Nani kasema Nguruwe halali? Sio Ukristo au Uislamu kote wamemkana.

Nani kasema Nguruwe halali? Sio Ukristo au Uislamu kote wamemkana.

Mbona ngono kabla ya ndoa imekatazwa na dini karibu zote lakini kuanzia wasabato mpaka wavaa kobazi ni kunyanduana tu

Kitimoto na iheshimiwe na watu wote
 
Katika dini ya Ukristo, maandiko matakatifu ya Biblia yanapinga ulaji wa nguruwe kwa sababu inachukuliwa kuwa ni mnyama najisi.

Hii inapatikana katika kitabu cha Mambo ya Walawi 11:7-8 ambapo inasema " Nguruwe msimle; ana kwato zilizogawanyika lakini hacheui; kwenu huyo ni najisi. .Hamtakula nyama yao, wala hamgusi mizoga yao. Hao ni najisi kwenu."

Pia, kuna vifungu vingine vinavyopinga ulaji wa nguruwe kama vile Kitabu cha Kumbukumbu la Torati 14:8 ambacho kinapinga ulaji wa nguruwe, na Matendo ya Mitume 15:28-29 ambayo yanahimiza waumini kuepuka kula nyama iliyotolewa kwa sanamu na damu.

Kwa upande wa Uislamu, Quran inapinga ulaji wa nguruwe na inachukuliwa kuwa ni haramu kwa Waislamu. Kifungu cha Quran Surat al-Baqarah 2:173 kinakataza ulaji wa nguruwe pamoja na nyama ya wanyama waliochinjwa kwa njia ya kuchinjwa bila kumtaja Mungu, damu, nyama ya wanyama wanaouliwa kwa sababu ya miungu, na wanyama waliofariki kwa kifo cha asili. Kwa hivyo, Waislamu wanachukulia ulaji wa nguruwe kama jambo la kinyume na mafundisho ya dini yao.


NB: TUJADILI KWA AYA NA VIFUNGO MBALIMBALI ZA VITABU MBALIMBALI VYA DINI NGOJERA HAZITAKIWI.

View attachment 2613342
KWA KIFUPI TU HII NCHI INA WAPUMBAVU NA WAJINGA WENGI SANA HIVI AMJUI TOFAUTI (HARAMU ) NA (DHAMBI) inasikitisha sana..... Nguruwe anaweza kuwa haramu ila siyo dhambi kitu chochote kinacho itwa haramu aimaanishi dhambi ...leo hii wapuuzi wa misikitini na makanisani wanapotosha .....wao kwao kutenda dhambi ni bora kuliko vitu haramu very very stuupid. Ukitaka kujua tofauti ya haramu na dhambi hata katika uislamu jiulize mbona nguruwe karuhusiwa kuliwa kunapokuwa na dharula je dhambi ilisha wai kuruhusiwa wakati wa dharula?
 
KWA KIFUPI TU HII NCHI INA WAPUMBAVU NA WAJINGA WENGI SANA HIVI AMJUI TOFAUTI (HARAMU ) NA (DHAMBI) inasikitisha sana..... Nguruwe anaweza kuwa haramu ila siyo dhambi kitu chochote kinacho itwa haramu aimaanishi dhambi ...leo hii wapuuzi wa misikitini na makanisani wanapotosha .....wao kwao kutenda dhambi ni bora kuliko vitu haramu very very stuupid. Ukitaka kujua tofauti ya haramu na dhambi hata katika uislamu jiulize mbona nguruwe karuhusiwa kuliwa kunapokuwa na dharula je dhambi ilisha wai kuruhusiwa wakati wa dharula?
Ndo umeandika nn mbna kama reasoning yako ni ya mtoto wa form3
 
Kula lkn n najs
Unachanganyikiwa wewe Mdogo wangu

"Mambo ya Walawi 11:7-8"

Haya yalikuwa ni Maagizo Kwa Walawi, Sisi yanatuhusu nini ?, Kwani Sisi ni Walawi ?
Sisi tuna tamaduni zetu.
Unachanganyikiwa wewe sio bure
 
Mh!, Pia usisahau maandiko yanayosema "Akilacho mwanadamu bila kumtudi basi si haramu"

Endelea kukazana kutokula nyama ya Nguruwe,huku unaendelea kuagua kwa kutumia Korani yako takatifu,pia na uzinifu vilevile na kuoa na kuwapa talaka wake zako huku watoto wakigeuka machokoraa mitaani.

