Nani atufumbue kuhusu hawa wahindi na waarabu juu ya wanachokifanya huku mitaani

Nani atufumbue kuhusu hawa wahindi na waarabu juu ya wanachokifanya huku mitaani

1.Maji wakinawa yanakwenda wapi ..!?
2:hao wanaokula life expectancy yao ikoje...!??
3:hali zao za kiuchumi zilikuwaje kabla ya kuanza kupewa msosi wa bure...na baada ya kupewa hali zao zikoje


Kama jibu hujui basi hiyo ni sadaka tu wanatoa hao ndugu zetu waarabu na wahindi
Vya bure vina gharama.
 
Nilitoka Morogoro mwaka huu mwanzoni mwezi wa 4 Kuja Moshi mjini kutokana na masuala ya kifamilia,

Nifupishe mada kilichonistajabisha ni kwamba kila ipokua inafika jioni majira ya saa kumi na nusu muda wa Azana, niliona kundi kubwa la watoto na watu wazima wachache wakiongozana kuelekea katika jumba moja ambamo walidai walikua wakipikiwa chakula Aina ya wali, pilau kwa maharagwe na kila siku mbili katika week walichichinjwa mbuzi, hivyo kila week mbuzi 2.

Na kwa makadirio mchele ulikua sio chini ya kg50 kila siku na nilipojaribu kuwauliza zoezi hili limeanza lini na linaisha lini? walidai limeanza baada ya mfungo kwisha na litaishia mwezi wa kumi na mbili du! Nilibaki mdomo wazi, kwakua ni kitu ambacho sijawaiona wala kusikia sadaka ya kulisha watu kwa miezi yote hii na nikiwa Moshi niliuza watu kadha hawakuweza nipa majibu sahihi na hata nilipokwenda Many Ara na Arusha pia sikupata majibu husika, mwenye kujua hii kitu kiundani atufungue tafadhali.

Maswali yangu ni kama haya;
1. Lengo la kupika na kuchinja na kulisha watu kila siku isipokua juma pili ni nini?
2. Je Kuna madhara yoyote kwa wanaokwenda kushiriki kula chakula icho?
3. Ni upi salama wa chakula, mamlaka za serikali zinashiriki kupima ubora wa chakula?
4. Je hii umeshawai kuishuhudia mtaani kwenu?
5. Je hamna Imani za kishirikina zinazoambatana na zoezi hilo hasa kwenye kuchinja mnyama?
Wenzenu wanaamini sana katika sadaka.. kutoa sio lazima iwe kanisani au msikitini pekee

Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
 
Hizo ni kafara za chakula na damu, kifupi hao walaji ni kwishney kabisa kabisa ni sawa na msukule walahi!
Ukialikwa na hao watu usile kitu chochote hata kama una ubao wa namna gani yaani usiguse!
Hata kama huyo mtu ni rafiki!
Duu aisee naumia sauna mkuu
 
Nilitoka Morogoro mwaka huu mwanzoni mwezi wa 4 Kuja Moshi mjini kutokana na masuala ya kifamilia,

Nifupishe mada kilichonistajabisha ni kwamba kila ipokua inafika jioni majira ya saa kumi na nusu muda wa Azana, niliona kundi kubwa la watoto na watu wazima wachache wakiongozana kuelekea katika jumba moja ambamo walidai walikua wakipikiwa chakula Aina ya wali, pilau kwa maharagwe na kila siku mbili katika week walichichinjwa mbuzi, hivyo kila week mbuzi 2.

Na kwa makadirio mchele ulikua sio chini ya kg50 kila siku na nilipojaribu kuwauliza zoezi hili limeanza lini na linaisha lini? walidai limeanza baada ya mfungo kwisha na litaishia mwezi wa kumi na mbili du! Nilibaki mdomo wazi, kwakua ni kitu ambacho sijawaiona wala kusikia sadaka ya kulisha watu kwa miezi yote hii na nikiwa Moshi niliuza watu kadha hawakuweza nipa majibu sahihi na hata nilipokwenda Many Ara na Arusha pia sikupata majibu husika, mwenye kujua hii kitu kiundani atufungue tafadhali.

Maswali yangu ni kama haya;
1. Lengo la kupika na kuchinja na kulisha watu kila siku isipokua juma pili ni nini?
2. Je Kuna madhara yoyote kwa wanaokwenda kushiriki kula chakula icho?
3. Ni upi salama wa chakula, mamlaka za serikali zinashiriki kupima ubora wa chakula?
4. Je hii umeshawai kuishuhudia mtaani kwenu?
5. Je hamna Imani za kishirikina zinazoambatana na zoezi hilo hasa kwenye kuchinja mnyama?

mtoa mada ni shoga
 
Back
Top Bottom