Ni mtu mwenye uwezo wa kufanya mambo juu ya umri wake,matendo meng huwa yapo ndan y umri tulionao, ukifanya jambo ambal ni zaid ya your chronological age utaitwa genius,but pia tunaangalia mazingira n kitendo kam yanaendan au ls
hi obsarvation yako ni kweli mkuu
hivi apa tz genius ni nan na nan
basi Mimi napaswa kutambuliwa kama Genius maana ninauwezo wa kumuambia mtu madhara au hasara atakayo ipata kabla hajafanya anacho taka kufanya na kweli akifanya inakua kama nilivyo muambia
kuna tofauty kati ya uganga wakienyeji na u genius
sio kweli. standard IQ ni 125%. genius wanaanzia 150 na kuendelea. kipimo sio lazima sayansi mi kwenye jambo lolote. mfano Messi kwenye mpira au opra kwenye tv shows au ccm kwenye wizi wa kura wanategewa africa ya mashariki na kusini.
Kuongoza darasani ndilo kigezo cha igenius?last time i checked Isaack Newton alidisco chuo kikuu.
Kumbuka ili ufaulu darasani unapaswa ushike kanunu/masuala uliyofundishwa darasani, genius sio kushika uliyoambiwa bali kwenda mbali zaidi na kuina makosa kwa ulichoambiwa na kukigundua ambacho wengine wakiwemo maprofesa wa wakati huo na walimu wako hawakujua kama kipo.
Magenius hawakubali tu kitu wanachoambiwa, wanakipima kwa uwezo wa juu na kukikataa inapobidi.
Sasa ukiwa shuleni kwenye paper alafu unaulizwa je dunia ina umbo gani?kwa elimu ya zamani waliambiwa ni sahani, sasa mtu kama Gallileo angekujibu sio sahani bali ni duara, kwenye mtihani angefeli.
Genius ni mtu mwenye suluhisho wa mambo ama jambo ambalo mtu wa kawaida hawezi kutekeleza... Moreover, Genius Hutumia akili yake kufikiria na kutatua complex issues kwa njia rahisi sana ...ma - genius wengi wazazi wao walikuwa na lishe bora kuanzia wakati wa mimba na miaka miwili ya kunyonyeshwa maziwa yenye virutubisho muhimu kutoka kwa mama! Inasemekana Africa kuna Genius wengi sana ila waliharibiwa na utapi wa Mlo pamoja na Sindano nyingi zikiwemo chanjo ya ndui!! Inasemekana watoto wengi waliozaliwa miaka ile ya unga wa yanga hawana akili kwani hawakupata virutubisho muhimu! Sasa hivi wanasema kuwa watoto hawana akili kutokana na life style yetu ya ulevi na kula vyakula vya supermarket ...
Genius ni mtu mwenye suluhisho wa mambo ama jambo ambalo mtu wa kawaida hawezi kutekeleza... Moreover, Genius Hutumia akili yake kufikiria na kutatua complex issues kwa njia rahisi sana ...ma - genius wengi wazazi wao walikuwa na lishe bora kuanzia wakati wa mimba na miaka miwili ya kunyonyeshwa maziwa yenye virutubisho muhimu kutoka kwa mama! Inasemekana Africa kuna Genius wengi sana ila waliharibiwa na utapi wa Mlo pamoja na Sindano nyingi zikiwemo chanjo ya ndui!! Inasemekana watoto wengi waliozaliwa miaka ile ya unga wa yanga hawana akili kwani hawakupata virutubisho muhimu! Sasa hivi wanasema kuwa watoto hawana akili kutokana na life style yetu ya ulevi na kula vyakula vya supermarket ...
Kumbuka kwamba kuwa Genius sio hadi uongoze darasani. Inasemekana sirr isack newton alikuwa akishika nafasi ya mwisho kwenye mitihani yake, kumve ni kwa sababu alikuwa na akili kumzidi mwalimu wake.Mi namjua jamaa Fulani tulikuwa tunasoma huyu jamaa toka form one alikuwa anatoongoza tena kwa arama za juu kabisa masomo yote huyohuyo aliiongoza katika matokeo ya form four na form six bado pale udsm aliongoza kitivo cha physics sasa hivi yupo Norway kwenye kampuni ya madini kama senior enginner
Edi ni kanjanja tu wala hana lolote alikuwa business man wali invert workers wake ila aka patent yeyeTHOMAS EDISON...... Huyu jamaa ni real Genius. Soma habari zake. Ndio amegundua taa za umeme, camera nk
Anasema: "Genius is 1% inspiration, 99% perspiration"
Ukitaka kuamini ni Genius wa ukweli yeye ni Self Educated.
alafu sijui kwann edson anajizolea sifa za bure...Edi ni kanjanja tu wala hana lolote alikuwa business man wali invert workers wake ila aka patent yeye