Nani wa kumfungia kiongozi wetu Speed Governor? Nchi itapigwa mnada hii

Nani wa kumfungia kiongozi wetu Speed Governor? Nchi itapigwa mnada hii

Salaam, Shalom!!

Nchi yetu ni maskini, na Umaskini wetu ni WA matumizi ya akili katika kuzitumia vizuri raslimali na kuzibadili raslimali kuwa utajiri.

Niliwahi kuhoji kuwa, dhamana ya mikopo anayokopa kiongozi wetu ni nini Hasa?

Speed katika kukopa ni kubwa sana, ni Kweli tunahitaji pesa Kwa ajili ya kumalizia miradi iliyoanzishwa na Hayati Magu lakini tunahitaji kufanya Utafiti mikopo iliyokopwa tulinganishe na KAZI mikopo hiyo imefanya tupate balance!

Ikiwa tunakopa na wizi unafanyika, pesa zinaibwa na hazitimizi kusudi Kisha tunarudi tena kukopa, hii Hali ni Hadi lini?

Nani wa kumfunga kiongozi wetu Speed Governor kuhusu mikopo?

Iweje Nchi ikope vijipesa kiduchu vya mboga Kwa kubadilishana na Raslimali zenye thamani mara elfu zaidi ya mikopo hiyo?

Ikiwa Bunge limeshindwa kumdhibiti Kiongozi wetu kutukopea bila kutuuliza, ni nani atazuia au kumshauri vizuri kuhusu mikopo yenye TIJA?

Mh Ndugai akiwa Spika wa bunge, alishindwa kumfunga kiongozi huyu speed governor, Nani ataweza?

Hivi Trillion 2 ni pesa ya Kugawa migodi yetu?

Trillion Moja ni pesa ya kuwapa wageni kufanya UVUVI deep sea? Kwanini tusiwadhamini wavuvi kupitia kampuni za wazawa wanunue Meli kubwa kufanya UVUVI huko deep sea tuexport nje Samaki🤔???

Swali: Njia Gani wananchi tuzitumie kumzuia kiongozi wetu kukopa pesa kiduchu Kwa Kugawa Ardhi, misitu, Bandari na Bahari, raslimali ambazo ni thamani yake ni kubwa kuliko vipesa anavyokopa Kisha vinaishia kuibwa?

Karibuni🙏

Pia soma Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea
Watanganyika tuko usingizini wazanzibari wanatuuza tukiwashañgilia!
 
Hakutakuwa na tangazo la zabuni ya kuuza nchi. Sio kwamba gazetii au international business portal zitatangaza kwamba kuna nchi inauzwa huku. NO

Mtakuja kushtuka tu heeeh kumbe mmeuzwa miaka mitatu iliyopita. Itakuwa mmechelewa sana, kwa sababu hayo mauzo hayatakuwa na fidia bali ni nchi kuendelea kuwa chini ya wanunuzi.

Nchi inaweza isiuzwe kwa mnunuzi mmoja, huyu anaweza kuuziwa madini yule bandari na bahari, yule mbuga za wanyama na wanyama. Kwa hiyo mtakuta sehemu zote zimeuzwa isipokuwa nyinyi tu ndio hamjauzwa. Sasa hamtakuwa na pakwenda.

Hii kidogo kidogo ndio mchakato wenyewe. Amini hivyo, na Sio kusubiri eti kutakuwa bango kuuubwa kila mahali kwamba nchi imeuzwa.

Hamtakuwa na mtu wa kumbana kwa sababu wauzaji wote muhimu wamepewa kinga kisheria.
West africa
 
Hakutakuwa na tangazo la zabuni ya kuuza nchi. Sio kwamba gazetii au international business portal zitatangaza kwamba kuna nchi inauzwa huku. NO

Mtakuja kushtuka tu heeeh kumbe mmeuzwa miaka mitatu iliyopita. Itakuwa mmechelewa sana, kwa sababu hayo mauzo hayatakuwa na fidia bali ni nchi kuendelea kuwa chini ya wanunuzi.

Nchi inaweza isiuzwe kwa mnunuzi mmoja, huyu anaweza kuuziwa madini yule bandari na bahari, yule mbuga za wanyama na wanyama. Kwa hiyo mtakuta sehemu zote zimeuzwa isipokuwa nyinyi tu ndio hamjauzwa. Sasa hamtakuwa na pakwenda.

