Nani kamuelewa Mwigulu baada ya kuhojiwa na spika Tulia kupitia jibu hili?

Nani kamuelewa Mwigulu baada ya kuhojiwa na spika Tulia kupitia jibu hili?

Mi ht sielewi watu wanapanic nin
Wkt ni km mtu asahau kirefu cha TRA ama PCCB

Kwa Mwigulu sio kwamba kasahau bali kashindwa kujua maana ya TRAT na TRAB ,kasema kabisa hazipo kwenye mashauri haya ya kikodi ya yaya ya ya yaya yayaya yaya ya TRAT na TRAB.

Watu wanataka kujua TRAT na TRAB nini nini kisha unarudia vile vile.
 
Inashangaza sana hadi kipindi cha michezo kwenye hizi FM radio usiku huu wanajadili hii issue!
Inabidi tuwashangae ninyi kutokujua umuhimu wa yeye kutofahamu mambo yanayomuhusu...unaambiwa huko kwenye hizo taasisi pana kesi ambazo zimeshika fedha nyingi zaidi ya bajeti ya Nchi hayo mashauri yapo kwenye taasisi anazozisimamia kusema kuwa asijue ni nini kazi tunayo...
 
Kwa Mwigulu sio kwamba kasahau bali kashindwa kujua maana ya TRAT na TRAB ,kasema kabisa hazipo kwenye mashauri haya ya kikodi ya yaya ya ya yaya yayaya yaya ya TRAT na TRAB.

Watu wanataka kujua TRAT na TRAB nini nini kisha unarudia vile vile.
Upo sahihi
 
Kwa Mwigulu sio kwamba kasahau bali kashindwa kujua maana ya TRAT na TRAB ,kasema kabisa hazipo kwenye mashauri haya ya kikodi ya yaya ya ya yaya yayaya yaya ya TRAT na TRAB.

Watu wanataka kujua TRAT na TRAB nini nini kisha unarudia vile vile.
Yaani ni kama VILE unaambiwa, Define chemistry, halafu unatoa definition hii.. CHEMISTRY IS CHEMISTRY..!!
 
Kama haziko TRAB/TRAT inamaana zikio vibindoni mwa watu?
Kasema ukweli hazipo, kwani zilishatolewa? Ingekuwa zimeshatolewa halafu hazipo ndio ingekuwa hoja.

Na kile kigugumizi Sio Kwa ajili yake, na ishu hakutegemea na Sio ya kukurupuka kujibu.

Hakuwepo kwenye negotiations team by then kujua terms zilikuwa vipi, aliekuwa boss wa chungu wakati huo ni mzito hivyo ni ngoma ngumu.

It's a wild card na sijui kama itaisha vizuri kama wataendelea kuikomalia. Ni misheni within misheni
 
Kwa Mwigulu sio kwamba kasahau bali kashindwa kujua maana ya TRAT na TRAB ,kasema kabisa hazipo kwenye mashauri haya ya kikodi ya yaya ya ya yaya yayaya yaya ya TRAT na TRAB.

Watu wanataka kujua TRAT na TRAB nini nini kisha unarudia vile vile.
Manake hazipo kwny hayo mashauri ni ishu ingine
Hapo kisichoeleweka ni nini

TRAB na TRAT ni Tax Tribunals
So hio issue haipo huko
 
Kusahau kirefu sio tatizo sana lakini si unaelewa kazi ya TRA?
Na ndo mana alisema hio Tril 300+ hazipo kwenye mashauri ya TRAB na TRAT

Implying ana ufahamu hio issue haipo kwenye Tax Tribunals
Ni issue nyingine

Ni kama mtu aseme hii ni issue nyingine haipo TRA manake anaelewa what TRA does

Kwanini hamuelewi
I fail to comprehend

Na lilikua swali la ghafla
Mi naiona ni issue ndogo sn
 
Manake hazipo kwny hayo mashauri ni ishu ingine
Hapo kisichoeleweka ni nini

TRAB na TRAT ni Tax Tribunals
So hio issue haipo huko

Spika alitaka kujua TRAT na TRAB ni nini mkuu ,kuhusu hayo mashauri hayapo TRAB na TRAT spika alielewa ila Neno TRAP na TRAB ndio kauliza maana yake ni nini? Ilitakiwa Mwigulu ajibu straight TRAB na TRAB ni kitu fulani ila yeye akarudia ni mashauri ya kikodi ya ya ya ya ya ya ya ya ya ya ya ya ya ya ya ya ya ya ya TRAB na TRAT.
 
Na ndo mana alisema hio Tril 300+ hazipo kwenye mashauri ya TRAB na TRAT

Implying ana ufahamu hio issue haipo kwenye Tax Tribunals
Ni issue nyingine

Ni kama mtu aseme hii ni issue nyingine haipo TRA manake anaelewa what TRA does

Kwanini hamuelewi
I fail to comprehend

Na lilikua swali la ghafla
Mi naiona ni issue ndogo sn
Speaker Aliuliza nini maana ya hiyo TRAB na TRAT? Then ndo maelezo yafate
 
Spika alitaka kujua TRAT na TRAB ni nini mkuu ,kuhusu hayo mashauri hayapo TRAB na TRAT spika alielewa ila Neno TRAP na TRAB ndio kauliza maana yake ni nini? Ilitakiwa Mwigulu ajibu straight TRAB na TRAB ni kitu fulani ila yeye akarudia ni mashauri ya kikodi ya ya ya ya ya ya ya ya ya ya ya ya ya ya ya ya ya ya ya TRAB na TRAT.
Mtu ukiulizwa ghafla ukajibu hili suala linachunguzwa na TAKUKURU/PCCB af mtu akuambie nipe kirefu
Ni kitu unajua ila kusahau inatokea ndo mana akasema huko kwny mashauri ya kikodi
Context iko proper

Wengine tulielewa from get go
Suala la mtu kutokumbuka long form ya neno ndo ahukumiwe??

Yaonekana majority of people pia ni maamuma hawaelewi vitu vingi hadi watafuniwe ndo mana inakua issue

Hata Spika ni very intelligent na anajua hizi TRAB na TRAT ila ni kusahau

Ni suala jepesi tu mtapewa kirefu chake
Bt ishajibiwa suala alilouliza Mpina halipo huko
Cc
Demi
 
watu wengi wanajifanyaga wataalamu lakini ukweli Ni kwamba Ni washika terminologies ambazo wengi zinatupita hewani .. kimbembe mkamate akuelezee hizo terminologies.
 
watu wengi wanajifanyaga wataalamu lakini ukweli Ni kwamba Ni washika terminologies ambazo wengi zinatupita hewani .. kimbembe mkamate akuelezee hizo terminologies.
Watu wanafki sana humu
Ukiwadaka tu ghafla uwaulize kirefu hata cha NHIF ama UNESCO
Mwigulu ana afadhali
 
Watu wanafki sana humu
Ukiwadaka tu ghafla uwaulize kirefu hata cha NHIF ama UNESCO
Mwigulu ana afadhali
Shida gulu ni kiongozi na inabidi awe makin Sana Mana yeye Ni Kama msumari uliojitokeza Ni rahisi kupigwa nyundo.
 
Back
Top Bottom