Nani yuko Nyuma ya hizi taasisi za kumsemea Rais. Je, zinaendeshwa kwa ufadhili wa fedha za nani? Na Nini hasa makusudio Yake?

Akikujibu nitag mkuuπŸ˜„πŸ˜„
 
Wanalipwa kwa Fadhila na ambao hawajaanza kulipwa wanafanya ili kesho waweze kulipwa....; Kwahio imepelekea Taifa hili kuwa na Warudisha Maendeleo wanaojulikana kama Chawa...
Hahahaah 🀣🀣🀣
 
Wanatumia fursa wanatembea na beats za mbio za 2025 na washamjua kisaikojia anapenda sana sifa. Low self-esteem ndio ikogo hivyo, SSH kwenye Income Pyramid Stata alikuwa yuko chini sana as a person, kuwa na low self-esteem sio ajabu.
 
Tazama tu sura zao ndo utajua kuwa wote hao ni WACHAWI wenye njaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…