Nani wa kumfungia kiongozi wetu Speed Governor? Nchi itapigwa mnada hii

Nani wa kumfungia kiongozi wetu Speed Governor? Nchi itapigwa mnada hii

Salaam, Shalom!!

Nchi yetu ni maskini, na Umaskini wetu ni WA matumizi ya akili katika kuzitumia vizuri raslimali na kuzibadili raslimali kuwa utajiri.

Niliwahi kuhoji kuwa, dhamana ya mikopo anayokopa kiongozi wetu ni nini Hasa?

Speed katika kukopa ni kubwa sana, ni Kweli tunahitaji pesa Kwa ajili ya kumalizia miradi iliyoanzishwa na Hayati Magu lakini tunahitaji kufanya Utafiti mikopo iliyokopwa tulinganishe na KAZI mikopo hiyo imefanya tupate balance!

Ikiwa tunakopa na wizi unafanyika, pesa zinaibwa na hazitimizi kusudi Kisha tunarudi tena kukopa, hii Hali ni Hadi lini?

Nani wa kumfunga kiongozi wetu Speed Governor kuhusu mikopo?

Iweje Nchi ikope vijipesa kiduchu vya mboga Kwa kubadilishana na Raslimali zenye thamani mara elfu zaidi ya mikopo hiyo?

Ikiwa Bunge limeshindwa kumdhibiti Kiongozi wetu kutukopea bila kutuuliza, ni nani atazuia au kumshauri vizuri kuhusu mikopo yenye TIJA?

Mh Ndugai akiwa Spika wa bunge, alishindwa kumfunga kiongozi huyu speed governor, Nani ataweza?

Hivi Trillion 2 ni pesa ya Kugawa migodi yetu?

Trillion Moja ni pesa ya kuwapa wageni kufanya UVUVI deep sea? Kwanini tusiwadhamini wavuvi kupitia kampuni za wazawa wanunue Meli kubwa kufanya UVUVI huko deep sea tuexport nje Samaki🤔???

Swali: Njia Gani wananchi tuzitumie kumzuia kiongozi wetu kukopa pesa kiduchu Kwa Kugawa Ardhi, misitu, Bandari na Bahari, raslimali ambazo ni thamani yake ni kubwa kuliko vipesa anavyokopa Kisha vinaishia kuibwa?

Karibuni🙏

Pia soma Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea
MKUU CCM NI SIKIO LA KUFA NA MBAYA ZAIDI HIZO PESA WANAWEKA MIFUKONI MWAO
 
Salaam, Shalom!!

Nchi yetu ni maskini, na Umaskini wetu ni WA matumizi ya akili katika kuzitumia vizuri raslimali na kuzibadili raslimali kuwa utajiri.

Niliwahi kuhoji kuwa, dhamana ya mikopo anayokopa kiongozi wetu ni nini Hasa?

Speed katika kukopa ni kubwa sana, ni Kweli tunahitaji pesa Kwa ajili ya kumalizia miradi iliyoanzishwa na Hayati Magu lakini tunahitaji kufanya Utafiti mikopo iliyokopwa tulinganishe na KAZI mikopo hiyo imefanya tupate balance!

Ikiwa tunakopa na wizi unafanyika, pesa zinaibwa na hazitimizi kusudi Kisha tunarudi tena kukopa, hii Hali ni Hadi lini?

Nani wa kumfunga kiongozi wetu Speed Governor kuhusu mikopo?

Iweje Nchi ikope vijipesa kiduchu vya mboga Kwa kubadilishana na Raslimali zenye thamani mara elfu zaidi ya mikopo hiyo?

Ikiwa Bunge limeshindwa kumdhibiti Kiongozi wetu kutukopea bila kutuuliza, ni nani atazuia au kumshauri vizuri kuhusu mikopo yenye TIJA?

Mh Ndugai akiwa Spika wa bunge, alishindwa kumfunga kiongozi huyu speed governor, Nani ataweza?

Hivi Trillion 2 ni pesa ya Kugawa migodi yetu?

Trillion Moja ni pesa ya kuwapa wageni kufanya UVUVI deep sea? Kwanini tusiwadhamini wavuvi kupitia kampuni za wazawa wanunue Meli kubwa kufanya UVUVI huko deep sea tuexport nje Samaki🤔???

Swali: Njia Gani wananchi tuzitumie kumzuia kiongozi wetu kukopa pesa kiduchu Kwa Kugawa Ardhi, misitu, Bandari na Bahari, raslimali ambazo ni thamani yake ni kubwa kuliko vipesa anavyokopa Kisha vinaishia kuibwa?

Karibuni🙏

Pia soma Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea
Porojo zako hazina msingi wowote hata hivyo,

NCHI iko katika uelekeo sahihi sana
 
Sasa kwanini tukawakopee wezi Kwa unachokiita " Nia njema"?

Saizi Hadi mifumo ya control namba inaingiliwa na waizi!!

Kwanini tusiondoe kwanza waizi ndipo twende kukopa?
Hoja yako ni nzuri na tayari inafanyiwa kazi
 
Hakutakuwa na tangazo la zabuni ya kuuza nchi. Sio kwamba gazetii au international business portal zitatangaza kwamba kuna nchi inauzwa huku. NO

Mtakuja kushtuka tu heeeh kumbe mmeuzwa miaka mitatu iliyopita. Itakuwa mmechelewa sana, kwa sababu hayo mauzo hayatakuwa na fidia bali ni nchi kuendelea kuwa chini ya wanunuzi.

Nchi inaweza isiuzwe kwa mnunuzi mmoja, huyu anaweza kuuziwa madini yule bandari na bahari, yule mbuga za wanyama na wanyama. Kwa hiyo mtakuta sehemu zote zimeuzwa isipokuwa nyinyi tu ndio hamjauzwa. Sasa hamtakuwa na pakwenda.

Hii kidogo kidogo ndio mchakato wenyewe. Amini hivyo, na Sio kusubiri eti kutakuwa bango kuuubwa kila mahali kwamba nchi imeuzwa.

Hamtakuwa na mtu wa kumbana kwa sababu wauzaji wote muhimu wamepewa kinga kisheria.
 
Back
Top Bottom