Nani Karuhusu Waturuki kufanya umachinga wa kukopesha vyombo vya umeme mitaani? TBS na FCC mnayajua haya?

Nani Karuhusu Waturuki kufanya umachinga wa kukopesha vyombo vya umeme mitaani? TBS na FCC mnayajua haya?

Hizo zote ni juhudi za mama!

#Mitatuyamama.

Mama anaupiga mwingi.

Cc: Lucas Mbwa wa Shamba.
 
Wana JF.

Si kwa nia mbaya maana waturuki wametoa ajira lakini kuna haya.

Waturuki wamekuwa wakizunguka mitaani na bajaji wakikopesha vyombo mbali mbali. Msala wangu kwao ni kwamba, nani ametoa kibali cha ukaguzi wa vyombo vyao vya umeme?

Kama kuna mtu wa TBS na FCC inabidi kwa pamoja kuchunguza vifaa vinavyosambazwa na waturuki wanaofanya kazi zao kama wamachinga. Waturuki wana bajaji nyingi zinazunguka mjini nyumba kwa nyumba wakikopesha vifaa mbali mbali vya umeme.

Hasa Rice Cooker na Multicooker. Vifaa vingi vinavyotumia moto, hasa wakati wa kupika vimekuwa nyaya za machine zinapata moto kiasi cha kuyeyuka na kusababisha hatari ya kuunguza nyumba. Ni kweli Tanzania ni dampo kuu la vifaa vilivyoigiziwa na kufanywa original , lakini vingi vinaingizwa kwa njia ya panya.

Hipo haja ya kupita nyumba kwa nyumba na kukagua vifaa vya umeme vya majumbani. Hapa tutaepusha nyumba kuwa zinaungua hovyo na kusababisha uharibifu mkubwa wa vitu. Kama FCC na TBS wasipochunguza vifaa vya umeme vinavyoingizwa nchini. Basi tutegemee nyumba nyingi kuungua.
Mimi nilinunua kwao multicooker ipo vizuri sana, binti wa kazi alidondosha mfuniko raba ya valve ikapotea nikawaambia wakanibadilishia mfuniko buree kabisa.. Ingekua ni bwashee apo ananikataa mapemaa... Tatizo lao bei zao nikubwa especially kama hujui ku negotiate.
 
Wana JF.

Si kwa nia mbaya maana waturuki wametoa ajira lakini kuna haya.

Waturuki wamekuwa wakizunguka mitaani na bajaji wakikopesha vyombo mbali mbali. Msala wangu kwao ni kwamba, nani ametoa kibali cha ukaguzi wa vyombo vyao vya umeme?

Kama kuna mtu wa TBS na FCC inabidi kwa pamoja kuchunguza vifaa vinavyosambazwa na waturuki wanaofanya kazi zao kama wamachinga. Waturuki wana bajaji nyingi zinazunguka mjini nyumba kwa nyumba wakikopesha vifaa mbali mbali vya umeme.

Hasa Rice Cooker na Multicooker. Vifaa vingi vinavyotumia moto, hasa wakati wa kupika vimekuwa nyaya za machine zinapata moto kiasi cha kuyeyuka na kusababisha hatari ya kuunguza nyumba. Ni kweli Tanzania ni dampo kuu la vifaa vilivyoigiziwa na kufanywa original , lakini vingi vinaingizwa kwa njia ya panya.

Hipo haja ya kupita nyumba kwa nyumba na kukagua vifaa vya umeme vya majumbani. Hapa tutaepusha nyumba kuwa zinaungua hovyo na kusababisha uharibifu mkubwa wa vitu. Kama FCC na TBS wasipochunguza vifaa vya umeme vinavyoingizwa nchini. Basi tutegemee nyumba nyingi kuungua.
ENDAPO KAMA UMEWAKOPA TAFADHALI WALIPIE FEDHA ZAO.
 
Unaongea kama fala fulani hivi , kwa hiyo hivi vitu feki vilivyopo mitaan na madukani wamevipitisha wao viuzwe !? Kumbe basi hakuna haja ya kuwa na TBS kama wanapitisha vitu bandia viingie sokon
Sometimes za uso zinatakiwa. Mtu anajua kabisa mafeki mengi yapo mitaani serikali yetu imeshindwa kuyazuia richa ya kujua wafanyabiashara waaoingiza bidhaa feki.
 
Wewe ni mgeni na hii nchi. Wamachinga tu wenyewe wameshindwa kuwa manage, kama kuwa legelege wameshakuwa legelege, uki block wamachinga now idadi ya wasio kuwa na ishu za kufanya mtaani itaongezeka. Thats the reality

Labda kama una namna ieea nyingine how to regulate hii kitu iwe na faida kwa jamii. Eitherway kwa jamii ya kitanzania bado sana
Ndio nasema Umachinga ni kielezo cha Taifa lilip shindwa, Umachinga ni ujimga na full indicator za umasikini
 
Unadhani wote tunaweza kuwa "malodilofa/matajiri wenye mitaji mikubwa/wauzaji wa jumla"?Kwa mawazo yako hautaki watanzania baadhi wawe wamachinga ila wageni(waturuki na wachina)waje wawe wachuuzi!Wewe unaona bora kipi;-1.Tuwe na wachuuzi watanzania wenzetu?AU
2.Waje waturuki na wachina watusaidie uchuuzi ambao tunauweza ilhali sisi tupotupo tu na biashara kubwakubwa hatuna mtaji nazo?
Serikali zote hata ukienda Burundi wana Descourage Uchuuzi, Uchuuzi ni ujinga na full umasikini
 
Unadhani wote tunaweza kuwa "malodilofa/matajiri wenye mitaji mikubwa/wauzaji wa jumla"?Kwa mawazo yako hautaki watanzania baadhi wawe wamachinga ila wageni(waturuki na wachina)waje wawe wachuuzi!Wewe unaona bora kipi;-1.Tuwe na wachuuzi watanzania wenzetu?AU
2.Waje waturuki na wachina watusaidie uchuuzi ambao tunauweza ilhali sisi tupotupo tu na biashara kubwakubwa hatuna mtaji nazo?
Biashara kubwa kubwa zipi za uchuuzi mkubwa?
 
Serikali zote hata ukienda Burundi wana Descourage Uchuuzi, Uchuuzi ni ujinga na full umasikini
Sasa Burundi ni ya kuifananishia Tanganyika?Burundi ni Kakonko yenye kuhudhuria mikutano ya Umoja wa Afrika.Marekani/USA kuna machinga/marching-guys.Jitetee ukiwa hapohapo.
 
Mtu mweusi ni jamii dhaifu na jinga kuliko races zingine zote

Usishangae kuambiwa hizo Rice cooker zitatufanya tuwe mashoga na Blender zao zinapunguza nguvu za kiume 🤣
 
Back
Top Bottom