Hii kidogo kidogo ndio mchakato wenyewe. Amini hivyo, na Sio kusubiri eti kutakuwa bango kuuubwa kila mahali kwamba nchi imeuzwa.

Hamtakuwa na mtu wa kumbana kwa sababu wauzaji wote muhimu wamepewa kinga kisheria.
Umeandika upuuzi wa kilofa
 
Siku watumishi wa UMMA wakikosa Mishahara ndo tutaongea lugha moja kuhusu hii mikopo uchwara inayooishia kwenye mifuko ya watu.
Haitakuja kutokea hapa Tanzania.Moja ya Nchi ambayo inaishia Kwa hesabu Kali za kujihami ni Tanzania.

Mnaweza kosa vingine sio salary
 
Hakutakuwa na tangazo la zabuni ya kuuza nchi. Sio kwamba gazetii au international business portal zitatangaza kwamba kuna nchi inauzwa huku. NO

Mtakuja kushtuka tu heeeh kumbe mmeuzwa miaka mitatu iliyopita. Itakuwa mmechelewa sana, kwa sababu hayo mauzo hayatakuwa na fidia bali ni nchi kuendelea kuwa chini ya wanunuzi.

Nchi inaweza isiuzwe kwa mnunuzi mmoja, huyu anaweza kuuziwa madini yule bandari na bahari, yule mbuga za wanyama na wanyama. Kwa hiyo mtakuta sehemu zote zimeuzwa isipokuwa nyinyi tu ndio hamjauzwa. Sasa hamtakuwa na pakwenda.

Hii kidogo kidogo ndio mchakato wenyewe. Amini hivyo, na Sio kusubiri eti kutakuwa bango kuuubwa kila mahali kwamba nchi imeuzwa.

Hamtakuwa na mtu wa kumbana kwa sababu wauzaji wote muhimu wamepewa kinga kisheria.
Machadema ni wajinga sana,uzushi na upuuzi ndio ambacho mnakiamini na kukitegemea kwenye siasa.

Yale Yale ya DP World amezuia uwekezaji Kwa wengine au Bandari zetu 😂😂😂😂

Acheni ujinga nyie nyumbu 👇👇

View: https://twitter.com/VOASwahili/status/1797998016923894131?t=hYRTrtCftiZNAb7phb1TMA&s=19
 
Salaam, Shalom!!

Nchi yetu ni maskini, na Umaskini wetu ni WA matumizi ya akili katika kuzitumia vizuri raslimali na kuzibadili raslimali kuwa utajiri.

Niliwahi kuhoji kuwa, dhamana ya mikopo anayokopa kiongozi wetu ni nini Hasa?

Speed katika kukopa ni kubwa sana, ni Kweli tunahitaji pesa Kwa ajili ya kumalizia miradi iliyoanzishwa na Hayati Magu lakini tunahitaji kufanya Utafiti mikopo iliyokopwa tulinganishe na KAZI mikopo hiyo imefanya tupate balance!

Ikiwa tunakopa na wizi unafanyika, pesa zinaibwa na hazitimizi kusudi Kisha tunarudi tena kukopa, hii Hali ni Hadi lini?

Nani wa kumfunga kiongozi wetu Speed Governor kuhusu mikopo?

Iweje Nchi ikope vijipesa kiduchu vya mboga Kwa kubadilishana na Raslimali zenye thamani mara elfu zaidi ya mikopo hiyo?

Ikiwa Bunge limeshindwa kumdhibiti Kiongozi wetu kutukopea bila kutuuliza, ni nani atazuia au kumshauri vizuri kuhusu mikopo yenye TIJA?

Mh Ndugai akiwa Spika wa bunge, alishindwa kumfunga kiongozi huyu speed governor, Nani ataweza?

Hivi Trillion 2 ni pesa ya Kugawa migodi yetu?

Trillion Moja ni pesa ya kuwapa wageni kufanya UVUVI deep sea? Kwanini tusiwadhamini wavuvi kupitia kampuni za wazawa wanunue Meli kubwa kufanya UVUVI huko deep sea tuexport nje Samaki🤔???

Swali: Njia Gani wananchi tuzitumie kumzuia kiongozi wetu kukopa pesa kiduchu Kwa Kugawa Ardhi, misitu, Bandari na Bahari, raslimali ambazo ni thamani yake ni kubwa kuliko vipesa anavyokopa Kisha vinaishia kuibwa?

