Mlamba asali
JF-Expert Member
- Dec 11, 2022
- 1,152
- 2,270
KWA KIFUPI TU HII NCHI INA WAPUMBAVU NA WAJINGA WENGI SANA HIVI AMJUI TOFAUTI (HARAMU ) NA (DHAMBI) inasikitisha sana..... Nguruwe anaweza kuwa haramu ila siyo dhambi kitu chochote kinacho itwa haramu aimaanishi dhambi ...leo hii wapuuzi wa misikitini na makanisani wanapotosha .....wao kwao kutenda dhambi ni bora kuliko vitu haramu very very stuupid. Ukitaka kujua tofauti ya haramu na dhambi hata katika uislamu jiulize mbona nguruwe karuhusiwa kuliwa kunapokuwa na dharula je dhambi ilisha wai kuruhusiwa wakati wa dharula?Katika dini ya Ukristo, maandiko matakatifu ya Biblia yanapinga ulaji wa nguruwe kwa sababu inachukuliwa kuwa ni mnyama najisi.
Hii inapatikana katika kitabu cha Mambo ya Walawi 11:7-8 ambapo inasema " Nguruwe msimle; ana kwato zilizogawanyika lakini hacheui; kwenu huyo ni najisi. .Hamtakula nyama yao, wala hamgusi mizoga yao. Hao ni najisi kwenu."
Pia, kuna vifungu vingine vinavyopinga ulaji wa nguruwe kama vile Kitabu cha Kumbukumbu la Torati 14:8 ambacho kinapinga ulaji wa nguruwe, na Matendo ya Mitume 15:28-29 ambayo yanahimiza waumini kuepuka kula nyama iliyotolewa kwa sanamu na damu.
Kwa upande wa Uislamu, Quran inapinga ulaji wa nguruwe na inachukuliwa kuwa ni haramu kwa Waislamu. Kifungu cha Quran Surat al-Baqarah 2:173 kinakataza ulaji wa nguruwe pamoja na nyama ya wanyama waliochinjwa kwa njia ya kuchinjwa bila kumtaja Mungu, damu, nyama ya wanyama wanaouliwa kwa sababu ya miungu, na wanyama waliofariki kwa kifo cha asili. Kwa hivyo, Waislamu wanachukulia ulaji wa nguruwe kama jambo la kinyume na mafundisho ya dini yao.
NB: TUJADILI KWA AYA NA VIFUNGO MBALIMBALI ZA VITABU MBALIMBALI VYA DINI NGOJERA HAZITAKIWI.
View attachment 2613342
Ulitaka nile aya na vifungu Sheikh??Umeambia Aya na vifungu we unasema unasema nusu kavu! Ndo useme kifungu gani hicho kilichofanya ule nusu kavu!?
Au shiumbi mnungu shakumemena??
Uliza mkuu.🤣🤣🤣🤣Heee sasa mkuu mm nina swali.
Ndo umeandika nn mbna kama reasoning yako ni ya mtoto wa form3KWA KIFUPI TU HII NCHI INA WAPUMBAVU NA WAJINGA WENGI SANA HIVI AMJUI TOFAUTI (HARAMU ) NA (DHAMBI) inasikitisha sana..... Nguruwe anaweza kuwa haramu ila siyo dhambi kitu chochote kinacho itwa haramu aimaanishi dhambi ...leo hii wapuuzi wa misikitini na makanisani wanapotosha .....wao kwao kutenda dhambi ni bora kuliko vitu haramu very very stuupid. Ukitaka kujua tofauti ya haramu na dhambi hata katika uislamu jiulize mbona nguruwe karuhusiwa kuliwa kunapokuwa na dharula je dhambi ilisha wai kuruhusiwa wakati wa dharula?
Upo sahihiMshamba wewe na hujui kitu, madume ya nguruwe yakikaa pamoja huwa yanalawitiana, labda mlikuwa mmefuga dume moja na majike kadhaa.
Katika suala hilo uliza na usijifanye mbishi.
Unachanganyikiwa wewe Mdogo wangu
"Mambo ya Walawi 11:7-8"
Haya yalikuwa ni Maagizo Kwa Walawi, Sisi yanatuhusu nini ?, Kwani Sisi ni Walawi ?
Sisi tuna tamaduni zetu.
Unachanganyikiwa wewe sio bure
Nje ya hojaMh!, Pia usisahau maandiko yanayosema "Akilacho mwanadamu bila kumtudi basi si haramu"
Endelea kukazana kutokula nyama ya Nguruwe,huku unaendelea kuagua kwa kutumia Korani yako takatifu,pia na uzinifu vilevile na kuoa na kuwapa talaka wake zako huku watoto wakigeuka machokoraa mitaani.
Mbingu itakuwa yako,maana mmiliki ni Babu yako.
Wewe uwezo wako wa akili ni mdogo ....uwezi kujua nilicho andika kwa kuwa ujui maana ya kuchuja mbu na kumeza ngamiaNdo umeandika nn mbna kama reasoning yako ni ya mtoto wa form3
Matendo ya Mitume 10:9Katika dini ya Ukristo, maandiko matakatifu ya Biblia yanapinga ulaji wa nguruwe kwa sababu inachukuliwa kuwa ni mnyama najisi.
