RWANDES
JF-Expert Member
- Jun 12, 2019
- 1,788
- 4,401
Kutokana hali iliyopo sasa, ikumbukwe kwamba mkuu wa mkoa Dar es Salaam, Amos Makalla juzi alikuta bomba la mafuta wilaya ya Kigamboni watu ambao hakuwagaja wamejiunganishia mafuta cha ajabu yeye alikamata watu mbalimbali na kusema kwamba ataunda kamati juu ya suala hilo. Tangu azungumzie swala hilo tayari kuna ukimya wa sintofahahamu hata mkuu wa TAKUKURU hajafuatilia suala hilo.
Tunachoona mitandaoni ni kuripoti taarifa za Sabaya tu hujuma ya bomba la mafuta pamoja na tani moja ya madawa ya kulevya yaliyolipotiwa mwezi uliyopita mambo hayo huwezi sikia yakiongelewa zaidi ya kusikia kesi ya Sabaya siku ya kuripoti mahakamani.
Je, kosa ni la wanandishi wa habari au kuna mtu yupo nyuma ya saga hiyo! Kwanini mkuu Takukuru hazungumzii kuhusu saga ya bomba la mafuta!
Naona kuna mahala hapapo sawa, Watanzania tuna kazi kubwa kupaza sauti sehemu tunapoona mambo hayaendi sawa tusikae kusifia tu hata tukiona mabaya tuyaseme bila kupepesa macho! Waandishi wa habari mna kila sababu ya kuhoji juu ya bomba la mafuta iwe kupitia kwa mkuu wa Takukuru au mkuu wa mkoa kujua ukweli wa jambo hilo.
Tunachoona mitandaoni ni kuripoti taarifa za Sabaya tu hujuma ya bomba la mafuta pamoja na tani moja ya madawa ya kulevya yaliyolipotiwa mwezi uliyopita mambo hayo huwezi sikia yakiongelewa zaidi ya kusikia kesi ya Sabaya siku ya kuripoti mahakamani.
Je, kosa ni la wanandishi wa habari au kuna mtu yupo nyuma ya saga hiyo! Kwanini mkuu Takukuru hazungumzii kuhusu saga ya bomba la mafuta!
Naona kuna mahala hapapo sawa, Watanzania tuna kazi kubwa kupaza sauti sehemu tunapoona mambo hayaendi sawa tusikae kusifia tu hata tukiona mabaya tuyaseme bila kupepesa macho! Waandishi wa habari mna kila sababu ya kuhoji juu ya bomba la mafuta iwe kupitia kwa mkuu wa Takukuru au mkuu wa mkoa kujua ukweli wa jambo hilo.