Karibuni🙏

Pia soma Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea
Mgodi upi uliogaiwa? Na kwa nani?
 
Mama anaenda kukopa hela kwa jina la nchi kama anaenda kukopa vikobaa kila siku nchi za watuuu..hela zinapoenda hazionekanii kabisaa.. miaka mitatu hakuna kipya kafanya hata vile vya magufuli kashindwa kuviendeleza zaidi ya kuu miradi aliyoikutaa leo mwendokasi inakufaa..sgr haina dalili hata ya kuanza kazi...bima toto akaua umeme nao ovyoooo ovyoo BANDARI AKAONA AUZEE KABISA aisee huyu akipewa miaka mingine mitano tutauzwaa pamoja na watoto zetu.
Unaropoka tuu kama poyoyo.
-Hakuna mradi hata mmja wa Mwendazake uliosimama sana sana Mingi imekamilika except Sgr.

Unataka kujua nini amefanya au unasumbuliwa na chuki?

Mwisho kama huoni wewe Kwa sababu za chuki binafsi unataka usaidiwaje? Wananchi wengi wanaona huko huko kwenye maeneo Yao kuanzia mtaani mjini Hadi kitongojini Vijijini
 
Akina Mzee Nyerere wangekuwa na mtazamo kama Viongozi wa sasa, huenda tusingepata hata ardhi ya kujenga.

Yaani Viongozi wako so corrupt na Idara ya Usalama ipo ikiwaangalia tu 🙌
Mtizamo gani? Nini kimebadilika kwenye mtizamo? Aliyekimbia Ikulu Kwa kuharibu Uchumi alikuwa nani zaidi ya Nyerere?
 
Mtizamo gani? Nini kimebadilika kwenye mtizamo? Aliyekimbia Ikulu Kwa kuharibu Uchumi alikuwa nani zaidi ya Nyerere?
Nioneshe assets alizokodisha/Kuuza Mwalimu Nyerere Kwa Wageni/Wazungu n.k kama walivyofanya Viongozi waliomfatia kuongoza Nchi

Nyerere was never a corrupt guy kama walivyo hawa wasasa
 
Nioneshe assets alizokodisha/Kuuza Mwalimu Nyerere Kwa Wageni/Wazungu n.k kama walivyofanya Viongozi waliomfatia kuongoza Nchi

Nyerere was never a corrupt guy kama walivyo hawa wasasa
Hakukodisha lakini aliingiza hasara Kwa hasara Kwa Nchi Hadi mkawa mbavaa viraka na kwenda kuombeleza Mafuta Iran.

Upumbavu kama huu ndio unashangilia?
 
Hakukodisha lakini aliingiza hasara Kwa hasara Kwa Nchi Hadi mkawa mbavaa viraka na kwenda kuombeleza Mafuta Iran.

Upumbavu kama huu ndio unashangilia?
Wewe kwenye familia yenu, hakuna Siku mlilala njaa ama kushindia Uji?

Lakini still Baba yenu hakuuza nyumba mliyokuwa mkikaa

Huo ndiyo Uanamme, sio kuuza rasilimali za Nchi pamoja na kuuza Viwanda/mapori yetu ya akiba/Bandari n.k
 
Mie kinachoniuma zaidi ni kwamba ETI mkopaji ana mpango wa kugombea nafasi aliyonayo uchaguzi mkuu wa mwakani!!!.
Afrika tumelogwa
Mi nikifikiria hii najikuta nachooooka, ccm hawana mpango wa kujenga nchi kwa hiyo hata Samia kwako anafaa tu. Hawa watu mashetani kwelikweli
 
Kwa vyovyote vile washauri wake ni wakulaumiwa. Hizo degree anazodanganywa nazo sio kwamba wanampenda sana, Kuna kitu kinahitanika kutoka kwake. Kwamba yeye ameendesha nchi vizuri kuliko Thabo Mbeki? Au kuliko Mwai Kibaki? Kwa nafasi aliyonayo hata asipowewa hivyo vidigrii feki huko tayari tunamheshimu. Hahitaji "validation" kuwa alipo. Rasilimali zetu sio pipi agawe tu Kwa visenti vidogo anavyopewa.
Bajeti ya wizara ya Fedha kiasi Cha TSH 13 trilioni ni malipo ya deni la Taifa. Hiyo ni asilimia 30 ya mapato yote. Tunaenda wapi? Kuna wakati it is not worthy kuwa na hizo barabara ambazo zinavunjika na kuharibika baada ya miaka mitano.
Mama una miaka sitini na, labda hutakuwepo wakati watoto wetu wanalipia sera mbovu za serikali ila tuonee huruma. Hata Nyerere hakushindwa kugawa haka kanchi aliona tu si busara.
Natamani ufanikiwe ila si Kwa kukopa kila sehemu na kugawa hata vichache tulivyopewa na Mungu.
 
