Nani Karuhusu Waturuki kufanya umachinga wa kukopesha vyombo vya umeme mitaani? TBS na FCC mnayajua haya?

Nani Karuhusu Waturuki kufanya umachinga wa kukopesha vyombo vya umeme mitaani? TBS na FCC mnayajua haya?

kumbuka dada zetu wanajiuza uturuki ohoo waache machinga wa kituruki dunia yetu sote mipaka tu isitutenganishe.
 
Mkuu ulitaka waingize kipato kwa serkali badala yao?
Unafikiri wanaweza kuwepo hapa bila Serkali kujua?
Kumbuka wana Visa, Wana Permit, na Balozi zao zinajua wamekuja kufanya nini!

Kwahyo tuilaumu serkali yetu tu kwa hilo
Serikali ndiye wa kulaumiwa kwa hakika kabisa. Imeshindwa kabisa kutimiza wajibu wake wa kuhakikisha usalama na ustawi wa watu wake.
 
Wana JF.

Si kwa nia mbaya maana waturuki wametoa ajira lakini kuna haya.

Waturuki wamekuwa wakizunguka mitaani na bajaji wakikopesha vyombo mbali mbali. Msala wangu kwao ni kwamba, nani ametoa kibali cha ukaguzi wa vyombo vyao vya umeme?

Kama kuna mtu wa TBS na FCC inabidi kwa pamoja kuchunguza vifaa vinavyosambazwa na waturuki wanaofanya kazi zao kama wamachinga. Waturuki wana bajaji nyingi zinazunguka mjini nyumba kwa nyumba wakikopesha vifaa mbali mbali vya umeme.

Hasa Rice Cooker na Multicooker. Vifaa vingi vinavyotumia moto, hasa wakati wa kupika vimekuwa nyaya za machine zinapata moto kiasi cha kuyeyuka na kusababisha hatari ya kuunguza nyumba. Ni kweli Tanzania ni dampo kuu la vifaa vilivyoigiziwa na kufanywa original , lakini vingi vinaingizwa kwa njia ya panya.

Hipo haja ya kupita nyumba kwa nyumba na kukagua vifaa vya umeme vya majumbani. Hapa tutaepusha nyumba kuwa zinaungua hovyo na kusababisha uharibifu mkubwa wa vitu. Kama FCC na TBS wasipochunguza vifaa vya umeme vinavyoingizwa nchini. Basi tutegemee nyumba nyingi kuungua.
Hacha umbeya bro, na wewe nenda uturuki uksfsnye biashara, hapa kwetu ni shamba la bibi, Rais mpigsji, mpaka katibu kata wote wezi,
Kutajirika nchi hii ni rahisi sana kwa mgeni,waturuki wapo kibao Kigamboni, wamefungua kampuni za tiles, magenereta nk, wana watoto wanaongea ki Swahili kama wazaramo! We unsfikri wamekuja Leo bongo!
Watafute Hao waturuki piga nao biashara, wapo mbali sana kwa tekinolojia, unaweza ukawa agent wa bidhaa kutoka Uturuki, vifaa vya ndani, umeme, vifaa vya solar, nk, acha tabia za kimaskini
 
Je,hakuna watanzania wanaofanya kama hivo kwa nchi za wengine? Na wao wanalalamika hivo? Nani alilazimishwa kuchukua kwa mkopo,tena kwa gharama kubwa,na sokoni vitu hivyo vipo? Tanzania ni nchi inayotegemea zilizoendelea,kwa hio,acha wivu wanaoweza wafanye biashara zao
 
Wana JF.

Si kwa nia mbaya maana waturuki wametoa ajira lakini kuna haya.

Waturuki wamekuwa wakizunguka mitaani na bajaji wakikopesha vyombo mbali mbali. Msala wangu kwao ni kwamba, nani ametoa kibali cha ukaguzi wa vyombo vyao vya umeme?

