Nani huwa nyuzi zake zinakuvutia sana?

Nani huwa nyuzi zake zinakuvutia sana?

Habari zenu Wana JF wenzangu!! Kwa kujiunga ni new member lakini nimekuwa nikisoma nyuzi mbalimbali za mahusiano forum Toka 2014 Bila kulog in, nikafanya maamuzi nijiunge maana nimekuwa napata mengi sana kupitia jukwaa hili.

Kuna members mpaka majina yao yapo kichwani kwa nyuzi nzuri na mengineyo; Kuna mshana Jr, the boss, Faiza foxy, nyani ngabu, sky eclat, sexless, zero iq, deepond and so on.
Kassie sijamweka hapo juu mana yeye nyuzi zake zimekuwa zikiukonga moyo wangu haswaa imebidi nimtaje kipekee kabisaa.

Haya Wana JF wenzangu nani nyuzi zake Huwa zinakukonga moyo sana?
Mi nimeanza na Kassie

View attachment 2156764
Kuna taarifa kuwa FaizaFoxy amekwenda kujilipua Nigeria baada ya kufuzu kozi za kigaidi kule Yemen.
 
Huwa nashindwa kukumbuka majina ya waandika nyuzi mbalimbali,ila jamii intelligence Kuna mada nyingine ziko deep Sana...
 
Kuna member wapo vizuri ila ni kwenye comments zao na sio kwa kuanzisha nyuzi,sio kila memeber hua yupo interested kuanzisha thd bali wengine hua na michango mizuri kwenye comments zao,
So,bila shaka hilo nalo ungelijumuisha kwenye thd yako kama unaona ni sahihi mkuu,

Binafsi napenda sana comments za KikulachoChako huyu jamaa hua anaenda kwa fact na kwa ushauri mzuri kwa muhusika.
Nitarudi kutaja wengine.
 
Kuna member wapo vizuri ila ni kwenye comments zao na sio kwa kuanzisha nyuzi,sio kila memeber hua yupo interested kuanzisha thd bali wengine hua na michango mizuri kwenye comments zao,
So,bila shaka hilo nalo ungelijumuisha kwenye thd yako kama unaona ni sahihi mkuu,

Binafsi napenda sana comments za KikulachoChako huyu jamaa hua anaenda kwa fact na kwa ushauri mzuri kwa muhusika.
Nitarudi kutaja wengine.
You're right
 
Habari zenu Wana JF wenzangu!

Kwa kujiunga ni new member lakini nimekuwa nikisoma nyuzi mbalimbali za mahusiano forum Toka 2014 Bila kulog in, nikafanya maamuzi nijiunge maana nimekuwa napata mengi sana kupitia jukwaa hili.

Kuna members mpaka majina yao yapo kichwani kwa nyuzi nzuri na mengineyo; Kuna mshana Jr, the boss, Faiza foxy, nyani ngabu, sky eclat, sexless, zero iq, deepond and so on. Kassie sijamweka hapo juu mana yeye nyuzi zake zimekuwa zikiukonga moyo wangu haswaa imebidi nimtaje kipekee kabisaa.

Haya wana JF wenzangu nani nyuzi zake Huwa zinakukonga moyo sana?

Mimi nimeanza na Kassie

View attachment 2156764
[emoji1545][emoji1545][emoji1545][emoji1545][emoji1534]
 
Yule Infantry Soldier watu walimsifia basi akajikuta The Bold, kakimbilia huko kafungua blog uchwara sasa analialia tu.
 
Back
Top Bottom