King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Mi ht sielewi watu wanapanic nin
Wkt ni km mtu asahau kirefu cha TRA ama PCCB
Kwa Mwigulu sio kwamba kasahau bali kashindwa kujua maana ya TRAT na TRAB ,kasema kabisa hazipo kwenye mashauri haya ya kikodi ya yaya ya ya yaya yayaya yaya ya TRAT na TRAB.
Watu wanataka kujua TRAT na TRAB nini nini kisha unarudia vile vile.