Nani mwingine akimuona Polepole anamuona Nyerere?

Nani mwingine akimuona Polepole anamuona Nyerere?

Watabisha ambao hawamfaham. Eeh hicho kichwa ni sumu. Kikikaa meza moja na mtu kama Lisuu. Sipatii picha iyo innovation
 
View attachment 1987073

Hakika kila nikimtazama kijana huyu Comrade Polepole nauona uongozi wa aina ya Nyerere.

Nchi inatakiwa iilinde hii hazina huyu ni Nyerere aliyezaliwa upya.

Kiboko ya mabeberu na mabwanyenye. Wametumwa kina le mutuz na steve nyerere kumchafua wameishia kuonekana vituko, chuma kinaendelea kutema cheche.

One yes tutakupa hii nchi utufikishe nchi ya ahadi tulipokuwa tunapelekwa na shujaa wa Africa.
Shindwa Pepo punda!!
 
View attachment 1987073

Hakika kila nikimtazama kijana huyu Comrade Polepole nauona uongozi wa aina ya Nyerere.

Nchi inatakiwa iilinde hii hazina huyu ni Nyerere aliyezaliwa upya.

Kiboko ya mabeberu na mabwanyenye. Wametumwa kina le mutuz na steve nyerere kumchafua wameishia kuonekana vituko, chuma kinaendelea kutema cheche.

One yes tutakupa hii nchi utufikishe nchi ya ahadi tulipokuwa tunapelekwa na shujaa wa Africa.

Hivi mnamtukana Nyerere kwa Kiwango Hiki? Pole pole is useless
 
View attachment 1987073

Hakika kila nikimtazama kijana huyu Comrade Polepole nauona uongozi wa aina ya Nyerere.

Nchi inatakiwa iilinde hii hazina huyu ni Nyerere aliyezaliwa upya.

Kiboko ya mabeberu na mabwanyenye. Wametumwa kina le mutuz na steve nyerere kumchafua wameishia kuonekana vituko, chuma kinaendelea kutema cheche.

One yes tutakupa hii nchi utufikishe nchi ya ahadi tulipokuwa tunapelekwa na shujaa wa Africa.

Inaelekea wewe kijana humfahamu mwalimu Nyerere, ningekushauri usome maandiko yake kwa makini ili weze kumfahamu. Ni matusi makubwa kumfananisha Nyerere na huyu kinyonga aitwae Polepole!!! Nyerere alikuwa na msimamo na sio hawa wanaobadilika badilika kufuatana na nani anawapa fedha nyingi!!
 
View attachment 1987073

Hakika kila nikimtazama kijana huyu Comrade Polepole nauona uongozi wa aina ya Nyerere.

Nchi inatakiwa iilinde hii hazina huyu ni Nyerere aliyezaliwa upya.

Kiboko ya mabeberu na mabwanyenye. Wametumwa kina le mutuz na steve nyerere kumchafua wameishia kuonekana vituko, chuma kinaendelea kutema cheche.

One yes tutakupa hii nchi utufikishe nchi ya ahadi tulipokuwa tunapelekwa na shujaa wa Africa.

Usimdharirishe Nyerere kwa kumlinganisha na kila mtu
 

Hakika kila nikimtazama kijana huyu Comrade Polepole nauona uongozi wa aina ya Nyerere.

Nchi inatakiwa iilinde hii hazina huyu ni Nyerere aliyezaliwa upya.

Kiboko ya mabeberu na mabwanyenye. Wametumwa kina le mutuz na steve nyerere kumchafua wameishia kuonekana vituko, chuma kinaendelea kutema cheche.

One yes tutakupa hii nchi utufikishe nchi ya ahadi tulipokuwa tunapelekwa na shujaa wa Africa.
Hivi maji na mafuta vinafanana....!!? In my understanding, oil will always come on top....!!
 

Hakika kila nikimtazama kijana huyu Comrade Polepole nauona uongozi wa aina ya Nyerere.

Nchi inatakiwa iilinde hii hazina huyu ni Nyerere aliyezaliwa upya.

Kiboko ya mabeberu na mabwanyenye. Wametumwa kina le mutuz na steve nyerere kumchafua wameishia kuonekana vituko, chuma kinaendelea kutema cheche.

One yes tutakupa hii nchi utufikishe nchi ya ahadi tulipokuwa tunapelekwa na shujaa wa Africa.
Tumwache Baba wa Taifa apunzike kwa amani, viatu vyake ni vikubwa.
 

Hakika kila nikimtazama kijana huyu Comrade Polepole nauona uongozi wa aina ya Nyerere.

Nchi inatakiwa iilinde hii hazina huyu ni Nyerere aliyezaliwa upya.

Kiboko ya mabeberu na mabwanyenye. Wametumwa kina le mutuz na steve nyerere kumchafua wameishia kuonekana vituko, chuma kinaendelea kutema cheche.

One yes tutakupa hii nchi utufikishe nchi ya ahadi tulipokuwa tunapelekwa na shujaa wa Africa.
Kwanza usimfananishe mwalim j.k.Nyerere na wana saisa wa sasa. Yule ndio mwenye true patriotism na nchi yake. Hakuna kiongoz wa sasa kufikia level za mwalimu.

Bado sana polepole bado saaaana
 
Msilazimishe MTU kuwa MTU mwingine ni uzuzu!!
Marehemu mwalimu JK Nyerere alikuwapo mmoja nasasa ametangulia labda huyo umpendae umwite stivunyerere
  • Nyenyere anayejisifu kwa ma vieite (V8)
  • Nyenyere kigeugeu anayeandaa na kukataa mawazo ya wananchi walio wengi kwenye mambo ya msingi mfano katiba.
  • Nyenyere anayeshabikia pesa zilizopotea na kudai hazijaiva.
  • Nyenyere anayeunga wizi wakura kimabavu kwenye uchaguzi
  • Nyenyere anayetaka chama kimoja bungeni kwa njia zisizofaa.
  • Nyenyere mkabila
  • Nyenyere wakunyima wananchi yanayojiri bungeni
  • Nyenyere asowajali wakulima
Usituchoshe na kutukera tulowahi mfatilia hayati Nyerere
 

Hakika kila nikimtazama kijana huyu Comrade Polepole nauona uongozi wa aina ya Nyerere.

Nchi inatakiwa iilinde hii hazina huyu ni Nyerere aliyezaliwa upya.

Kiboko ya mabeberu na mabwanyenye. Wametumwa kina le mutuz na steve nyerere kumchafua wameishia kuonekana vituko, chuma kinaendelea kutema cheche.

One yes tutakupa hii nchi utufikishe nchi ya ahadi tulipokuwa tunapelekwa na shujaa wa Africa.
Huyu ni Polepole hawezi kuwa Nyerere. Nyerere ni level nyingine mkuu
 

Hakika kila nikimtazama kijana huyu Comrade Polepole nauona uongozi wa aina ya Nyerere.

Nchi inatakiwa iilinde hii hazina huyu ni Nyerere aliyezaliwa upya.

Kiboko ya mabeberu na mabwanyenye. Wametumwa kina le mutuz na steve nyerere kumchafua wameishia kuonekana vituko, chuma kinaendelea kutema cheche.

One yes tutakupa hii nchi utufikishe nchi ya ahadi tulipokuwa tunapelekwa na shujaa wa Africa.
Huyo polepole hafikii hata asilimia 1 ya nyerere

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom