Nani mwingine akimuona Polepole anamuona Nyerere?

Nani mwingine akimuona Polepole anamuona Nyerere?

View attachment 1987073

Hakika kila nikimtazama kijana huyu Comrade Polepole nauona uongozi wa aina ya Nyerere.

Nchi inatakiwa iilinde hii hazina huyu ni Nyerere aliyezaliwa upya.

Kiboko ya mabeberu na mabwanyenye. Wametumwa kina le mutuz na steve nyerere kumchafua wameishia kuonekana vituko, chuma kinaendelea kutema cheche.

One yes tutakupa hii nchi utufikishe nchi ya ahadi tulipokuwa tunapelekwa na shujaa wa Africa.
Hii ni Sonofobia, katafute mtaalam unaelekea kubaya.
 
Hivi kwanini mnapenda kumkosea adabu Nyerere?!

Mwalimu aliacha Ualimu Pugu... kwa maana nyingine, aliacha mshahara na kwenda kupigania uhuru; kibarua ambacho hakikuwa na malipo yoyote!!

Serikali ya Kikoloni, huku wakijaribu kuchomeka mfumo wa Kiingereza ufanye kazi Tanganyika, bila aibu wakaamua kumteua Nyerere kuwa Waziri Mkuu! Kwa tafsiri yoyote ile, tayari "ALISHAUKATA" kwa sababu hata kama Tanganyika ingeendelea kuwa chini ya Malkia, bado Nyerere kama Waziri Mkuu angekuwa ndo kila kitu! Angeanza kula maisha!

Pamoja na yote hayo, akasema "msinitanie na kujaribu kunifanya puppet wenu"! Nyerere aka-resign na kuacha benefits ZOTE za u-PM ili kupigania uhuru!!

Tuje kwa huyo mtu wenu...

KIla anayefuatilia siasa za Tanzania, anafahamu Polepole alikuwa mfuasi wa Katiba Mpya, na alikuwa mfuasi wa Rasimu ya Jaji Warioba!!!

Kuja kupewa u-DC tu... Polepole akasaliti msimamo wake kuhusu katiba!!

Kwahiyo, yaani bila aibu, unajaribu kumlinganisha mtu ambae hakukunulika hata kwa u-PM, na yule ambae u-DC tu ulimtoa roho?!

Bila aibu, unamlinganisha mtu ambae hakuthubutu kukaa kimya dhidi ya dhuluma, na yule ambae miaka 5 yote ya utawala wa JPM alikaa kimya pamoja na dhuluma zilizokuwa zinatokea kisa tu alipewa Vii Eiti? !!!

Hivi nyie watu hata aibu hamjisikii?!
 
Huyu dogo nlikua namwelewa ila akajazingua baada ya dingi kumwelewa sifa zikamjaa akapoteza sifa za msingi vilevile kwa bashiru
 
Nyerere alikuwa anafanya upuuzi na utahira kama huu? Hapo ni baada ya kulishwa na kuvimbiwa na vya Bwana Jiwe....
 
View attachment 1987073

Hakika kila nikimtazama kijana huyu Comrade Polepole nauona uongozi wa aina ya Nyerere.

Nchi inatakiwa iilinde hii hazina huyu ni Nyerere aliyezaliwa upya.

Kiboko ya mabeberu na mabwanyenye. Wametumwa kina le mutuz na steve nyerere kumchafua wameishia kuonekana vituko, chuma kinaendelea kutema cheche.

One yes tutakupa hii nchi utufikishe nchi ya ahadi tulipokuwa tunapelekwa na shujaa wa Africa.
Hakuna mtu hapa,

Uyu aliyepewa kipisi chamadaraka juzi juzi hapa,
Aka anza kutuongelea mambo ya maviete (V8) ,
Akae pembeni,

Aendelee kufundisha tuu,
kuongoza nchi hafai, hafai, hafai.

Narudia tena HAFAI........
 
Nyakati zinatofautiana, kila wakati una approach yake ya kupambania mambo.

Sasa angeukataa uDC wakati upo kwenye katiba ambayo kila mtu anatakiwa kuiheshimu
Kwani alishindwa nini kuendelea na msimamo wake huku akiendelea kuwa DC?

Au aliogopa angetumbuliwa, nae hakuwa tayari kuukosa u-DC kwa kusimamia alichokiamini!

Kama ndivyo, unamlinganisha vipi na Nyerere ikiwa hata u-DC tu ulimtoa roho?!

Unamlinganisha vipi na Nyerere ikiwa yupo tayari kusaliti anachokiamini kwa sababu ya cheo?

Na hizo nyakati unazosema zinatofautiana ni zipi? Au unataka kusema nyakati za enzi za JPM na hivi sasa nyakati tofauti?! Hivi unaamini kabisa endapo asingeondolewa kwenye Ukatibu Uenezi, hivi sasa angeendesha hicho ki-vlog kinachomwonesha sura yake halisi?
 
View attachment 1987073

Hakika kila nikimtazama kijana huyu Comrade Polepole nauona uongozi wa aina ya Nyerere.

Nchi inatakiwa iilinde hii hazina huyu ni Nyerere aliyezaliwa upya.

Kiboko ya mabeberu na mabwanyenye. Wametumwa kina le mutuz na steve nyerere kumchafua wameishia kuonekana vituko, chuma kinaendelea kutema cheche.

One yes tutakupa hii nchi utufikishe nchi ya ahadi tulipokuwa tunapelekwa na shujaa wa Africa.
Naunga mkono hoja.
Kuna kitu nilikisema kuhusu mtu huyu

P
 
Jikite kwenye hoja, hapa tunazungumzia future president.
CHADEMA wana uchungu naye maana ndo walioididimiza, Sasa hivyi haina hata wabunge isipokuwa Yule mama.

Mama wa watu, naye walitaka asiende Bungeni akawagomea.
 
Mku ukishakuwa mwongo na kejeli umeshapoteza
Alikudanganya?
Mbona Mbowe alidanganya kavunjwa sijui mguu na watu wasiojulikana Dodoma kumbe alibugia Faru John.
Alidanganya account zake zilifungwa na TRA kumbe ugonvi wa kifamilia.
Na bado ni mwenyekiti?
 
Back
Top Bottom