Uchaguzi 2020 Nani mkweli kati ya hawa watu? Spika, NEC au CHADEMA?

Wao wanasema hawajapeleka. Sasa kwa nini NEC wasiwaumbue kwa kuweka wazi barua walioipata tarehe 19 lakini tarehe 20 walisahau kuwa wanayo.

Amandla...
Tuombe mahakama ifunue ukweli juu ya hii barua.
 
Siasa bongo kama ushabiki wa simb na yanga tu
 
Nec inatakiwa ipewe barua kuwa sio wabunge,kisha Nec imtaarifu spika. Lakini all in all mtu akikosa sifa ya kuwa mwanachama wa chama kilichomdhamini anakosa ubunge. Japokuwa taratibu za kimaamdishi zinatakiwa kufuatwa.
 
Kwani chadema wamesha muandikia spika official latter kumjulisha kuwa wamefukuzwa uanachama? Au ni yale matamshi tu.
Kwa matamshi tu bado hawajafukuzwa kisheria kwa spika.
Hayo yatakuwa kama ya lipumba.
Kama wako serious kweli na huo ubunge wa hao wamama, wamwandikie spika barua ya kutowatambua,na nyingine wapeleke kwa msajiri na tume ya uchaguzi ndo tutajua hawakuwatuma.
 
Haahaa 5 years kesi itadumu.chadema kujua Sana tatizo.
 
Ushauri mzuri.
 
Utakuwa umepoteza memory, katibu mkuu wa NEC alisema walipokea majina tar 19 Nov. Wewe una uhakika gani? Kuwa Mahera na Ndugai waongo. Ikithibitika kuna mtu wa Cdm alipeleka majina?
Ukumbuke kuwa Mtendaji Mkuu wa NEC, tarehe 23 alisema hawajapokea majina toka CHADEMA. Tarehe 23 ni kabla au baada ya tarehe 19?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukweli gani? Wakweli wenye wabunge wao chadema
Defence ya spika mpaka sasa ni kuwa Chadema walipeleka majina Nec,Nec wakampatia Spika. Hivyo bado anawatambua kuwa ni wabunge. Sasa nani alipeleka barua Nec?
 
ingekuwa hivyo wasingeogopa kwenda kamatimkuu; wangeenda na kukinukisha kwa Katibu mkuu, Na je nguvu iliyovunja milango ya gereza ni ya chadema?
Sijasema direct kwamba Mnyika, mbowe or Tundu ndo watakao kuwa wamepeka majina. Nachozungumza mimi majina yamepelekwa na CDM wenyeewe yaweza kuwa ni hata mdee mwenyewe, point ya msingi je signature ya KM wameipataje, may be hao hao waliopeleka majina wamefoji hadi signature ya mnyika
 
Kuna mtu mmoja hapo Chadema mzee wa madili anahusika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…