Nani yuko nyuma ya ‘Majaliwa adondoke’?

Nani yuko nyuma ya ‘Majaliwa adondoke’?

Wenye Macho tunaona!,
"Rosti-Tamu"imeingia jikoni....asiyekubali kula. "Rosti-Tamu" Atafungwa na "Kamba" za "Makamba"

Naona "Mjomba" Cheff maarufu wa
"I-Go-Unga"sasa ameamua kufunga mahesabu ya Mwaka,ni wazi sasa "Katelephone" anaandaliwa zengwe ili adondoke!

"Majaali -wa" yamesakamwa toka pande zote za utamu,kuanzia "Asali- Ganga"
Mpaka "Msogee-Zenji"

Sasa Wanamtaka Mama Saa-100, Avunje Nyumba ili tu.
Waondowe "Katelephone" kalikofungiwa ndani na "Makufuli."

Ni kwamba kwa sasa ni "katelephone"pekee "aliyebaki" miongoni mwa "Fenicha" zilizokuwa zimefungiwa kwa "Makufuli"

Sababu "Katelephone" kanaongea -ongea sana bila hata kubonyezwa "Button".
Na mbaya zaidi...kako karibu na Chumba anacholala Mama!

Ni ngumu misheni ya "twenti-thati"kukamilishwa bila kuondoa fenicha zilizokuwa zimefungwa na "Makufuli"
Sasa Zinafunguliwa kwa "Rosti- Tamu"
zinafungwa kwa
"Ma- Kamba" ya Ka- taani.

Ndio Maana "Kaa-Body" iliwekwa ndani ya Uzio.huku ikiwekewa
'KK-Guard"24×7×12.

"Look-Waive" iliwekwa ndani ya Uzio.huku ikiwekewa
"Kk-Guard" 24x7×7×12.

"Pale-pale" Pakasogezwa nje ya Uzio.
Sasa panacheza Golf huko "Mara-wee".

"Bash- Raw" ikawekwa mjengoni ili ijiwivishe yenyewe huku ikwa na 'Kk-Guard" 24×7x12..

"Kale-Maini" ikasogezwa 'Chai- toto" ipumzike!
Wakati Nguzo ya Taa- nee -sii -koo! ikifungwa Ma-kamba Mengine ili isinyanyuke kabla ya
"Sisi- Mbioni" nyingine ya Mjomba.

"Sio-Raw" ikapelekwa "Zoom-By-Bwey".

"My-beyi" Ikaachwa ipumzike bila kuchafua Bahari.
Maana Tufani ya Bahari ingeupukutisha kila Mnazi.

Na Fenicha zilizobakia zilizofungwa na "Makufuli" kwa Sasa,ni zile tu ambazo zimekubali kula "Asali"na "Rosti-Maini."

Majaa-liwa yatatokea Kwa kwa "Kate-phone"kupasuka kioo!

Tanzania.....
"Tunacheka ya Kulia"
"Tunalia ya kucheka"

"Bottom-Up" yetu ni zaidi ya ile ya "Root-Raw" kule
"Kanye West"

Tobaa!

Alamsikhi.
10101.
Mwacheni Majaliwa , anapiga kazi huko Ikulu.
Mlitaka aje Kariakoo?
 
Wenye Macho tunaona!,
"Rosti-Tamu"imeingia jikoni....asiyekubali kula. "Rosti-Tamu" Atafungwa na "Kamba" za "Makamba"

Naona "Mjomba" Cheff maarufu wa
"I-Go-Unga"sasa ameamua kufunga mahesabu ya Mwaka,ni wazi sasa "Katelephone" anaandaliwa zengwe ili adondoke!

"Majaali -wa" yamesakamwa toka pande zote za utamu,kuanzia "Asali- Ganga"
Mpaka "Msogee-Zenji"

Sasa Wanamtaka Mama Saa-100, Avunje Nyumba ili tu.
Waondowe "Katelephone" kalikofungiwa ndani na "Makufuli."

Ni kwamba kwa sasa ni "katelephone"pekee "aliyebaki" miongoni mwa "Fenicha" zilizokuwa zimefungiwa kwa "Makufuli"

Sababu "Katelephone" kanaongea -ongea sana bila hata kubonyezwa "Button".
Na mbaya zaidi...kako karibu na Chumba anacholala Mama!