Kama kuna mtu wa TBS na FCC inabidi kwa pamoja kuchunguza vifaa vinavyosambazwa na waturuki wanaofanya kazi zao kama wamachinga. Waturuki wana bajaji nyingi zinazunguka mjini nyumba kwa nyumba wakikopesha vifaa mbali mbali vya umeme.

Hasa Rice Cooker na Multicooker. Vifaa vingi vinavyotumia moto, hasa wakati wa kupika vimekuwa nyaya za machine zinapata moto kiasi cha kuyeyuka na kusababisha hatari ya kuunguza nyumba. Ni kweli Tanzania ni dampo kuu la vifaa vilivyoigiziwa na kufanywa original , lakini vingi vinaingizwa kwa njia ya panya.

Hipo haja ya kupita nyumba kwa nyumba na kukagua vifaa vya umeme vya majumbani. Hapa tutaepusha nyumba kuwa zinaungua hovyo na kusababisha uharibifu mkubwa wa vitu. Kama FCC na TBS wasipochunguza vifaa vya umeme vinavyoingizwa nchini. Basi tutegemee nyumba nyingi kuungua.
Nimeiona Zazibar hii wamekuja ofisini na madide Yao.
 
Unaongea kama fala fulani hivi , kwa hiyo hivi vitu feki vilivyopo mitaan na madukani wamevipitisha wao viuzwe !? Kumbe basi hakuna haja ya kuwa na TBS kama wanapitisha vitu bandia viingie sokon
Cjui lakin nakumbuka miaka ya nyuma niliwah kuleta container la nyaya na ma glope cjui nini kama vile wanavyouza Tronic. Moja ya vitu wanavyohtaji serikali ni pamoja na vibali vya TBS kudhibitisha ubora wa hizo nyaya. Sasa kwasasa cjui maana ile biashara niliacha by that time.
 
Huu ni uhuni mwingine wa serikali. Hawa waturuki na machinga wengine kutoka mataifa mengine hawana hata vibali vya kuishi nchini achilia mbali kufanya biashara

Hapa swali la msingi ni serikali imeanza kutoa vibali kwa wageni kufanya umachinga wa vyombo? Sheria za nchi zinaruhusu?

Ukitaka kujua hawana vibali, chelewesha malipo halafu mshauri aende kufungua madai mahakamani. Hana huo ujanja badala yake kuna baadhi ya viongozi hasa askari polisi wanakuwa wameshaunda nao urafiki. Hawa watu hawana hata jeuri ya kwenda kituo cha polisi

Kingine cha ajabu, wanatembea na siraha kwenye hizi Noah au bajaji wanazotembea nazo na ukitaka kujua ni wakorofi chelewesha malipo yao

Hili binafsi nimelishudia kwa jamaa mmoja aliyechukua vitu vyao kwa makusudi (hakua na lengo la kuvinunua) akivitunza kama vilivyo kwa zaidi ya miezi minne huku akiendelea kusumbuana nao kwenye malipo. Baadae akawaambia hana hela ya kulipa na vifaa vimeshahalibika hivyo waende kushitaki popote ataenda kujieleza

Wee...timbwili lake lilikuwa si la kitoto. Polisi hawataki kwenda badala yake wanawapigia mapolisi "wao" na kwa bahati mbaya simu hazikupokelewa. Uzuri jamaa alishaweka mitego yake ya kujilinda. Vurugu ilipozidi, walitokea watu waliokuwa wamekwisha andaliwa na jamaa wakawakamata wote ili wawapeleke central. Walioanza kuomba yaishe ni wale waturuki na hawakuwa tayari kufika kituoni

Hawana vibali vya kuishi nchini, hawana vibali vya kufanya kazi nchini wapo kihuni huni tu
Serikali ya CCM inasikitisha sana...
Kwenye mambo mazuri wanadai Mama anaupiga mwingi ila, kwenye HOVYO hawakubali kuwa ni "yeye" !
 
