Electromagnetism
JF-Expert Member
- Nov 4, 2014
- 482
- 126
67 sasa hii name ya masumbuko dogo mbona dizaini kama inakizina na ageManeno yako ni kweli kabisa...mimi nilisoma na GENERAL wa sasa wa jeshi letu kuanzia 1967 to 1970 tukiwa wanafunzi140.Huyu Mkuu alikuwa akishika Namba MOJA from day one mpaka tunamaliza form four.
67 sasa hii name ya masumbuko dogo mbona dizaini kama inakizina na age
Yes.... uko sahihi.... kukujuza ni kwamba Dogo is my first name...kwa nini Dogo?? Kikwetu mtoto wa kwanza wa kiume anachukuwa jina la babu kwa baba,wa pili anachukwa la babu kwa mama.kwa bahati majina ya ma babu yanafanana ndiyo maana nikaitwa Dogo.Masumbuko ni la kimila.
ukiona mtu amesoma shule halafu anawaponda wale waliokuwa wanaongoza darasani kuwa ati maisha yao huwa si ya mafanikio ujuo jamaa alikuwa anashika mkia darasani. mbona jamani watu wengi waliokuwa wanaogoza darasani hakuna hata mjinga mmoja anayezagaa mtaani? na mfano mimi niliongoza sana na hadi leo maisha yangu mazuri kuliko wale mazuzu waliokuwa wanashika mkia. kumbe huwa mna hasira sana na sisi tunapowaburuta ehee.poleni.
Genius ni mtu mwenye IQ zaidi ya 110
Pamoja na kuleta mada nzuri,tangu siku 3 zilizopita,lakini inashangaza hakuna aliyekujibu,ngoja mimi nifanye kazi hi:Genius ni mtu yeyote ambaye ana uwezo mkubwa wa kutambua mambo kabla hayajajiri,hapa siamanishi eti ni mtabiri,ni mtu ambaye huwezi kamwe kuichezea akili yake,mwepesi wa kuelewa na kujifunza kwa uangalifu wa hali ya juu,mbunifu,jasiri,na anayeweza kufanya maajabu ya karne ktk jukumu lolote alilopewa!
hapana hao jamaa ni hatar hawafai kuongoza hata ndege. kuna mstar mdogo sana unaotenganisha uchiz na ugenius.
...mwenyewe ninamaisha mazuri kaka,nilitoka chuo tu na kuajiliwa hapohapo..vilaza watuache...ukiona mtu amesoma shule halafu anawaponda wale waliokuwa wanaongoza darasani kuwa ati maisha yao huwa si ya mafanikio ujuo jamaa alikuwa anashika mkia darasani. mbona jamani watu wengi waliokuwa wanaogoza darasani hakuna hata mjinga mmoja anayezagaa mtaani? na mfano mimi niliongoza sana na hadi leo maisha yangu mazuri kuliko wale mazuzu waliokuwa wanashika mkia. kumbe huwa mna hasira sana na sisi tunapowaburuta ehee.poleni.
...mwenyewe ninamaisha mazuri kaka,nilitoka chuo tu na kuajiliwa hapohapo..vilaza watuache...
angalia mfano hai ktk darasa lako wale waliokua na akili sana wameishia kuishi maisha ya kawaida sana tena labda maisha duni wale waliokua na akili wastani chek wengi wametoka kimaisha........mf tu
Niko serious...Mbona wahindi wamepanga NHC lakini ndio waajiri wako?,..kwani wewe unatafsiri maisha mazuri ni yapi?maisha mazuri unaishi kwenye nyumba ya kupanga...are u serious?
Seriously?
jini ndo naniEtymologically speaking, mzizi wa neno "genius" unaturudisha kwenye neno la Kiswahili lililotoholewa kutoka kiarabu "jini".
Mtu anayefaa kuitwa "genius" ni yule.mwenye uwezo usio wa kibinadamu, unaofananishwa na uwezo wa jini.