Ni ngumu misheni ya "twenti-thati"kukamilishwa bila kuondoa fenicha zilizokuwa zimefungwa na "Makufuli"
Sasa Zinafunguliwa kwa "Rosti- Tamu"
zinafungwa kwa
"Ma- Kamba" ya Ka- taani.

Ndio Maana "Kaa-Body" iliwekwa ndani ya Uzio.huku ikiwekewa
'KK-Guard"24×7×12.

"Look-Waive" iliwekwa ndani ya Uzio.huku ikiwekewa
"Kk-Guard" 24x7×7×12.

"Pale-pale" Pakasogezwa nje ya Uzio.
Sasa panacheza Golf huko "Mara-wee".

"Bash- Raw" ikawekwa mjengoni ili ijiwivishe yenyewe huku ikwa na 'Kk-Guard" 24×7x12..

"Kale-Maini" ikasogezwa 'Chai- toto" ipumzike!
Wakati Nguzo ya Taa- nee -sii -koo! ikifungwa Ma-kamba Mengine ili isinyanyuke kabla ya
"Sisi- Mbioni" nyingine ya Mjomba.

"Sio-Raw" ikapelekwa "Zoom-By-Bwey".

"My-beyi" Ikaachwa ipumzike bila kuchafua Bahari.
Maana Tufani ya Bahari ingeupukutisha kila Mnazi.

Na Fenicha zilizobakia zilizofungwa na "Makufuli" kwa Sasa,ni zile tu ambazo zimekubali kula "Asali"na "Rosti-Maini."

Majaa-liwa yatatokea Kwa kwa "Kate-phone"kupasuka kioo!

Tanzania.....
"Tunacheka ya Kulia"
"Tunalia ya kucheka"

"Bottom-Up" yetu ni zaidi ya ile ya "Root-Raw" kule
"Kanye West"

Tobaa!

Alamsikhi.
10101.
Je Btoz samy anayajua haya!?
 
Wenye Macho tunaona!,
"Rosti-Tamu"imeingia jikoni....asiyekubali kula. "Rosti-Tamu" Atafungwa na "Kamba" za "Makamba"

Naona "Mjomba" Cheff maarufu wa
"I-Go-Unga"sasa ameamua kufunga mahesabu ya Mwaka,ni wazi sasa "Katelephone" anaandaliwa zengwe ili adondoke!

"Majaali -wa" yamesakamwa toka pande zote za utamu,kuanzia "Asali- Ganga"
Mpaka "Msogee-Zenji"

Sasa Wanamtaka Mama Saa-100, Avunje Nyumba ili tu.
Waondowe "Katelephone" kalikofungiwa ndani na "Makufuli."

Ni kwamba kwa sasa ni "katelephone"pekee "aliyebaki" miongoni mwa "Fenicha" zilizokuwa zimefungiwa kwa "Makufuli"

Sababu "Katelephone" kanaongea -ongea sana bila hata kubonyezwa "Button".
Na mbaya zaidi...kako karibu na Chumba anacholala Mama!

Ni ngumu misheni ya "twenti-thati"kukamilishwa bila kuondoa fenicha zilizokuwa zimefungwa na "Makufuli"
Sasa Zinafunguliwa kwa "Rosti- Tamu"
zinafungwa kwa
"Ma- Kamba" ya Ka- taani.

Ndio Maana "Kaa-Body" iliwekwa ndani ya Uzio.huku ikiwekewa
'KK-Guard"24×7×12.

"Look-Waive" iliwekwa ndani ya Uzio.huku ikiwekewa
"Kk-Guard" 24x7×7×12.

"Pale-pale" Pakasogezwa nje ya Uzio.
Sasa panacheza Golf huko "Mara-wee".

"Bash- Raw" ikawekwa mjengoni ili ijiwivishe yenyewe huku ikwa na 'Kk-Guard" 24×7x12..

"Kale-Maini" ikasogezwa 'Chai- toto" ipumzike!
Wakati Nguzo ya Taa- nee -sii -koo! ikifungwa Ma-kamba Mengine ili isinyanyuke kabla ya
"Sisi- Mbioni" nyingine ya Mjomba.

"Sio-Raw" ikapelekwa "Zoom-By-Bwey".

"My-beyi" Ikaachwa ipumzike bila kuchafua Bahari.
Maana Tufani ya Bahari ingeupukutisha kila Mnazi.

Na Fenicha zilizobakia zilizofungwa na "Makufuli" kwa Sasa,ni zile tu ambazo zimekubali kula "Asali"na "Rosti-Maini."

