Nani wa kumfungia kiongozi wetu Speed Governor? Nchi itapigwa mnada hii

Nani wa kumfungia kiongozi wetu Speed Governor? Nchi itapigwa mnada hii

Rabbon

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2022
Posts
21,625
Reaction score
33,688
Salaam, Shalom!

Nchi yetu ni maskini, na Umaskini wetu ni WA matumizi ya akili katika kuzitumia vizuri raslimali na kuzibadili raslimali kuwa utajiri.

Niliwahi kuhoji kuwa, dhamana ya mikopo anayokopa kiongozi wetu ni nini Hasa?

Speed katika kukopa ni kubwa sana, ni Kweli tunahitaji pesa Kwa ajili ya kumalizia miradi iliyoanzishwa na Hayati Magu lakini tunahitaji kufanya Utafiti mikopo iliyokopwa tulinganishe na KAZI mikopo hiyo imefanya tupate balance!

Ikiwa tunakopa na wizi unafanyika, pesa zinaibwa na hazitimizi kusudi Kisha tunarudi tena kukopa, hii Hali ni Hadi lini?

Nani wa kumfunga kiongozi wetu Speed Governor kuhusu mikopo?

Iweje Nchi ikope vijipesa kiduchu vya mboga Kwa kubadilishana na Raslimali zenye thamani mara elfu zaidi ya mikopo hiyo?

Ikiwa Bunge limeshindwa kumdhibiti Kiongozi wetu kutukopea bila kutuuliza, ni nani atazuia au kumshauri vizuri kuhusu mikopo yenye TIJA?

Mh Ndugai akiwa Spika wa bunge, alishindwa kumfunga kiongozi huyu speed governor, Nani ataweza?

Hivi Trillion 2 ni pesa ya Kugawa migodi yetu?

Trillion Moja ni pesa ya kuwapa wageni kufanya UVUVI deep sea? Kwanini tusiwadhamini wavuvi kupitia kampuni za wazawa wanunue Meli kubwa kufanya UVUVI huko deep sea tuexport nje Samaki🤔???

Swali: Njia Gani wananchi tuzitumie kumzuia kiongozi wetu kukopa pesa kiduchu Kwa Kugawa Ardhi, misitu, Bandari na Bahari, raslimali ambazo ni thamani yake ni kubwa kuliko vipesa anavyokopa Kisha vinaishia kuibwa?

Karibuni🙏

Pia soma Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea
 
Kama kupigwa mnada Afrika nzima ingeshapigwa mnada miaka mingi iliyopita. Viongozi wetu wakijifungia ndani huwa mnakuja na maandiko yanayowakejeli pia.
Sisi hatuna uhaba wa pesa,

Tatizo letu ni kushindwa kudhibiti wezi wa mapato ya Serikali.

Hilo ndilo tatizo letu,

Pesa Serikali ulizotumia kwenye mradi fake chini ya Bashe, umeleta TIJA Gani ya kusaidia kurudisha mikopo hiyo?

Bila hata kujiuliza,

Huyoo keshaenda Kugawa bahari Kwa wakorea Kwa pesa ambayo ni ndogo sana ambayo anapewa kidogo kidogo Kwa miaka mitano,

Kwani tungekopa meli kubwa za UVUVI WAKAPEWA kampuni za wazawa wakafanya UVUVI deep sea, hivyo vipesa tungepata within six months,

Kiongozi wetu afungwe speed governor, atatuuza!!
 
Sisi hatuna uhaba wa pesa,

Tatizo letu ni kushindwa kudhibiti wezi wa mapato ya Serikali.

Hilo ndilo tatizo letu,

Pesa Serikali ulizotumia kwenye mradi fake chini ya Bashe, umeleta TIJA Gani ya kusaidia kurudisha mikopo hiyo?

Bila hata kujiuliza,

Huyoo keshaenda Kugawa bahari Kwa wakorea Kwa pesa ambayo ni ndogo sana ambayo anapewa kidogo kidogo Kwa miaka mitano,

Kwani tungekopa meli kubwa za UVUVI WAKAPEWA kampuni za wazawa wakafanya UVUVI deep sea, hivyo vipesa tungepata within six months,

Kiongozi wetu afungwe speed governor, atatuuza!!
Tafuta ukweli na uhalisia wa habari husika, sio kutegemea vyanzo feki na ukaja humu kuandika kwa kujiamini kabisa utadhani unafahamu kwa kina hicho unachokiandika. Punguza chuki binafsi kwa wanasiasa.
 
