Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haters mmepanikiViashiria vinaonesha yupo mtu au kundi la watu wanaolipia hii habari ili iwe viral.
Kwani tukik lilitokea usiku?Viashiria vinaonesha yupo mtu au kundi la watu wanaolipia hii habari ili iwe viral.
Hahahaha......anaogopa. na siku hizi ushahidi the Heague sio wa maneno ni picha na video tu.Nawee utaki iwe viral..?
USA 🇺🇸 Amerika. Waliandaa maandamano makubwa hahaha eti wanajifanya wajanjaViashiria vinaonesha yupo mtu au kundi la watu wanaolipia hii habari ili iwe viral.
Muda ni Mwl Mzuri.Police CCM c mmeyataka wenyewe ,,ilaa Kuna mmoja anafanya Kwa manufaa ya upande wakeee...n swala la muda tu
HatersUSA 🇺🇸 Amerika. Waliandaa maandamano makubwa hahaha eti wanajifanya wajanja
Hakikaaa💯💯💯✍️✍️Muda ni Mwl Mzuri.
Haters......Brussels ndio waliagiza Mapolisi wakapige watu.Watu wako kazini....payroll
Sponsors wa ndani ?!!
Sponsors kutoka Brussels ?!!
Haijulikani....
Taifa liko katika uadui mkubwa
Mwenyezi Mungu alilinde taifa letu bora duniani aaamin [emoji7]
Chadema ni mtandao mkubwa kuliko unavyojua.Viashiria vinaonesha yupo mtu au kundi la watu wanaolipia hii habari ili iwe viral.
Roho inamuuma sio kwa watu kuumizwa bali kwa taarifa kusambaa...Tunaishi na Mashetani live.Kwani we ulitakaje mkuu? Iwe siri?
Tatizo sio wewe Bali jina ulilochagua.Viashiria vinaonesha yupo mtu au kundi la watu wanaolipia hii habari ili iwe viral.
ila wananchi bana dah, hawawaonei huruma tena viongozi wao, maskini wanapambana wenyewe tu 🐒Viashiria vinaonesha yupo mtu au kundi la watu wanaolipia hii habari ili iwe viral.
Hao Brussels wakiwapa mikopo mbona huwa mnasafiri na delegation kubwa kwenda huko huku mkikenua meno kusainishwa mikataba ya mikopo huku mkiachia rasilimali zetu?Watu wako kazini....payroll
Sponsors wa ndani ?!!
Sponsors kutoka Brussels ?!!
Haijulikani....
Taifa liko katika uadui mkubwa
Mwenyezi Mungu alilinde taifa letu bora duniani aaamin [emoji7]
Is it so? No idea.Viashiria vinaonesha yupo mtu au kundi la watu wanaolipia hii habari ili iwe viral.