Nani mwimbaji bora wa Gospo wa mda wote Tanzania?

Nani mwimbaji bora wa Gospo wa mda wote Tanzania?

Hakuna na hato tokea kama Fanuel sedekia
Huwa nikisikiliza nyimbo zake pia nikiangalia Cd ya mazishi yake huwa siamini kama alifariki
 
Yule demu wa ngwajima yuleee...anaitwa nan yulee ndio mkal paleeee
 
Shusho, rose muhando.Na zile ktk viumbe vyote(barabara ya 13,shangilieni).
 
Christina Shusho is the best,....halafu kajaliwa ana sura yenye mvuto sana..bonge la beauty yule mdada
 
Martha Mwaipaja yupo vizuri.
Mimi Rose Muhando huwa sihesabii anaimba Gospel kwani nyimbo zake hadi vilabuni hupigwa!!!
 
wote uliowataka wako poa kasoro rose muhando na flora mbasha
 
Zamani Rozi Muhando alikuwa juu wakati huo Christina Shusho naye alikuwa akiimba vizuri. Lakini kwa sasa Shusho yupo juu ya Rozi Muhando. Hivyo ukijumuisha Shusho yupo juu
 
CHRISTINA SHUSHO is the Best Gospel Singer in the country. Na ukitaka kujua Shusho anakubalika na anapendwa nenda nchi za jirani kama Kenya, Rwanda, Burundi na Congo DRC uone anavyokubalika. Cheki video zake zilivyo tofauti kwani ni za quality ya juu kuliko mwimba mwingine yeyote hapa Tanzania.

Kwa kifupi, she is the best singer at the moment.
 
Angalia TV zote na Radio zote za Gospel na pia siku za jumapili hukosi kuona nyimbo zake hata mara nne kwa siku.
 
"...wa muda wote..." unamaanisha nini?hawa wote uliowaorodhesha ni wa miaka ya hivi karibuni - 90 mwishoni!!!
 
Rose anastahili kupewa hiyo tuzo ndiyo aliyeleta mabadiliko makubwa kitaifa na kimataifa ndiye anayesikilizwa na kila rika na jamii nying hadi walevi wanamjua Rose bodaboda ukiwauliza watakwambia Rose ni nan ndiye mwimbaji mwenye tuzo nying za kitaifa na kimataifa licha ya kuelimisha pia ni mburudishaji na hii ni kutokana na ubunifu na umahili wake ni Rose tu ndiye mwenye sifa hizo zote kwambali Bony mwaitege anaweza kumfikia angalau Robo yake
 
"...wa muda wote..." unamaanisha nini?hawa wote uliowaorodhesha ni wa miaka ya hivi karibuni - 90 mwishoni!!!

Ukiambiwa utaje jina la mchezaji bora wa kandanda wa mda wote tunatarajia kuona majina kama Pele,Maradona,Messi, etc. ndio hii thread inachohitaji hapa, kama kuna msanii wa gospo unayemjua ni mkali kupita hao nilioorodhesha ruksa kumtaja
 
Rose anastahili kupewa hiyo tuzo ndiyo aliyeleta mabadiliko makubwa kitaifa na kimataifa ndiye anayesikilizwa na kila rika na jamii nying hadi walevi wanamjua Rose bodaboda ukiwauliza watakwambia Rose ni nan ndiye mwimbaji mwenye tuzo nying za kitaifa na kimataifa licha ya kuelimisha pia ni mburudishaji na hii ni kutokana na ubunifu na umahili wake ni Rose tu ndiye mwenye sifa hizo zote kwambali Bony mwaitege anaweza kumfikia angalau Robo yake

ofcoz Rose kadominate, kwenye sherehe mbalimbali e.g harusi ni ngumu kukosekana wimbo wake sijui kwann
 
Back
Top Bottom