea akaliona
Je samia akitupatia katiba mpya mtajenga sanamu lake?
Maana katiba mpya ndimo kulimo na haki za watanzani ulinzi wa Mali zao
Katiba ni bora kuliko sgr,ndege nk