Pure_sapiens
JF-Expert Member
- Dec 25, 2016
- 2,228
- 2,064
- Thread starter
- #21
Solo thang mwanazuoni aliekomaa,
Nakumbuka baada ya mfalme sele kupewa ule ushindi Solo theng alitoa ngoma ya Ndugu zangu ndugu zangu alitoa hisia zake nje alishindwa kuvumilia kabisa.
Ila jamaa alikuwa anajuwa kuchora mistari na flow tamu Sanaa