Hoja ni hivi kuna desturi na amri za Mungu ktk maandiko. Mbona wafuasi wa Kristu hawanawi mikono yote mpaka kwenye kiwiko wakitoja sokoni kuwa wako najisi? Hili la kutawadha miguu na mikono ni amri ya ngapi ya Mungu na adhabu ipi apewe kama kuzini ni kupigwa mawe kwa Wayahudi? Ila Mungu hajaruhusu MTU YOYOTE KUMWUA MTU KUMSAIDIA MUNGU KUTOA ADHABU.DHAMBI HUADHIBIWA NA KUSAMEHEWA NA MUNGU TU. HUO NDIO UKWELI.Toa hoja acha ngonjera
Hahaha mzee huwek kua serious kwmb kuna mdudu broilerWe! huyu mdudu mtamu asikwambie mtu, ukikutana na yule OG kwa sababu saa hivi kuna mabroiler ya nguruwe, hayo ndo yamefanya niache kula.
Ila hiki kiumbe sio poa, napendaga rosti ichanganywe na ndizi
Hatumjadili ngamia hapa upo nje ya mada
Huu uzi ni wetu sote,ni mali ya JF,sisi tunaendelea kuish naoendelezeni uzi mm nishajua na nishapata majibu kwamba hamna hoja
Mm mkristo kitimoto ni muhimu inabidi nile kwa afya yangu.Sio imani yangu, ni Ukristo na uislam ndo hauruhusu
Kwann atetewe wakati mwenyewe tu ukimuona kasheheni utetezi😂Nilichongundua hadi sasa hakuna anaeweza kumtetea mbuzi wa Vatican wate wapiga umbea porojo na vichambo
Tuonyeshe Mungu Alipo Sema nyama ya nguruwe haramu!Hata nasi pia.
Lkn angalau uwe na 'twaa' ya kuweza kujizuia kutenda dhambi ndogo ndogo kama kuacha dhambi kubwa imeshindikana.
Lkn point yangu ipo palepale...Mungu Anatupenda, kuamrishwa kuacha kula nguruwe lazima atakuwa Ana madhara...haiwezekani Atuamrishe tusile tu burebure
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] haya bhana [emoji471][emoji1628]Tuonyeshe Mungu Alipo Sema nyama ya nguruwe haramu!
Vitu alivyotaka wanadamu tusivile huna ubavu wa kula hata kimoja!
Mf!; mawe, cement.... Na vitu kama hivyo huwezi ukala huwezi!
Aya ngamia anatatizo ganiNi hivi, aya ilitokataza nguruwe kweny biblia ndiyo iliyokataza ngamia na kambale. Why una single out only nguruwe?
Tunajadili hizo aya, maana wanyama wengi wametajwa
Kuna option nyingine za mboga after dagasMimi nyama ya nguruwe IPO kwenye friji daily home,wewe huwezi Opti hata kula ya ngombe,tafuta hela
Watu wanatumia infinix wanamatatzo sanaNyama zipo nyingi ,unabishana na mpuuzi ambaye hawezi hata kununua nyama ya ngombe nyumbani kwake kuhusu nyama ya nguruwe
Wakataze vijana aape zile hints za kuonesha wanavyoweza kuwa mashoga kwa ulaji wa nguruwe.Umekula Najisi na Ugali??!!-- Mungu akusamehe.
Mtu upo nanjirinji uko unajadili hali ya maisha ya mtu ambao hata humjuh baada ya madaMimi nyama ya nguruwe IPO kwenye friji daily home,wewe huwezi Opti hata kula ya ngombe,tafuta hela
Sjuh hyoWakataze vijana aape zile hints za kuonesha wanavyoweza kuwa mashoga kwa ulaji wa nguruwe.
Hakuna ushahidi wa kisayansi unaounga mkono madai kwamba kula nyama ya nguruwe husababisha ushoga. Ushoga ni hali ya kujamiiana kwa watu wa jinsia moja na inahusishwa na sababu nyingi za kisaikolojia, kijamii na kibaiolojia.Wakataze vijana aape zile hints za kuonesha wanavyoweza kuwa mashoga kwa ulaji wa nguruwe.