Nani atufumbue kuhusu hawa wahindi na waarabu juu ya wanachokifanya huku mitaani

Vya bure vina gharama.
 
Wenzenu wanaamini sana katika sadaka.. kutoa sio lazima iwe kanisani au msikitini pekee

Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
 
Hizo ni kafara za chakula na damu, kifupi hao walaji ni kwishney kabisa kabisa ni sawa na msukule walahi!
Ukialikwa na hao watu usile kitu chochote hata kama una ubao wa namna gani yaani usiguse!
Hata kama huyo mtu ni rafiki!
Duu aisee naumia sauna mkuu
 

mtoa mada ni shoga
 
sisi waafrica hatukuumbwa na mungu sisi tulizaliwa na mashetani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…