Nani mwingine akimuona Polepole anamuona Nyerere?

Nani mwingine akimuona Polepole anamuona Nyerere?

Kweli kabisa tunamuona Steve Mengele. anayejiita "Steve Nyerere"

download (4).jpeg
 
View attachment 1987073

Hakika kila nikimtazama kijana huyu Comrade Polepole nauona uongozi wa aina ya Nyerere.

Nchi inatakiwa iilinde hii hazina huyu ni Nyerere aliyezaliwa upya.

Kiboko ya mabeberu na mabwanyenye. Wametumwa kina le mutuz na steve nyerere kumchafua wameishia kuonekana vituko, chuma kinaendelea kutema cheche.

One yes tutakupa hii nchi utufikishe nchi ya ahadi tulipokuwa tunapelekwa na shujaa wa Africa.
Shujaa yupi? Yule muuaji!
 
View attachment 1987073

Hakika kila nikimtazama kijana huyu Comrade Polepole nauona uongozi wa aina ya Nyerere.

Nchi inatakiwa iilinde hii hazina huyu ni Nyerere aliyezaliwa upya.

Kiboko ya mabeberu na mabwanyenye. Wametumwa kina le mutuz na steve nyerere kumchafua wameishia kuonekana vituko, chuma kinaendelea kutema cheche.

One yes tutakupa hii nchi utufikishe nchi ya ahadi tulipokuwa tunapelekwa na shujaa wa Africa.
Nilimuona Nyerere kwa Magufuli, Polepole naona bado hana uwezo wakumfokea aliemzidi umri.
 
View attachment 1987073

Hakika kila nikimtazama kijana huyu Comrade Polepole nauona uongozi wa aina ya Nyerere.

Nchi inatakiwa iilinde hii hazina huyu ni Nyerere aliyezaliwa upya.

Kiboko ya mabeberu na mabwanyenye. Wametumwa kina le mutuz na steve nyerere kumchafua wameishia kuonekana vituko, chuma kinaendelea kutema cheche.

One yes tutakupa hii nchi utufikishe nchi ya ahadi tulipokuwa tunapelekwa na shujaa wa Africa.
kuna kitu kizito kimekuangukia kichwani wewe.
 
Nadhani Dr Bashiru ally Kakurwa unaweza kumfananisha na Nyerere lakini sio mzee wa CSO polepole. Polepole ni mtu wa mipango kwa jina la mjini wanaitwa wazee wa mipango aka ma architects wa upigaji. Inaonekana jamaa ataanzisha vi research ili ale hela za Scandinavia donors.
Hata hii Shule ya uongozi mwenzenu yuko kwenye mchongo wa kuomba funds toka kwa mabeberu na wanavyompinga ndio scorepoints zinazidi za kupata funds.
 
View attachment 1987073

Hakika kila nikimtazama kijana huyu Comrade Polepole nauona uongozi wa aina ya Nyerere.

Nchi inatakiwa iilinde hii hazina huyu ni Nyerere aliyezaliwa upya.

Kiboko ya mabeberu na mabwanyenye. Wametumwa kina le mutuz na steve nyerere kumchafua wameishia kuonekana vituko, chuma kinaendelea kutema cheche.

One yes tutakupa hii nchi utufikishe nchi ya ahadi tulipokuwa tunapelekwa na shujaa wa Africa.
Polepole Acha kujipa promo
 
View attachment 1987073

Hakika kila nikimtazama kijana huyu Comrade Polepole nauona uongozi wa aina ya Nyerere.

Nchi inatakiwa iilinde hii hazina huyu ni Nyerere aliyezaliwa upya.

Kiboko ya mabeberu na mabwanyenye. Wametumwa kina le mutuz na steve nyerere kumchafua wameishia kuonekana vituko, chuma kinaendelea kutema cheche.

One yes tutakupa hii nchi utufikishe nchi ya ahadi tulipokuwa tunapelekwa na shujaa wa Africa.
Yaani kweli mkuu, hebu kuwa seious kidogo. Unamlinganisha Nyerere na vitu vya ajabu sana
 
View attachment 1987073

Hakika kila nikimtazama kijana huyu Comrade Polepole nauona uongozi wa aina ya Nyerere.

Nchi inatakiwa iilinde hii hazina huyu ni Nyerere aliyezaliwa upya.

Kiboko ya mabeberu na mabwanyenye. Wametumwa kina le mutuz na steve nyerere kumchafua wameishia kuonekana vituko, chuma kinaendelea kutema cheche.

One yes tutakupa hii nchi utufikishe nchi ya ahadi tulipokuwa tunapelekwa na shujaa wa Africa.
mimi hapa, na nakwambia Tz ya kesho itaongozwa na watu wenye akili timamu kama POlepole na watu wa aina yake, hawa wajaja wajanja wmisho wao utakuwa n aibu.
 
Back
Top Bottom