Kwa mtazamo huo USA imejifungia Kweli Kweli, maana Biden, mwaka wa nne huu, hajakanyaga Afrika.

Anachokifanya kiongozi wetu ni kutudhalilisha, anaenda kukopa pesa kiduchu ambazo wakati mwingine gharama ya safari yake Moja yaeza karibiana na pesa anayokwenda kukopa.

Mungu atuepushie mbali tatizo hili.
 
Sisi hatuna uhaba wa pesa,

Tatizo letu ni kushindwa kudhibiti wezi wa mapato ya Serikali.

Hilo ndilo tatizo letu,

Pesa Serikali ulizotumia kwenye mradi fake chini ya Bashe, umeleta TIJA Gani ya kusaidia kurudisha mikopo hiyo?

Bila hata kujiuliza,

Huyoo keshaenda Kugawa bahari Kwa wakorea Kwa pesa ambayo ni ndogo sana ambayo anapewa kidogo kidogo Kwa miaka mitano,

Kwani tungekopa meli kubwa za UVUVI WAKAPEWA kampuni za wazawa wakafanya UVUVI deep sea, hivyo vipesa tungepata within six months,

Kiongozi wetu afungwe speed governor, atatuuza!!
Hao wazawa wanashindwa kusimamia wizara wanaishia kuwa wezi tu wa mali za umma, ndio hao unaowaongelea au kuna wazawa wengine wenye kustahili?.
 
Kwa mtazamo huo USA imejifungia Kweli Kweli, maana Biden, mwaka wa nne huu, hajakanyaga Afrika.

Anachokifanya kiongozi wetu ni kukudhalilisha, anaenda kukopa pesa kiduchu ambazo wakati mwingine gharama ya safari yake Moja yaeza karibiana na pesa anayokwenda kukopa.

Mungu atuepushie mbali tatizo hili.
USA ya Biden ni taifa moja kubwa sana mipango yao ni tofauti na ya nchi za kiafrika.

Unapomkejeli SSH kumbuka wamekwenda Korea marais wengi tu wa afrika.
 
Salaam, Shalom!!

Nchi yetu ni maskini, na Umaskini wetu ni WA matumizi ya akili katika kuzitumia vizuri raslimali na kuzibadili raslimali kuwa utajiri.

Niliwahi kuhoji kuwa, dhamana ya mikopo anayokopa kiongozi wetu ni nini Hasa?

Speed katika kukopa ni kubwa sana, ni Kweli tunahitaji pesa Kwa ajili ya kumalizia miradi iliyoanzishwa na Hayati Magu lakini tunahitaji kufanya Utafiti mikopo iliyokopwa tulinganishe na KAZI mikopo hiyo imefanya tupate balance!

Ikiwa tunakopa na wizi unafanyika, pesa zinaibwa na hazitimizi kusudi Kisha tunarudi tena kukopa, hii Hali ni Hadi lini?

Nani wa kumfunga kiongozi wetu Speed Governor kuhusu mikopo?

Iweje Nchi ikope vijipesa kiduchu vya mboga Kwa kubadilishana na Raslimali zenye thamani mara elfu zaidi ya mikopo hiyo?

Ikiwa Bunge limeshindwa kumdhibiti Kiongozi wetu kutukopea bila kutuuliza, ni nani atazuia au kumshauri vizuri kuhusu mikopo yenye TIJA?

Swali: Njia Gani wananchi tuzitumie kumzuia kiongozi wetu kukopa pesa kiduchu Kwa Kugawa Ardhi, misitu, Bandari na Bahari, raslimali ambazo ni thamani yake ni kubwa kuliko vipesa anavyokopa Kisha vinaishia kuibwa?

Karibuni🙏
Tunakopa kwa nia nzuri kabisa, acha hofu
 
Back
Top Bottom