Majaa-liwa yatatokea Kwa kwa "Kate-phone"kupasuka kioo!

Tanzania.....
"Tunacheka ya Kulia"
"Tunalia ya kucheka"

"Bottom-Up" yetu ni zaidi ya ile ya "Root-Raw" kule
"Kanye West"

Tobaa!

Alamsikhi.
10101.
Hapa my beyi nimepotea msaada kituoni
 
Wenye Macho tunaona!,
"Rosti-Tamu"imeingia jikoni....asiyekubali kula. "Rosti-Tamu" Atafungwa na "Kamba" za "Makamba"

Naona "Mjomba" Cheff maarufu wa
"I-Go-Unga"sasa ameamua kufunga mahesabu ya Mwaka,ni wazi sasa "Katelephone" anaandaliwa zengwe ili adondoke!

"Majaali -wa" yamesakamwa toka pande zote za utamu,kuanzia "Asali- Ganga"
Mpaka "Msogee-Zenji"

Sasa Wanamtaka Mama Saa-100, Avunje Nyumba ili tu.
Waondowe "Katelephone" kalikofungiwa ndani na "Makufuli."

Ni kwamba kwa sasa ni "katelephone"pekee "aliyebaki" miongoni mwa "Fenicha" zilizokuwa zimefungiwa kwa "Makufuli"

Sababu "Katelephone" kanaongea -ongea sana bila hata kubonyezwa "Button".
Na mbaya zaidi...kako karibu na Chumba anacholala Mama!

Ni ngumu misheni ya "twenti-thati"kukamilishwa bila kuondoa fenicha zilizokuwa zimefungwa na "Makufuli"
Sasa Zinafunguliwa kwa "Rosti- Tamu"
zinafungwa kwa
"Ma- Kamba" ya Ka- taani.

Ndio Maana "Kaa-Body" iliwekwa ndani ya Uzio.huku ikiwekewa
'KK-Guard"24×7×12.

"Look-Waive" iliwekwa ndani ya Uzio.huku ikiwekewa
"Kk-Guard" 24x7×7×12.

"Pale-pale" Pakasogezwa nje ya Uzio.
Sasa panacheza Golf huko "Mara-wee".

"Bash- Raw" ikawekwa mjengoni ili ijiwivishe yenyewe huku ikwa na 'Kk-Guard" 24×7x12..

"Kale-Maini" ikasogezwa 'Chai- toto" ipumzike!
Wakati Nguzo ya Taa- nee -sii -koo! ikifungwa Ma-kamba Mengine ili isinyanyuke kabla ya
"Sisi- Mbioni" nyingine ya Mjomba.

"Sio-Raw" ikapelekwa "Zoom-By-Bwey".

"My-beyi" Ikaachwa ipumzike bila kuchafua Bahari.
Maana Tufani ya Bahari ingeupukutisha kila Mnazi.

Na Fenicha zilizobakia zilizofungwa na "Makufuli" kwa Sasa,ni zile tu ambazo zimekubali kula "Asali"na "Rosti-Maini."

Majaa-liwa yatatokea Kwa kwa "Kate-phone"kupasuka kioo!

Tanzania.....
"Tunacheka ya Kulia"
"Tunalia ya kucheka"

"Bottom-Up" yetu ni zaidi ya ile ya "Root-Raw" kule
"Kanye West"

Tobaa!

Alamsikhi.
10101.
Acheni siasa nyepesi za kutafuta huruma ili kuficha udhaifu,huyo PM Kama Ni failure Ni failure tuu..

Sidhani Kama.Rais anaweza mtaka PM ajiudhuru ili aanze kuunda Serikali upya,Hakuna kitu Kama hicho..

Hizi Ni kelele tuu Kama zile hupigwa kwa kina Mwigulu, January na Nape.
 
Acheni siasa nyepesi za kutafuta huruma ili kuficha udhaifu,huyo PM Kama Ni failure Ni failure tuu..

Sidhani Kama.Rais anaweza mtaka PM ajiudhuru ili aanze kuunda Serikali upya,Hakuna kitu Kama hicho..

Hizi Ni kelele tuu Kama zile hupigwa kwa kina Mwigulu, January na Nape.
Na unawezaje kumuwajibisha "PM" na Rais akawa bado msafi!

"Hizi sio kelele tu"
Labda kwako uliejaza asali kwenye fuvu badala ya Ubongo.

