Tembatemba
Member
- Aug 22, 2022
- 17
- 23
- Thread starter
- #61
HahahaaaaaaaHata mafuta utumia cheap sijui wanayaokota wapi.
Hata oil wanaweza wakatumia kupikia.
Ingefaa zaidi mtu ubebe chakula chako sema mazingira tu ndo tatizo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahaaaaaaaHata mafuta utumia cheap sijui wanayaokota wapi.
Hata oil wanaweza wakatumia kupikia.
Ingefaa zaidi mtu ubebe chakula chako sema mazingira tu ndo tatizo
Hata mafuta utumia cheap sijui wanayaokota wapi.
Hata oil wanaweza wakatumia kupikia.
Ingefaa zaidi mtu ubebe chakula chako sema mazingira tu ndo tatizo
Ni kweli hawafikirii kesho ya wateja waoHata oil wanaweza wakatumia kupikia.
Wakaanga chips na Mihogo hiiAu unakuta mafuta yanarudiwa mpaka yanabadilika kuwa meusi tii utadhani oil chafu, aise kwa hali hiyo tutaacha kuumia kweli!!
Kabisa, na samaki piaWakaanga chips na Mihogo hii
Ni kweli hawafikirii kesho ya wateja wao
Limtokalo mtu ndio limjaalo, pole Sana Mungu aitoe akili yako katika kuwwaza uchafu kama uo, sio kosa lako, pia inaonesha ni vitu vilivyotawalamtoa mada ni shoga
Muafrika ni best race duniani, acha kijirazau, Ina maanisha ata ukoo wako ulitokana na mashetan, Mungu unaona watu wko wanavyokukana,sisi waafrica hatukuumbwa na mungu sisi tulizaliwa na mashetani
Either una bifu na hizo asili au chuki binafsi tu halafu vipi unajua maana ya neno "wallahi " au kama ulivyoliandika "walahi"?Hizo ni kafara za chakula na damu, kifupi hao walaji ni kwishney kabisa kabisa ni sawa na msukule walahi!
Ukialikwa na hao watu usile kitu chochote hata kama una ubao wa namna gani yaani usiguse!
Hata kama huyo mtu ni rafiki!
Mimi nikialikwa na asiekua muislamu, nakua na mashaka, huenda vile viombo vimetumika pia kupikia nyamafu, japo sio wakristo wote wanaokula nyamafu, msininukuu vibaya.
Lakini kwa ndugu zangu waislamu/waarabu sina wasiwasinao kabisa, kwa sababu uislamu umeharamisha kula nyamafu, na muislamu hawezi kufanya huo ujinga
Chakula ni ibada, wanaunganishwa na madhababu za kichawi. Nafsi zao zinafanywa kuwa sadaka ya madhabahu za wahindi.Nilitoka Morogoro mwaka huu mwanzoni mwezi wa 4 Kuja Moshi mjini kutokana na masuala ya kifamilia,
Nifupishe mada kilichonistajabisha ni kwamba kila ipokua inafika jioni majira ya saa kumi na nusu muda wa Azana, niliona kundi kubwa la watoto na watu wazima wachache wakiongozana kuelekea katika jumba moja ambamo walidai walikua wakipikiwa chakula Aina ya wali, pilau kwa maharagwe na kila siku mbili katika week walichichinjwa mbuzi, hivyo kila week mbuzi 2.
Na kwa makadirio mchele ulikua sio chini ya kg50 kila siku na nilipojaribu kuwauliza zoezi hili limeanza lini na linaisha lini? walidai limeanza baada ya mfungo kwisha na litaishia mwezi wa kumi na mbili du! Nilibaki mdomo wazi, kwakua ni kitu ambacho sijawaiona wala kusikia sadaka ya kulisha watu kwa miezi yote hii na nikiwa Moshi niliuza watu kadha hawakuweza nipa majibu sahihi na hata nilipokwenda Many Ara na Arusha pia sikupata majibu husika, mwenye kujua hii kitu kiundani atufungue tafadhali.
Maswali yangu ni kama haya;
1. Lengo la kupika na kuchinja na kulisha watu kila siku isipokua juma pili ni nini?
2. Je Kuna madhara yoyote kwa wanaokwenda kushiriki kula chakula icho?
3. Ni upi salama wa chakula, mamlaka za serikali zinashiriki kupima ubora wa chakula?
4. Je hii umeshawai kuishuhudia mtaani kwenu?
5. Je hamna Imani za kishirikina zinazoambatana na zoezi hilo hasa kwenye kuchinja mnyama?
Imani za ajabu..... ila halazimishwi mtu kula.Hizo ni kafara za chakula na damu, kifupi hao walaji ni kwishney kabisa kabisa ni sawa na msukule walahi!
Ukialikwa na hao watu usile kitu chochote hata kama una ubao wa namna gani yaani usiguse!
Hata kama huyo mtu ni rafiki!
Hili ndio jibu.Masadaka tu hayo wanafanya
Ova
Either una bifu na hizo asili au chuki binafsi tu halafu vipi unajua maana ya neno "wallahi " au kama ulivyoliandika "walahi"?