Mbingu itakuwa yako,maana mmiliki ni Babu yako.
Nje ya hoja
 
Katika dini ya Ukristo, maandiko matakatifu ya Biblia yanapinga ulaji wa nguruwe kwa sababu inachukuliwa kuwa ni mnyama najisi.

Hii inapatikana katika kitabu cha Mambo ya Walawi 11:7-8 ambapo inasema " Nguruwe msimle; ana kwato zilizogawanyika lakini hacheui; kwenu huyo ni najisi. .Hamtakula nyama yao, wala hamgusi mizoga yao. Hao ni najisi kwenu."

Pia, kuna vifungu vingine vinavyopinga ulaji wa nguruwe kama vile Kitabu cha Kumbukumbu la Torati 14:8 ambacho kinapinga ulaji wa nguruwe, na Matendo ya Mitume 15:28-29 ambayo yanahimiza waumini kuepuka kula nyama iliyotolewa kwa sanamu na damu.

Kwa upande wa Uislamu, Quran inapinga ulaji wa nguruwe na inachukuliwa kuwa ni haramu kwa Waislamu. Kifungu cha Quran Surat al-Baqarah 2:173 kinakataza ulaji wa nguruwe pamoja na nyama ya wanyama waliochinjwa kwa njia ya kuchinjwa bila kumtaja Mungu, damu, nyama ya wanyama wanaouliwa kwa sababu ya miungu, na wanyama waliofariki kwa kifo cha asili. Kwa hivyo, Waislamu wanachukulia ulaji wa nguruwe kama jambo la kinyume na mafundisho ya dini yao.


NB: TUJADILI KWA AYA NA VIFUNGO MBALIMBALI ZA VITABU MBALIMBALI VYA DINI NGOJERA HAZITAKIWI.

View attachment 2613342
Matendo ya Mitume 10:9
Hata siku ya pili, walipokuwa wakisafiri na kuukaribia mji, Petro alipanda juu darini, kwenda kuomba, yapata saa sita ya mchana;

Matendo ya Mitume 10:10
akaumwa na njaa sana, akataka kula; lakini walipokuwa wakiandaa, roho yake ikazimia,

Matendo ya Mitume 10:11
akaona mbingu zimefunuka, na chombo kikishuka kama nguo kubwa, inatelemshwa kwa pembe zake nne hata nchi;

Matendo ya Mitume 10:12
ambayo ndani yake walikuwamo aina zote za wanyama wenye miguu minne, na hao watambaao, na ndege wa angani.

Matendo ya Mitume 10:13
Kisha sauti ikamjia, kusema, Ondoka, Petro, uchinje ule.

Matendo ya Mitume 10:14
Lakini Petro akasema, Hasha, Bwana, kwa maana sijakula kamwe kitu kilicho kichafu au najisi.

Matendo ya Mitume 10:15
Sauti ikamjia mara ya pili, ikimwambia, Vilivyotakaswa na Mungu, usiviite wewe najisi.

Matendo ya Mitume 10:16
Jambo hili likatendeka mara tatu; kisha kile chombo kikapokewa tena mbinguni.

 
Matendo ya Mitume 10:9
Hata siku ya pili, walipokuwa wakisafiri na kuukaribia mji, Petro alipanda juu darini, kwenda kuomba, yapata saa sita ya mchana;

Matendo ya Mitume 10:10

akaumwa na njaa sana, akataka kula; lakini walipokuwa wakiandaa, roho yake ikazimia,

Matendo ya Mitume 10:11

akaona mbingu zimefunuka, na chombo kikishuka kama nguo kubwa, inatelemshwa kwa pembe zake nne hata nchi;

Matendo ya Mitume 10:12

ambayo ndani yake walikuwamo aina zote za wanyama wenye miguu minne, na hao watambaao, na ndege wa angani.

Matendo ya Mitume 10:13

Kisha sauti ikamjia, kusema, Ondoka, Petro, uchinje ule.

