Afghanistan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2022
- 308
- 403
Nikukosoe kidogo.Haya ni moja ya mapungufu ya Saamia....
Na ni alama ya kiwango kikubwa cha ujinga kwenye taifa letu.........
Pia ni ishara kuwa tunaishi kwenye taifa lililopoteza muelekeo na kukosa dira........
Pia ni dalili kuwa tuna kiwango kikubwa cha watu wengi wenye changamoto ya afya ya akili
Na mtu yoyote anayejiona hakosei mda wote muogope sanaSamia wakati akiwa makamu wa rais aliwahi kusema kuwa Rais huwa hakosei, sasa kama huo ndio mtazamo wake hadi sasa akiwa yeye ndio Rais basi tuna tatizo kubwa sana.
Hawa wamelenga kupiga hela basi! Target 2025.Nawasalimia kwa Jina la JMT,
Naomba kudeclare interest kwamba Mimi ni Mzalendo halisi na sijawahi hata kufikiria kupoteza hati yangu ya uzalendo.
Ila sasa nimeanza kupata mashaka juu ya uibukaji Wa Taasisi Nyingi zinazojinasibu kuwa Asasi ya kizalendo zinazomtetea Mama..
Kifupi ni kwamba kinachonikera kwenye Taasisi hizi hata mama akisema kuku ni Tembo aliyechangamka wao watakuja na kuipamba story yake na kusema mama hajakosea watatoa nadharia kibao bila kurekebisha kauli alossma mama...
Kifupi wapo kupaka Rangi makosa ya serikali na kuzidi kung'arisha uovu..
Kwa mtizamo wa kisiasa Hiyo sio hali nzuri kwani ni bora ukutane na Nyoka au Simba, kuliko mzalendo unaye ipenda nchi yako uingie mikononi mwa hizi taasisi.
Swali langu ni Nani yuko nyuma ya hizi taasisi ambazo kwa sasa zina Matawi nchi nzima..?
Nani anazifadhili hizi taasisi kufungua matawi na ofisi nchi nzima??
Walianza #Chawa wa Mama Wakaja #Nyuki wa Mama wakafata #watoto wa mama wakaja #ulipotupo...
Sasa kuna #watetezi wa Mama sasa upo kundi gani
Mtetezi wa mamaππππ
View attachment 2748664
View attachment 2748666
Chawa wa mama πππππ
View attachment 2748667
#Nyuki wa Mamaa πππ
View attachment 2748668
Wote wapo kwenye kundi la wajinga kwenye macho ya wapenda haki na wanaopigania haki zao kwenye utawala huu dhalimuNikukosoe kidogo.
Hawa watu sio wajinga bali wanatumia ujinga wa mtawala ili kufanikisha kula yao.
Hawa ni majambazi, wanasifia uongo ili wapate pesa
Inasikitisha sanaHaya ni moja ya mapungufu ya Saamia....
Na ni alama ya kiwango kikubwa cha ujinga kwenye taifa letu.........
Pia ni ishara kuwa tunaishi kwenye taifa lililopoteza muelekeo na kukosa dira........
Pia ni dalili kuwa tuna kiwango kikubwa cha watu wengi wenye changamoto ya afya ya akili
Nawasalimia kwa Jina la JMT,
Naomba kudeclare interest kwamba Mimi ni Mzalendo halisi na sijawahi hata kufikiria kupoteza hati yangu ya uzalendo.
Ila sasa nimeanza kupata mashaka juu ya uibukaji Wa Taasisi Nyingi zinazojinasibu kuwa Asasi ya kizalendo zinazomtetea Mama..
Kifupi ni kwamba kinachonikera kwenye Taasisi hizi hata mama akisema kuku ni Tembo aliyechangamka wao watakuja na kuipamba story yake na kusema mama hajakosea watatoa nadharia kibao bila kurekebisha kauli alossma mama...
Kifupi wapo kupaka Rangi makosa ya serikali na kuzidi kung'arisha uovu..
Kwa mtizamo wa kisiasa Hiyo sio hali nzuri kwani ni bora ukutane na Nyoka au Simba, kuliko mzalendo unaye ipenda nchi yako uingie mikononi mwa hizi taasisi.
Swali langu ni Nani yuko nyuma ya hizi taasisi ambazo kwa sasa zina Matawi nchi nzima..?
