Nani atufumbue kuhusu hawa wahindi na waarabu juu ya wanachokifanya huku mitaani

Nani atufumbue kuhusu hawa wahindi na waarabu juu ya wanachokifanya huku mitaani

Hata mafuta utumia cheap sijui wanayaokota wapi.
Hata oil wanaweza wakatumia kupikia.
Ingefaa zaidi mtu ubebe chakula chako sema mazingira tu ndo tatizo

Au unakuta mafuta yanarudiwa mpaka yanabadilika kuwa meusi tii utadhani oil chafu, aise kwa hali hiyo tutaacha kuumia kweli!!
 
mtoa mada ni shoga
Limtokalo mtu ndio limjaalo, pole Sana Mungu aitoe akili yako katika kuwwaza uchafu kama uo, sio kosa lako, pia inaonesha ni vitu vilivyotawala
sisi waafrica hatukuumbwa na mungu sisi tulizaliwa na mashetani
Muafrika ni best race duniani, acha kijirazau, Ina maanisha ata ukoo wako ulitokana na mashetan, Mungu unaona watu wko wanavyokukana,
 
Hizo ni kafara za chakula na damu, kifupi hao walaji ni kwishney kabisa kabisa ni sawa na msukule walahi!
Ukialikwa na hao watu usile kitu chochote hata kama una ubao wa namna gani yaani usiguse!
Hata kama huyo mtu ni rafiki!
Either una bifu na hizo asili au chuki binafsi tu halafu vipi unajua maana ya neno "wallahi " au kama ulivyoliandika "walahi"?
 
Mimi nikialikwa na asiekua muislamu, nakua na mashaka, huenda vile viombo vimetumika pia kupikia nyamafu, japo sio wakristo wote wanaokula nyamafu, msininukuu vibaya.

Lakini kwa ndugu zangu waislamu/waarabu sina wasiwasinao kabisa, kwa sababu uislamu umeharamisha kula nyamafu, na muislamu hawezi kufanya huo ujinga

Mara vipikiwe kitimoto
 
Nilitoka Morogoro mwaka huu mwanzoni mwezi wa 4 Kuja Moshi mjini kutokana na masuala ya kifamilia,

Nifupishe mada kilichonistajabisha ni kwamba kila ipokua inafika jioni majira ya saa kumi na nusu muda wa Azana, niliona kundi kubwa la watoto na watu wazima wachache wakiongozana kuelekea katika jumba moja ambamo walidai walikua wakipikiwa chakula Aina ya wali, pilau kwa maharagwe na kila siku mbili katika week walichichinjwa mbuzi, hivyo kila week mbuzi 2.

Na kwa makadirio mchele ulikua sio chini ya kg50 kila siku na nilipojaribu kuwauliza zoezi hili limeanza lini na linaisha lini? walidai limeanza baada ya mfungo kwisha na litaishia mwezi wa kumi na mbili du! Nilibaki mdomo wazi, kwakua ni kitu ambacho sijawaiona wala kusikia sadaka ya kulisha watu kwa miezi yote hii na nikiwa Moshi niliuza watu kadha hawakuweza nipa majibu sahihi na hata nilipokwenda Many Ara na Arusha pia sikupata majibu husika, mwenye kujua hii kitu kiundani atufungue tafadhali.

Maswali yangu ni kama haya;
1. Lengo la kupika na kuchinja na kulisha watu kila siku isipokua juma pili ni nini?
2. Je Kuna madhara yoyote kwa wanaokwenda kushiriki kula chakula icho?
3. Ni upi salama wa chakula, mamlaka za serikali zinashiriki kupima ubora wa chakula?
4. Je hii umeshawai kuishuhudia mtaani kwenu?
5. Je hamna Imani za kishirikina zinazoambatana na zoezi hilo hasa kwenye kuchinja mnyama?
Chakula ni ibada, wanaunganishwa na madhababu za kichawi. Nafsi zao zinafanywa kuwa sadaka ya madhabahu za wahindi.
 
Hizo ni kafara za chakula na damu, kifupi hao walaji ni kwishney kabisa kabisa ni sawa na msukule walahi!
Ukialikwa na hao watu usile kitu chochote hata kama una ubao wa namna gani yaani usiguse!
Hata kama huyo mtu ni rafiki!
Imani za ajabu..... ila halazimishwi mtu kula.
 
Wahindi na waarabu wanahusikaje? Maana hujawaandika popote ndani ya mada yako
 
Hii nchi inawatu waajabu saana hawa ndio hata akitembelewa na ndugu au rafiki wanaficha vyakula ndani sasa wanashangaa vip mtu kuwalisha watu zaid ya 50.
 
Habari mleta mada naona hakuna aliyekujibu kwa usahihi , sasa nakujibu short n' clear , kwanza jua tu hyo ishu una weza kuiona sehemu yoyote tz hasa ktk misikiti , madrasa, majilisi nk, KWA NINI WAGAWE CHAKULA?, hakuna ubaya wowote kugawa chakula, fedha , mahitaji ya kibinadamu kwa wahitaji kwani hii ktk uislamu ni sadaka hvo mtoaji anatekeleza amri ya mola wake hvo huwa aidha ni sadaka kwa uchache ama dhaka kwa wingi , pia mleta mada na members wngine hao wanao fanya hvo kama AFRICABLE ni dhehebu la SHIA , hvo dhehebu hilo ndio hupenda kufanya sadaka hzo , pia hufanya hvo kuvutia SUNI ,
note back SHIA wana miliki viwanda na taasisi nyingi, wengi ni wahindi na waarabu kiasi , bosi wa siooo wa kike naye ni shia , trh , in short wahindi wengi ambao ni waislamu ni shia , Aga khan , bohora wote hao ,
Pia hvo vyakula havina shida yoyote nijuavyo mimi
Naombeni ulinzi
 
Either una bifu na hizo asili au chuki binafsi tu halafu vipi unajua maana ya neno "wallahi " au kama ulivyoliandika "walahi"?

Usishangae hata baadhi ya waislamu humu n.k wanawachukia waarabu.. na haya yote ni kutokua na imani,, huwa nawashauri sana humu tusomeni dini.
 
Back
Top Bottom