Nani atufumbue kuhusu hawa wahindi na waarabu juu ya wanachokifanya huku mitaani

ukiwa maskini kuna sadaka huwez kuzijua jitahidi uwe na hela ujue kujitoa kwa wenye uhitaji upo mtaa wanagawa mpka hela ww kulishwa ndo unashangaa
 
SI mtaani kwetu kondoo 200 walichinjwa.kuna jamaa mlevi anaaitwa j akachukua nyama ili aende kuuza ghafla akagongwa na Noah akafa hapohapo
 
Miaka kumi iliyopita hao watu wiokuwa wakikarimu watu Moshi, Bomang'ombe na Arusha walikamatwa kwa ugaidi na kwa ufahamu wangu na maneno ya Sheikh Ponda kuwa mpaka leo hawaja achiwa na hawajawahi kufikishwa mahakamani
 
ukiwa maskini kuna sadaka huwez kuzijua jitahidi uwe na hela ujue kujitoa kwa wenye uhitaji upo mtaa wanagawa mpka hela ww kulishwa ndo unashangaa
Mtaa gani huo nipite kesho?
 
wahindi ns waarabu wameiningaje hapo?
 
Miaka kumi iliyopita hao watu wiokuwa wakikarimu watu Moshi, Bomang'ombe na Arusha walikamatwa kwa ugaidi na kwa ufahamu wangu na maneno ya Sheikh Ponda kuwa mpaka leo hawaja achiwa na hawajawahi kufikishwa mahakamani

Aisee, mama afanye kila namna awatoe hawa ndugu zetu.
 
Huku JF sometimes you may find mtu kapata like hata 50 kwa point ya kijinga tu isiyokuwa na maana au thread ya kipumbavu tu lakini subscribers hao lakini point ya msingi kama hii au thread yenye umaana mkubwa ni very reverse
 
SI mtaani kwetu kondoo 200 walichinjwa.kuna jamaa mlevi anaaitwa j akachukua nyama ili aende kuuza ghafla akagongwa na Noah akafa hapohapo
Hapo mkuu kuna nadharia 2, ila zote ni sawa , ya 1 hyo ni ajari kama ajari zingine na ahadi yake isha fika , ya 2 na kubwa ni kuwa ALLAH alichukia kitendo cha yeye kudhurumu, na hii ni ahadi ya ALLAH kuwa hujibu kwa haraka dua za yatima na anaye dhurumiwa , sasa hyo mwamba alimjaribu mungu, hv unajisikiache kudhurumu chakula cha maskini ?, sasa mtu 1 tena kaacha kununua chakula eti kaenda kuelewea kisha anakuja kuchukua chakula cha wasio jiweza , huo sio uchawi , hyo ni ALLAH
 
Ni sadaka kama sadaka zingine japokuwa wapo wanaofanya na mambo yao ya ajabu.
Ila sie kila baada ya miezi 3, sikukuu au mwezi mtukufu huwa tunachinja ng'ombe 3 hadi 6 kwa ajili ya sadaka. Pamoja na kutoa mchele, maharagwe, unga wa ngano pamoja na sukari.
 
Lengo ni mchele uliwe, madhara ukila kwa pupa utavimbiwa, usalama ni kuwa makini na mifupa midogomidogo kwani ikikukwama utakufa, nimeshuhudia kwdnye misiba, kuchinja mnyama kunahitaji kisu kikali na mchinjaji atazame kaskazini(Maka).
Mwisho nakushauri acha uroho na kuchungulia majumba yasiyo kuhusu.
 
Mtu ukiwa huna asili ya wema basi ukiona mwenzako anatoa sadaka wewe lazima uwe na mashaka na huyo mtu. Wakati wewe unatumia faida yako yote ya mapato kwenye Bar wenzako wanatoa fungu kusaidia masikni.

Warabu na wahindi ndio wanaongoza kwa kutoa misaada kwa maskini tanzania lakini kama alivyo sema member mmoja humu "waswahili hawana kheri"
 
Hili si kweli. warabu na wahindi ni wakaoloni na wana mashirikiano na unasaba na mzungu kumkandamiza mtu mweusi. na hawana maadili yoyote ya maana kumshinda mtu mweusi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…