Wewe unayetumia Meno kutazama badala ya Macho!

Unayetumia Nguvu ya Tumbo,badala ya Nguvu ya Hoja!
Asali -Gang huwezi ona hiyo,sababu kijani imetawala Mzunguko wa Damu 100%
IMG-20221104-WA0008.jpg
 
Na unawezaje kumuwajibisha "PM" na Rais akawa bado msafi!

"Hizi sio kelele tu"
Labda kwako uliejaza asali kwenye fuvu badala ya Ubongo.

Wewe unayetumia Meno kutazama badala ya Macho!

Unayetumia Nguvu ya Tumbo,badala ya Nguvu ya Hoja!
Asali -Gang huwezi ona hiyo,sababu kijani imetawala Mzunguko wa Damu 100%View attachment 2412083
JK vs Lowasa..Rais ndio anamtaka PM ku sepa chukukia kesi Kama hii ya kufeli kuokoa maana Ni kazi ya PM au kesi Kama ya Dawasa..

Chubguza anavyoongoza Rais Samia Mara nyingi anazungumzia mipaka ya uongozi chini na juu na katoa nafasi ya Kila mtu kuwajibika kwa nafasi yake..
 
Wenye Macho tunaona!,
"Rosti-Tamu"imeingia jikoni....asiyekubali kula. "Rosti-Tamu" Atafungwa na "Kamba" za "Makamba"

Naona "Mjomba" Cheff maarufu wa
"I-Go-Unga"sasa ameamua kufunga mahesabu ya Mwaka,ni wazi sasa "Katelephone" anaandaliwa zengwe ili adondoke!

"Ma-ajali -waa!" yamesakamwa toka pande zote za utamu,kuanzia "Asali- Ganga"
Mpaka "Msogee-Zenji"

Toka Boo-coo-bar... Mpaka "Do-do!-me"
"Ma-ajali-waa!" Anatafutwa kudondoshwa!

Sasa Wanamtaka Mama Saa-100, Avunje Nyumba ili tu.
Waondowe "Katelephone" kalikofungiwa ndani na "Makufuli."

Ni kwamba kwa sasa ni "katelephone"pekee "aliyebaki" miongoni mwa "Fenicha" zilizokuwa zimefungiwa kwa "Makufuli"

Sababu "Katelephone" kanaongea -ongea sana bila hata kubonyezwa "Button".
Na mbaya zaidi...kako karibu na Chumba anacholala Mama!

Ni ngumu misheni ya "twenti-thati"kukamilishwa bila kuondoa fenicha zilizokuwa zimefungwa na "Makufuli"
Sasa Zinafunguliwa kwa "Rosti- Tamu"
zinafungwa kwa
"Ma- Kamba" ya Ka- taani.

Ndio Maana "Kaa-Body" iliwekwa ndani ya Uzio.huku ikiwekewa
'KK-Guard"24×7×12.

"Look-Waive" iliwekwa ndani ya Uzio.huku ikiwekewa
"Kk-Guard" 24x7×7×12.

"Pale-pale" Pakasogezwa nje ya Uzio."huko "Mara-wii!".
Sasa panacheza Golf .

"Bash- Raw" ikawekwa mjengoni ili ijiwivishe yenyewe huku ikwa na 'Kk-Guard" 24×7x12..

"Kale-Maini" ikasogezwa 'Chai- toto" ipumzike!
Wakati Nguzo ya Taa- nee -sii -koo! ikifungwa Ma-kamba Mengine ili isinyanyuke kabla ya
"Sisi- Mbioni" nyingine ya Mjomba.

"Sio-Raw" ikapelekwa "Zoom-By-Bwey".

"My-be-Yo" Ikaachwa ipumzike bila kuchafua Bahari.
Maana Tufani ya Bahari ingeupukutisha kila Mnazi.

Na Fenicha zilizobakia zilizofungwa na "Makufuli" kwa Sasa,ni zile tu ambazo zimekubali kula "Asali"na "Rosti-Maini."

"Ma-ajali-liwaa!" yatatokea Kwa kwa "Kate-phone"kupasuka kioo!

Tanzania.....
"Tunacheka ya Kulia"
"Tunalia ya kucheka"

"Bottom-Up" yetu ni zaidi ya ile ya "Root-Raw" kule
"Kanye West"

Tobaa!

Alamsikhi.
10101.
Huwez amini nimeelewa
 
Back
Top Bottom