Huu ni uhuni mwingine wa serikali. Hawa waturuki na machinga wengine kutoka mataifa mengine hawana hata vibali vya kuishi nchini achilia mbali kufanya biashara

Hapa swali la msingi ni serikali imeanza kutoa vibali kwa wageni kufanya umachinga wa vyombo? Sheria za nchi zinaruhusu?

Ukitaka kujua hawana vibali, chelewesha malipo halafu mshauri aende kufungua madai mahakamani. Hana huo ujanja badala yake kuna baadhi ya viongozi hasa askari polisi wanakuwa wameshaunda nao urafiki. Hawa watu hawana hata jeuri ya kwenda kituo cha polisi

Kingine cha ajabu, wanatembea na siraha kwenye hizi Noah au bajaji wanazotembea nazo na ukitaka kujua ni wakorofi chelewesha malipo yao

Hili binafsi nimelishudia kwa jamaa mmoja aliyechukua vitu vyao kwa makusudi (hakua na lengo la kuvinunua) akivitunza kama vilivyo kwa zaidi ya miezi minne huku akiendelea kusumbuana nao kwenye malipo. Baadae akawaambia hana hela ya kulipa na vifaa vimeshahalibika hivyo waende kushitaki popote ataenda kujieleza

Wee...timbwili lake lilikuwa si la kitoto. Polisi hawataki kwenda badala yake wanawapigia mapolisi "wao" na kwa bahati mbaya simu hazikupokelewa. Uzuri jamaa alishaweka mitego yake ya kujilinda. Vurugu ilipozidi, walitokea watu waliokuwa wamekwisha andaliwa na jamaa wakawakamata wote ili wawapeleke central. Walioanza kuomba yaishe ni wale waturuki na hawakuwa tayari kufika kituoni

Hawana vibali vya kuishi nchini, hawana vibali vya kufanya kazi nchini wapo kihuni huni tu
Huu nao ni wizi tuu
 
Nimeiona Zazibar hii wamekuja ofisini na madide Yao.
Nilidhani rais wenu yupo makini. Kumbe nako waturuki wametinga. Huku kwetu wamekuwa mafundi selemala. Alaf wanajidai kuoa madada zetu.
 
Vifaa vingi vya umeme havikaguliwi. Mchina anaingiza vifaa feki kibao.
Ni hatari Kuna watu wanaitwa Kikuu , niliwahinkuagiza saa ikawa, poa , nikamwagizia wife nywele za singa' zikawapoa akapiga Bei mara Nne ya Bei , nikaanza kunogewa . Mara nikaona shaving machine .. Wahl Brand heavy Duty😴 Bei poa , ikaagiza!
Ndani ya wiki mbili ikatua Dodoma! Majanga yalianza Sasa niijaribu! Ile kuichomeka tu wire wake ukaanza kuungua kama Uzi wa nlyon unavoungua moto! Ndani cart moja niliagiza na kettle... Hii haikuungua .. ila ilikuwa inakula umeme unit 1+ kuchemsha maji Lita moja!
Nami nilijiuloza nani anadhibiti vifaa Kwa wasambazaji Hawa wa Online kama Kikuu?!
 
Hacha umbeya bro, na wewe nenda uturuki uksfsnye biashara, hapa kwetu ni shamba la bibi, Rais mpigsji, mpaka katibu kata wote wezi,
Kutajirika nchi hii ni rahisi sana kwa mgeni,waturuki wapo kibao Kigamboni, wamefungua kampuni za tiles, magenereta nk, wana watoto wanaongea ki Swahili kama wazaramo! We unsfikri wamekuja Leo bongo!
Watafute Hao waturuki piga nao biashara, wapo mbali sana kwa tekinolojia, unaweza ukawa agent wa bidhaa kutoka Uturuki, vifaa vya ndani, umeme, vifaa vya solar, nk, acha tabia za kimaskini
Kumbe nawe humoo, yaani hapo ukuona ukweli. Mimi bidhaa zao natilia shaka FCC na TBS kama wamezipitia.
 
Je wabongo hawafanyi umachinga huko Uturuki?
 
Wana JF.

