Nani mwingine akimuona Polepole anamuona Nyerere?

Nani mwingine akimuona Polepole anamuona Nyerere?

sonofobia

JF-Expert Member
Joined
Jun 21, 2015
Posts
1,171
Reaction score
4,295
20211026_084046.jpg

Hakika kila nikimtazama kijana huyu Comrade Polepole nauona uongozi wa aina ya Nyerere.

Nchi inatakiwa iilinde hii hazina huyu ni Nyerere aliyezaliwa upya.

Kiboko ya mabeberu na mabwanyenye. Wametumwa kina le mutuz na steve nyerere kumchafua wameishia kuonekana vituko, chuma kinaendelea kutema cheche.

One yes tutakupa hii nchi utufikishe nchi ya ahadi tulipokuwa tunapelekwa na shujaa wa Africa.
 
Kumbe hii ndiyo ID ya Humphrey??

Pole sana, mlimdanganya sana mwendakuzimu nyie na mabango yenu ya shujaa wa Africa mkamuweka picha yake pembeni ya Nyerere, pale kwenye bango fulani Dodoma.
Eti mashujaa wa Africa!

Sasa hayupo umeona ujifananishe wewe mwenyewe Polepole, huyu huyu wa maviete afanane na Nyerere??
Angekuwasha vibao angekuwa hai.
Islaaamaaabaaaad

Everyday is Saturday................................😎
 
View attachment 1987073

Hakika kila nikimtazama kijana huyu Comrade Polepole nauona uongozi wa aina ya Nyerere.

Nchi inatakiwa iilinde hii hazina huyu ni Nyerere aliyezaliwa upya.

Kiboko ya mabeberu na mabwanyenye. Wametumwa kina le mutuz na steve nyerere kumchafua wameishia kuonekana vituko, chuma kinaendelea kutema cheche.

One yes tutakupa hii nchi utufikishe nchi ya ahadi tulipokuwa tunapelekwa na shujaa wa Africa.
Haya amka kakojoe subiria mama ameenda sokoni akupe uji
 
jf imekuwa cheap sana, nashauri na humu kuwe na tozo ya kuingia. Haiwezekani mtu akishiba kababu zake huko anakimbilia humu kutoa ushuzi. Hii si sawa!
 
Back
Top Bottom