Nani kanimiss?

Nani kanimiss?

Nimekumiss ila naogopa mwenye mali asije kunitafuta kwa mapanga na marungu kisa tu nimekumiss pisi kali "The Unique Black Beautiful Girl" [emoji1787]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Hakuna yeyote humu jf ambae chakorii ni mali yake.kama umenimiss nichane mwamba usivunge.

Hebu tuwe siriazi kidogo mkuu.ningekuwa na mtu humu jf wallah kuna mwandiko wala comments zangu usingewahi kuziona.
 
Wajameni huu Uzi nikwa wale watu ambao wamewamiss wapendwa wao hii siku ya Leo.

Nani unatamani hapo ulipo uwe naye karibu au uwe unachart naye saii.

Mie sijammiss mtu labda hela

IMG_8167.jpg
 
Hakuna yeyote humu jf ambae chakorii ni mali yake.kama umenimiss nichane mwamba usivunge.

Hebu tuwe siriazi kidogo mkuu.ningekuwa na mtu humu jf wallah kuna mwandiko wala comments zangu usingewahi kuziona.
Nacheka km mazuri
 
Back
Top Bottom