Machadema ni wajinga sana,uzushi na upuuzi ndio ambacho mnakiamini na kukitegemea kwenye siasa.

Yale Yale ya DP World amezuia uwekezaji Kwa wengine au Bandari zetu 😂😂😂😂

Acheni ujinga nyie nyumbu 👇👇

View: https://twitter.com/VOASwahili/status/1797998016923894131?t=hYRTrtCftiZNAb7phb1TMA&s=19

Bro natamani sana afanikiwe maana mafanikio yake ni mafanikio ya Tanzania lakini bajeti yake 30% analipa mikopo na mingine bado inachukuliwa unafikiri ni muda Gani kabla hatujafika watu wanapopasema? Hatuandiki Kwa chuki Bali tunaona namba na huwa hazidanganyi. Hiyo bandari atajenga huyo mkorea akienda kuvua kwenye maji makuj una kifaa gani cha kumuona kama akikudanganya?
Tukiangalia kesho ya Tanzania tunaona Giza. Tunaongea maana tunapenda. CCM na Chadema hawatofautiani sana ila Kuna nchi yenye wananchi. Je wajukuu watarithi Nini?
 
Mgodi upi uliogaiwa? Na kwa nani?
Naamini Kwa umri wako ni mkubwa. Kwa sasa tuna madini ambayo Dunia inayahitaji. Kumwita mtu na kuyampa Kwa ahadi ya kukupa dollar 600M sio akili. Tukitaka tunaweza kuwezesha watu wetu wachache ili wawekeze huko. Urusi imetumia njia hiyo na ndo maana mpaka Leo vikwazo vya magharibi vimeshindwa.
Hatumpingi mtu Kwa sababu ya dini yake. Kabla ya yeye kuwa dini aliyopo ni Mtanzania. Anatakiwa akiwa kwenye vikao hilo liwe mbele yake kwanza. Na pia tunamuombea afanikiwe maana ndo mafanikio yetu sote lakini mafanikio hayahusishi kupewa zawadi za kitoto ili utoe rasilimali.
Nchi ya Marekani Ina wanajeshi 30,000 Korea. Ikitokea vita Korea Leo Marekani anaenda kupigana Kwa niaba yao lakini ukiona lini walimwita Joe Biden wakamtunza shahada. Kwamba mtu amabe uhusiano wenu hata ukivunjika hauna shida anaweza kulinganishwa na mlinzi wake? Tukatae sifa za kijinga Kwa watu wanaotaka kitu kwetu.
 
Naamini Kwa umri wako ni mkubwa. Kwa sasa tuna madini ambayo Dunia inayahitaji. Kumwita mtu na kuyampa Kwa ahadi ya kukupa dollar 600M sio akili. Tukitaka tunaweza kuwezesha watu wetu wachache ili wawekeze huko. Urusi imetumia njia hiyo na ndo maana mpaka Leo vikwazo vya magharibi vimeshindwa.
Hatumpingi mtu Kwa sababu ya dini yake. Kabla ya yeye kuwa dini aliyopo ni Mtanzania. Anatakiwa akiwa kwenye vikao hilo liwe mbele yake kwanza. Na pia tunamuombea afanikiwe maana ndo mafanikio yetu sote lakini mafanikio hayahusishi kupewa zawadi za kitoto ili utoe rasilimali.
Nchi ya Marekani Ina wanajeshi 30,000 Korea. Ikitokea vita Korea Leo Marekani anaenda kupigana Kwa niaba yao lakini ukiona lini walimwita Joe Biden wakamtunza shahada. Kwamba mtu amabe uhusiano wenu hata ukivunjika hauna shida anaweza kulinganishwa na mlinzi wake? Tukatae sifa za kijinga Kwa watu wanaotaka kitu kwetu.
Umejitahidi sana kuwaelewesha Watz waliojipa Cheo Cha " Chawa", ingawa Nina HAKIKA, hayupo atakayekuelewa..
 
Back
Top Bottom