Wewe umenielewa, wako watu wanamaliza degree ya aina moja mfano uhandisi. Mmoja akiwa halmashauri laki 9 mwingine akienda Tanroad milioni 2 na point + allowances. Mfumo huu usharibika tayari na hakuna wa kuurekebisha. Ngoja na sisi tutafute kamba tuanze kulaNyie mnaongea tu ila haya mambo yanaumiza sana kwa sababu hakuna usawa.
Ukiacha mambo mengine ya kibinadamu unamlipaje Mwalimu wa Degree 460k halafu mtu fani nyingine unamlipa 6M. !!??
HAMJAMUELEWA MLETA MADA. MLETA MADA NI MTUMISHI WA SERIKALI MIONGONI MWA WALE WANAO TESEKA NA GAP HAPO JUU.
Kwenye kusaini documents hapo hapati chochote?Mwambie bana!!siku hizi hata mhasibu hakutani na pesa zaidi ya makaratasi tu!!
Jibu swali langu mkuu mbona unaniuliza tena?Kabla sijakujibu hilo niambie kwanza kati ya kuingia na kikaratasi au kuuliza wenzio, ni ipi njia rahisi ya kuibia kwenye chumba cha mtihani?
Watanzania unawashangaa sana hao hao ndio wakwepa kodi hawatoi risiti kwenye biashara zao halafu wanajifanya wanachukia ufisadi. Dhambi ya kusema uongo na dhambi ya kwenda kwa mpalange au kuua zote ni dhambi tu.Usipopiga utapigwa ,tena na kitu kizito
Hadi ufikie kubadili wapigaji wa hii nchi ulisha kwenda na maji, wapigaji ni wengi na huwezi kuwa mwema peke yako.
Kikubwa piga kwa akili(huo ndo urefu wa kamba uliyonayo)
Ahsante sana kwa mchango wakoHakuna dili ambalo mtu wa manunuzi atacheza pasipo kumshirikisha mhasibu.
Supplier ili alipwe kwa wakati inabidi aishi vizuri na mhasibu vinginevyo itakua ni sound tu kila siku.
To me mhasibu is far better kuliko mtu wa manunuzi.
Wewe unalipa kodi kwa usahihi?Wizi wizi wizi
Hakuna dili ambalo mtu wa manunuzi atacheza pasipo kumshirikisha mhasibu.
Supplier ili alipwe kwa wakati inabidi aishi vizuri na mhasibu vinginevyo itakua ni sound tu kila siku.
To me mhasibu is far better kuliko mtu wa manunuzi.
Hata kama anapata ni ki ji pesa tu na sio pesa, na inategemea na aina ya doc!!zamani pesa zote zilipokuwa zikilipiwa kwenye ofisi ya uhasibu moja kwa moja, na wao ndio wanazipeleka bank, ndipo kulikuwa mhasibu anaonekana kama Mungu Mtu!!kwani ndiye alikuwa na uwezo wa kuchukua kiasi fulani na kuzizungusha kwanza kwenye biashara zake huko, na kukopesha watu kwa riba.Kwenye kusaini documents hapo hapati chochote?
Nani kakuambia kuna malipo yanafanywa pasipokua na physical verification ya huo mzigo ulionunuliwa?anaefanya verification ya mzigo ni mtu wa finance/mhasibu na sio afisa manunuzi.vinginevyo auditor akija atakubana utashindwa kujibu.so mhasibu huwezi kumkwepaHakuna kitu unajua boss,
Mtu wa manunuzi anakula bila mhasibu kujua chochote,ila mhasibu hali bila mtu wa manunuzi kujua.
(Manunuzi)Napokea hewa,nawasiliana na supplier mm na mhasibu unalipa bila kujua na mpunga tunakula
Hapa naungana na wewe 100% now nimeamua nikae mwenyewe kwenye kiofisi changu, kwajinsi tulivyokuwa tunapiga hela sehemu tuliyokuwa tunafanya kazi, sitamani kabisa kumuajiri mtu kwenye ofisi yangu. Mwizi hataki aibiwe bhanaWatanzania uwa sijui tunazaliwa tukiwa na PhD ya upigaji.
Jichanganye umuachie mtz biashara bila kufuatilia umuamini utalia hata awe ndugu yako.
Hahaah waachie na wengine wale asee, mbona we ulikua unakula kwa wenzioHapa naungana na wewe 100% now nimeamua nikae mwenyewe kwenye kiofisi changu, kwajinsi tulivyokuwa tunapiga hela sehemu tuliyokuwa tunafanya kazi, sitamani kabisa kumuajiri mtu kwenye ofisi yangu. Mwizi hataki aibiwe bhana
Ukila vya wenzio nawe lazima uliwe kidogo mkuuHapa naungana na wewe 100% now nimeamua nikae mwenyewe kwenye kiofisi changu, kwajinsi tulivyokuwa tunapiga hela sehemu tuliyokuwa tunafanya kazi, sitamani kabisa kumuajiri mtu kwenye ofisi yangu. Mwizi hataki aibiwe bhana
Kuchukua buku mbili tatu ndio kupiga?Kuna mtu anataka kupiga
Ova
Na wewe kama hulipi kodi pia unaiba hela za serikaliKijn amenizikitisha sna na punguani haswa.
Eti uibe hell za serekali alfu unakuja kuanzisha uzi huku
Kuwa mbunge ni zaidi ya kujua kusoma na kuandika wana mamno yao mazito sana huyapitia acha wale mema ya nchiMwenye degree salary laki 7, mbunge ambae qualification yake kujua kusoma na kuandika salary milioni 11.
Hapo kuna uzalendo?
Ahsante sana kwa mchango wako
Still bado. Maana hata ukishinda tenda bado utahitaji kuwa karibu na procurement. Na hata kabla ya kushinda ni procurement ndo atakuambia ni nn cha kufanya kuongeza chance ya kuipata hiyo Tenda. Hata info tu kuwa price zako zichezee wapi ili zisiwe juu sana wakakuona ni ghali na zisiwe chini sana wakakuona unaweza shindwa kazi baadae ukaanza kulia lia ni ya muhimu na inakuhitaji ufahamiane na procure.