Si kwa nia mbaya maana waturuki wametoa ajira lakini kuna haya.

Waturuki wamekuwa wakizunguka mitaani na bajaji wakikopesha vyombo mbali mbali. Msala wangu kwao ni kwamba, nani ametoa kibali cha ukaguzi wa vyombo vyao vya umeme?

Kama kuna mtu wa TBS na FCC inabidi kwa pamoja kuchunguza vifaa vinavyosambazwa na waturuki wanaofanya kazi zao kama wamachinga. Waturuki wana bajaji nyingi zinazunguka mjini nyumba kwa nyumba wakikopesha vifaa mbali mbali vya umeme.

Hasa Rice Cooker na Multicooker. Vifaa vingi vinavyotumia moto, hasa wakati wa kupika vimekuwa nyaya za machine zinapata moto kiasi cha kuyeyuka na kusababisha hatari ya kuunguza nyumba. Ni kweli Tanzania ni dampo kuu la vifaa vilivyoigiziwa na kufanywa original , lakini vingi vinaingizwa kwa njia ya panya.

Hipo haja ya kupita nyumba kwa nyumba na kukagua vifaa vya umeme vya majumbani. Hapa tutaepusha nyumba kuwa zinaungua hovyo na kusababisha uharibifu mkubwa wa vitu. Kama FCC na TBS wasipochunguza vifaa vya umeme vinavyoingizwa nchini. Basi tutegemee nyumba nyingi kuungua.
Wamezagaa sana mtaani
 
Huu ni uhuni mwingine wa serikali. Hawa waturuki na machinga wengine kutoka mataifa mengine hawana hata vibali vya kuishi nchini achilia mbali kufanya biashara

Hapa swali la msingi ni serikali imeanza kutoa vibali kwa wageni kufanya umachinga wa vyombo? Sheria za nchi zinaruhusu?

Ukitaka kujua hawana vibali, chelewesha malipo halafu mshauri aende kufungua madai mahakamani. Hana huo ujanja badala yake kuna baadhi ya viongozi hasa askari polisi wanakuwa wameshaunda nao urafiki. Hawa watu hawana hata jeuri ya kwenda kituo cha polisi

Kingine cha ajabu, wanatembea na siraha kwenye hizi Noah au bajaji wanazotembea nazo na ukitaka kujua ni wakorofi chelewesha malipo yao

Hili binafsi nimelishudia kwa jamaa mmoja aliyechukua vitu vyao kwa makusudi (hakua na lengo la kuvinunua) akivitunza kama vilivyo kwa zaidi ya miezi minne huku akiendelea kusumbuana nao kwenye malipo. Baadae akawaambia hana hela ya kulipa na vifaa vimeshahalibika hivyo waende kushitaki popote ataenda kujieleza

Wee...timbwili lake lilikuwa si la kitoto. Polisi hawataki kwenda badala yake wanawapigia mapolisi "wao" na kwa bahati mbaya simu hazikupokelewa. Uzuri jamaa alishaweka mitego yake ya kujilinda. Vurugu ilipozidi, walitokea watu waliokuwa wamekwisha andaliwa na jamaa wakawakamata wote ili wawapeleke central. Walioanza kuomba yaishe ni wale waturuki na hawakuwa tayari kufika kituoni

Hawana vibali vya kuishi nchini, hawana vibali vya kufanya kazi nchini wapo kihuni huni tu
Hahaha! Mkuu we kweli kiranja.
 
Cjui lakin nakumbuka miaka ya nyuma niliwah kuleta container la nyaya na ma glope cjui nini kama vile wanavyouza Tronic. Moja ya vitu wanavyohtaji serikali ni pamoja na vibali vya TBS kudhibitisha ubora wa hizo nyaya. Sasa kwasasa cjui maana ile biashara niliacha by that time.
Visinge kuwepo madukania itakuwa ulishindwa kunyoosha mkono , TBS wao ukinyoosha mkono vizuri huwa hawajali
 
Back
Top Bottom