Nani anazifadhili hizi taasisi kufungua matawi na ofisi nchi nzima??
Walianza #Chawa wa Mama Wakaja #Nyuki wa Mama wakafata #watoto wa mama wakaja #ulipotupo...
Sasa kuna #watetezi wa Mama sasa upo kundi gani
Mtetezi wa mamaππππ
View attachment 2748664
View attachment 2748666
Chawa wa mama πππππ
View attachment 2748667
#Nyuki wa Mamaa πππ
View attachment 2748668
Watu wanafanya kazi kwa hiyari na siyo kwa malipo ya aina yoyote ile.kinachoonekana kufanyika hivyo ni kutokana na uchapa kazi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.Lucas mwashambwa, Sir John Roberts mwongozo tafadhali
Mtu na akili zako unaitwa chawa wa mama? Tena wengine wanaume kabisa. Kweli akili ni nywele kila mtu ana zakeNawasalimia kwa Jina la JMT,
Naomba kudeclare interest kwamba Mimi ni Mzalendo halisi na sijawahi hata kufikiria kupoteza hati yangu ya uzalendo.
Ila sasa nimeanza kupata mashaka juu ya uibukaji Wa Taasisi Nyingi zinazojinasibu kuwa Asasi ya kizalendo zinazomtetea Mama.
Kifupi ni kwamba kinachonikera kwenye Taasisi hizi hata mama akisema kuku ni Tembo aliyechangamka wao watakuja na kuipamba story yake na kusema mama hajakosea watatoa nadharia kibao bila kurekebisha kauli alossma mama.
Kifupi wapo kupaka Rangi makosa ya serikali na kuzidi kung'arisha uovu.
Kwa mtizamo wa kisiasa Hiyo sio hali nzuri kwani ni bora ukutane na Nyoka au Simba, kuliko mzalendo unaye ipenda nchi yako uingie mikononi mwa hizi taasisi.
Swali langu ni Nani yuko nyuma ya hizi taasisi ambazo kwa sasa zina Matawi nchi nzima?
Nani anazifadhili hizi taasisi kufungua matawi na ofisi nchi nzima?
Walianza #Chawa wa Mama Wakaja #Nyuki wa Mama wakafata #watoto wa mama wakaja #ulipotupo...
Sasa kuna #watetezi wa Mama sasa upo kundi gani
Mtetezi wa mamaππππ
View attachment 2748664
View attachment 2748666
Chawa wa mama πππππ
View attachment 2748667
#Nyuki wa Mamaa πππ
View attachment 2748668
Muongozo wa nini wewe bavicha?Lucas mwashambwa, Sir John Roberts mwongozo tafadhali
π€£π€£π€£π€£Mtu na akili zako unaitwa chawa wa mama? Tena wengine wanaume kabisa. Kweli akili ni nywele kila mtu ana zake
Sasa kazi ya hiyari sawa hatujakata ila swali..Watu wanafanya kazi kwa hiyari na siyo kwa malipo ya aina yoyote ile.kinachoonekana kufanyika hivyo ni kutokana na uchapa kazi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Ikiwa mtu anajitoa kwahiyari yake maana yake ni hao hao watakaojitoa kwa hiyari katika kulipia ofisi na kuwavuta wengineSasa kazi ya hiyari sawa hatujakata ila swali..
- Nani anaorganise makongamano yao?
- Nani analipa kodi au ujenzi wa ofisi zao?
- Nani anafadhili vikosi vyote hivyo kujiendesha nchi nzima
Nawafahamu wachache ambao wapo chini ya hii kitu wanapokea posho kila mwezi na kwa sasa kuna baadhi wako maofisini..nchi nzima...Ikiwa mtu anajitoa kwahiyari yake maana yake ni hao hao watakaojitoa kwa hiyari katika kulipia ofisi na kuwavuta wengine
Mkuu hao wenyewe wanalipwa posho swali liko pale pale anayewalipa ni nani maana nina urafiki na mmoja wa viongozi wa juu wa chawa wa mama mkoa mmoja hiviIkiwa mtu anajitoa kwahiyari yake maana yake ni hao hao watakaojitoa kwa hiyari katika kulipia ofisi na kuwavuta wengine