Nani kasema Nguruwe halali? Sio Ukristo au Uislamu kote wamemkana.

Tunaomba andiko kama Waislamu wamekatazwa kula nyama ya Nguruwe.
Ongea kwa maandiko dogo
 
what a coincidence?!!! nimetoka kupiga Nusu kavu na Ugali, Allah anijalie maisha marefu
Wala usihofu, nguruwe hana madhara yoyote na ndiyo nyama inayoongoza kuliwa duniani na hata Waislam wanaila sana ila hawa wasiojitambua ndiyo wapiga kelele.
 
Unachanganyikiwa wewe Mdogo wangu

"Mambo ya Walawi 11:7-8"

Haya yalikuwa ni Maagizo Kwa Walawi, Sisi yanatuhusu nini ?, Kwani Sisi ni Walawi ?
Sisi tuna tamaduni zetu.
Unachanganyikiwa wewe sio bure
 
Kama hamtaki kula nguruwe basi nguruwe waruhusiwe kuwala ninyi
 
Mtume Muhammad alipifika karamuni na kukuta Nyama nzuri ya Kitimoto imeisha ali Mind Sana, akasusa na kuwaambia wafuasi wake waisusie Nguruwe, ilikuwa ni Hasira tu ya Kukosa Nyama
 
Nguruwe tusile ajabu walifia kwenye maji.
Vp na maji tusinywe ?
 
Toka utotoni mwangu tunakula nguruwe kwetu, wote tuna afya nzuri tu. Hata ndugu zetu Waislam wanakula sana wakija nyumbani na wengi wanapiga simu Mze awawekee wakiwa wanakuja. Dini ufanya watu kuwa wajinga na ndiyo maana wengi waaminio hizi dini za maboti hawana maendeleo zaidi ya Wachungaji wao na masheikh wanaopata misaada toka Uarabuni.
 


Wasabato ambao huwa hawali kitimoto je hao ni Waisilamu au Wanaongozwa na masheikh huko makanisani mwao??!!
 
Jamaa kakomaa na neno hoja kila dk hahaha,tupishe hapa na asubuhi nadondosha wa 3 ,karibu kimara upate kitoweo
 
Nani kakudanganya dini ni ukristo na uislamu tu? Umechanganyikiwa ama? Dunia kubwa sana. Nguruwe tunamla kajifie mbele.
 
Moja kwa moja utajitwalia mabikra wa kutosha ukiwa umejilaza pembeni ya kijito kinachotiririsha mvinyo huku jua likizama kwenye tope.Jioni hiyo ujue?
Watoto lainiiii wadogoo wabichi futa tupu sabini na wawili, mudi alivo fundi 😋 kuna sampuli ingine zitatoka kuzimu unambiwa kunogesha tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…