Matendo ya Mitume 10:14

Lakini Petro akasema, Hasha, Bwana, kwa maana sijakula kamwe kitu kilicho kichafu au najisi.

Matendo ya Mitume 10:15

Sauti ikamjia mara ya pili, ikimwambia, Vilivyotakaswa na Mungu, usiviite wewe najisi.

Matendo ya Mitume 10:16

Jambo hili likatendeka mara tatu; kisha kile chombo kikapokewa tena mbinguni.
Kila aya ilifafanuliwa embu tufanunuliwa
 
Kila aya ilifafanuliwa embu tufanunuliwa
Roho Mtakatifu ukimuomba anakupa mafunuo.

Neno KILA MNYAMA ATEMBEAYE, ATAMBAAYE NA ARUKAYE....

Neno VIMETAKASWA maana yake hapo awali vililiwepo ambavyo havikuwa vimetakaswa na sasa viketakaswa vyote.

Just a tip in the iceberg
 
Roho Mtakatifu ukimuomba anakupa mafunuo.

Neno KILA MNYAMA ATEMBEAYE, ATAMBAAYE NA ARUKAYE....

Neno VIMETAKASWA maana yake hapo awali vililiwepo ambavyo havikuwa vimetakaswa na sasa viketakaswa vyote.

Just a tip in the iceberg
Petro alikua ktk hali gan muda huo
 
Katika dini ya Ukristo, maandiko matakatifu ya Biblia yanapinga ulaji wa nguruwe kwa sababu inachukuliwa kuwa ni mnyama najisi.

Hii inapatikana katika kitabu cha Mambo ya Walawi 11:7-8 ambapo inasema " Nguruwe msimle; ana kwato zilizogawanyika lakini hacheui; kwenu huyo ni najisi. .Hamtakula nyama yao, wala hamgusi mizoga yao. Hao ni najisi kwenu."

Pia, kuna vifungu vingine vinavyopinga ulaji wa nguruwe kama vile Kitabu cha Kumbukumbu la Torati 14:8 ambacho kinapinga ulaji wa nguruwe, na Matendo ya Mitume 15:28-29 ambayo yanahimiza waumini kuepuka kula nyama iliyotolewa kwa sanamu na damu.

Kwa upande wa Uislamu, Quran inapinga ulaji wa nguruwe na inachukuliwa kuwa ni haramu kwa Waislamu. Kifungu cha Quran Surat al-Baqarah 2:173 kinakataza ulaji wa nguruwe pamoja na nyama ya wanyama waliochinjwa kwa njia ya kuchinjwa bila kumtaja Mungu, damu, nyama ya wanyama wanaouliwa kwa sababu ya miungu, na wanyama waliofariki kwa kifo cha asili. Kwa hivyo, Waislamu wanachukulia ulaji wa nguruwe kama jambo la kinyume na mafundisho ya dini yao.


NB: TUJADILI KWA AYA NA VIFUNGO MBALIMBALI ZA VITABU MBALIMBALI VYA DINI NGOJERA HAZITAKIWI.

View attachment 2613342
Matendo ya Mitume 10
9 Siku ya pili yake, walipokuwa wameukaribia mji, wakati wa adhuhuri, Petro alipanda juu ya nyumba kuomba. 10 Alipokuwa akiomba akahisi njaa, akatamani kupata chakula. Lakini wakati walikuwa wakiandaa chakula, akalala usingizi mzito sana. 11 Akaona mbingu zimefunguka na kitu kama nguo kubwa kikishushwa duniani kwa ncha zake nne. 12Ndani yake walikuwepo aina zote za wanyama wenye miguu minne, nao watambaao nchini, na ndege wa angani. 13Ndipo sauti ikamwambia “Petro, ondoka, uchinje na ule.”
14 Petro akajibu, “La hasha Bwana! Sijawahi kamwe kula kitu chochote kilicho najisi.”

15 Ile sauti ikasema naye mara ya pili, “Usikiite najisi kitu chochote Mungu alichokitakasa.”
16Jambo hili lilitokea mara tatu na ghafula ile nguo ikarudishwa mbinguni.
 
Back
Top Bottom