Hii inapatikana katika kitabu cha Mambo ya Walawi 11:7-8 ambapo inasema " Nguruwe msimle; ana kwato zilizogawanyika lakini hacheui; kwenu huyo ni najisi. .Hamtakula nyama yao, wala hamgusi mizoga yao. Hao ni najisi kwenu."
Pia, kuna vifungu vingine vinavyopinga ulaji wa nguruwe kama vile Kitabu cha Kumbukumbu la Torati 14:8 ambacho kinapinga ulaji wa nguruwe, na Matendo ya Mitume 15:28-29 ambayo yanahimiza waumini kuepuka kula nyama iliyotolewa kwa sanamu na damu.
Kwa upande wa Uislamu, Quran inapinga ulaji wa nguruwe na inachukuliwa kuwa ni haramu kwa Waislamu. Kifungu cha Quran Surat al-Baqarah 2:173 kinakataza ulaji wa nguruwe pamoja na nyama ya wanyama waliochinjwa kwa njia ya kuchinjwa bila kumtaja Mungu, damu, nyama ya wanyama wanaouliwa kwa sababu ya miungu, na wanyama waliofariki kwa kifo cha asili. Kwa hivyo, Waislamu wanachukulia ulaji wa nguruwe kama jambo la kinyume na mafundisho ya dini yao.
NB: TUJADILI KWA AYA NA VIFUNGO MBALIMBALI ZA VITABU MBALIMBALI VYA DINI NGOJERA HAZITAKIWI.
View attachment 2613342
Najisi Kwa WalawiKula lkn n najs
Leta hoja kama najisi kwa walawi na kwako msukuma halalNajisi Kwa Walawi
Kila aya ilifafanuliwa embu tufanunuliwaMatendo ya Mitume 10:9
Hata siku ya pili, walipokuwa wakisafiri na kuukaribia mji, Petro alipanda juu darini, kwenda kuomba, yapata saa sita ya mchana;
Matendo ya Mitume 10:10
akaumwa na njaa sana, akataka kula; lakini walipokuwa wakiandaa, roho yake ikazimia,
Matendo ya Mitume 10:11
akaona mbingu zimefunuka, na chombo kikishuka kama nguo kubwa, inatelemshwa kwa pembe zake nne hata nchi;
Matendo ya Mitume 10:12
ambayo ndani yake walikuwamo aina zote za wanyama wenye miguu minne, na hao watambaao, na ndege wa angani.
Matendo ya Mitume 10:13
Kisha sauti ikamjia, kusema, Ondoka, Petro, uchinje ule.
Matendo ya Mitume 10:14
Lakini Petro akasema, Hasha, Bwana, kwa maana sijakula kamwe kitu kilicho kichafu au najisi.
Matendo ya Mitume 10:15
Sauti ikamjia mara ya pili, ikimwambia, Vilivyotakaswa na Mungu, usiviite wewe najisi.
Matendo ya Mitume 10:16
Jambo hili likatendeka mara tatu; kisha kile chombo kikapokewa tena mbinguni.
Tunasema kuleni lkn ni dhambi kama dhamb nyngneMbona ngono kabla ya ndoa imekatazwa na dini karibu zote lakini kuanzia wasabato mpaka wavaa kobazi ni kunyanduana tu
Kitimoto na iheshimiwe na watu wote
Roho Mtakatifu ukimuomba anakupa mafunuo.Kila aya ilifafanuliwa embu tufanunuliwa
Petro alikua ktk hali gan muda huoRoho Mtakatifu ukimuomba anakupa mafunuo.
Neno KILA MNYAMA ATEMBEAYE, ATAMBAAYE NA ARUKAYE....
Neno VIMETAKASWA maana yake hapo awali vililiwepo ambavyo havikuwa vimetakaswa na sasa viketakaswa vyote.
Just a tip in the iceberg
Matendo ya Mitume 10Katika dini ya Ukristo, maandiko matakatifu ya Biblia yanapinga ulaji wa nguruwe kwa sababu inachukuliwa kuwa ni mnyama najisi.
Hii inapatikana katika kitabu cha Mambo ya Walawi 11:7-8 ambapo inasema " Nguruwe msimle; ana kwato zilizogawanyika lakini hacheui; kwenu huyo ni najisi. .Hamtakula nyama yao, wala hamgusi mizoga yao. Hao ni najisi kwenu."
Pia, kuna vifungu vingine vinavyopinga ulaji wa nguruwe kama vile Kitabu cha Kumbukumbu la Torati 14:8 ambacho kinapinga ulaji wa nguruwe, na Matendo ya Mitume 15:28-29 ambayo yanahimiza waumini kuepuka kula nyama iliyotolewa kwa sanamu na damu.
Kwa upande wa Uislamu, Quran inapinga ulaji wa nguruwe na inachukuliwa kuwa ni haramu kwa Waislamu. Kifungu cha Quran Surat al-Baqarah 2:173 kinakataza ulaji wa nguruwe pamoja na nyama ya wanyama waliochinjwa kwa njia ya kuchinjwa bila kumtaja Mungu, damu, nyama ya wanyama wanaouliwa kwa sababu ya miungu, na wanyama waliofariki kwa kifo cha asili. Kwa hivyo, Waislamu wanachukulia ulaji wa nguruwe kama jambo la kinyume na mafundisho ya dini yao.
NB: TUJADILI KWA AYA NA VIFUNGO MBALIMBALI ZA VITABU MBALIMBALI VYA DINI NGOJERA HAZITAKIWI.
View attachment 2613342