Na dingi ako yupo kwenye nafasi gani?Baba wa taifa Mwalimu Julius K Nyerere.
SureAnaiga kuongea kama Nyerere,lakin n mchumia tumbo kama mavi ongozi mengine afrika
Usimfananishe Nyerere na vitu vya ajabu ajabuPolepole hana baya kijana yule. Anaweza sana.
Anatafuta umaarufuHahahaaaa.... Humjui Nyerere wewe!
Humjui Nyerere kaa kimya, usijetufanya tukakutukana bureBaba wa taifa Mwalimu Julius K Nyerere.
Dingi ako hawezi kuwa future president?Jikite kwenye hoja, hapa tunazungumzia future president.
Anatafuta umaarufuHumjui Nyerere kaa kimya, usijetufanya tukakutukana bure
Haya amka kakojoe subiria mama ameenda sokoni akupe ujiView attachment 1987073
Hakika kila nikimtazama kijana huyu Comrade Polepole nauona uongozi wa aina ya Nyerere.
Nchi inatakiwa iilinde hii hazina huyu ni Nyerere aliyezaliwa upya.
Kiboko ya mabeberu na mabwanyenye. Wametumwa kina le mutuz na steve nyerere kumchafua wameishia kuonekana vituko, chuma kinaendelea kutema cheche.
One yes tutakupa hii nchi utufikishe nchi ya ahadi tulipokuwa tunapelekwa na shujaa wa Africa.
Kama unaona kuna ufanano ujitambue una mtindio wa ubongo. Jisalimishe hospitali upate tibaMtazame kwa umakini ndugu Polepole...utamuona Nyerere amezaliwa upya