Vhagar
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 20,550
- 39,949
namkubali sana.Kwa maswala ya Tech huyo mwamba namvulia kofia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
namkubali sana.Kwa maswala ya Tech huyo mwamba namvulia kofia
Nyani ngabu kama sio nyuzi basi ni comments kwa miaka ya nyuma katika jukwaa hiliKwa Kasie sawa ila unaniambia Nyani Ngabu umekuwa ukisoma nyuzi zake za mahusiano?
Yaani ngabu ashindwe kuiponda serikali akabishane na akina Zero IQ kwenye nyuzi za mahusiano
Mbona Ricky boy hujamtaja?Habari zenu Wana JF wenzangu!! Kwa kujiunga ni new member lakini nimekuwa nikisoma nyuzi mbalimbali za mahusiano forum Toka 2014 Bila kulog in, nikafanya maamuzi nijiunge maana nimekuwa napata mengi sana kupitia jukwaa hili.
Kuna members mpaka majina yao yapo kichwani kwa nyuzi nzuri na mengineyo; Kuna mshana Jr, the boss, Faiza foxy, nyani ngabu, sky eclat, sexless, zero iq, deepond and so on.
Kassie sijamweka hapo juu mana yeye nyuzi zake zimekuwa zikiukonga moyo wangu haswaa imebidi nimtaje kipekee kabisaa.
Haya Wana JF wenzangu nani nyuzi zake Huwa zinakukonga moyo sana?
Mi nimeanza na Kassie
View attachment 2156764
Mzee wa kimasiharaMbona Ricky boy hujamtaja?
Asante X.800.Paula Paul huyu dada yuko positive sana, natamani nimuone.
Yes huyu dada na mm ananikosha sana nadhani kichwa chake vizuri mnoo ,natamani kukutana nae siku moja.Paula Paul huyu dada yuko positive sana, natamani nimuone.
Jamii intelligence pale ndio Pana vichwa asee watu wanabishana Kwa fact na evidence sio hap mtu akiweka nyuz ya kuomba ushauri watu comment zao mda wote tafta hela ,tafta hela
Lara 1 ile ilikuwa ni kitu nyingine. Haijawahi kupata mpinzani. Sijui kaenda wapi siku hizi.lara 1 story zake na wengine weeeengi
Kama tatizo linatatulika na hela tutamshauri nini zaidi ya TAFUTA HELAJamii intelligence pale ndio Pana vichwa asee watu wanabishana Kwa fact na evidence sio hap mtu akiweka nyuz ya kuomba ushauri watu comment zao mda wote tafta hela ,tafta hela