Nani yuko nyuma ya ‘Majaliwa adondoke’?

Nani yuko nyuma ya ‘Majaliwa adondoke’?

Yajayo hayatabiriki!

Kama aliingia kwa wizi wa kura sioni shida yoyote akipigwa chini. Kazi anayoifanya, mtu yoyote anaweza kuifanya. Hii nchi haikuwa ya Magufuli useme mtu aliyemteua yeye kuwa ni muadilifu. Piga chini hao wahuni wote waliowekwa na Magufuli, kisha CCM waendelee kufanyiana hujuma mpaka hicho chama kichafu kikae pembeni.
 
Akimtoa Majaliwa na kwa jinsi Majaliwa anavyokubalika na watu kuliko yeye nadhani ndiyo atakuwa amempatia tiketi yake ya kuwa Rais wa JMT
Aende tu ACT akatulie na mzee wa michongo Zito Kabwela
 
Hata wakimuua kwetu ni poa tu. Mtu yoyote alishirikiana na dhalimu kunyanyasa wasiowasujudia ni fresh tu akifanyiwa kitu mbaya
Kwenu ukimaanisha wewe na mumeo na watoto wenu pasi na shaka
 
Wenye Macho tunaona!,
"Rosti-Tamu"imeingia jikoni....asiyekubali kula. "Rosti-Tamu" Atafungwa na "Kamba" za "Makamba"

Naona "Mjomba" Cheff maarufu wa
"I-Go-Unga"sasa ameamua kufunga mahesabu ya Mwaka,ni wazi sasa "Katelephone" anaandaliwa zengwe ili adondoke!

"Ma-ajali -waa!" yamesakamwa toka pande zote za utamu,kuanzia "Asali- Ganga"
Mpaka "Msogee-Zenji"

Toka Boo-coo-bar... Mpaka "Do-do!-me"
"Ma-ajali-waa!" Anatafutwa kudondoshwa!

Sasa Wanamtaka Mama Saa-100, Avunje Nyumba ili tu.
Waondowe "Katelephone" kalikofungiwa ndani na "Makufuli."

Ni kwamba kwa sasa ni "katelephone"pekee "aliyebaki" miongoni mwa "Fenicha" zilizokuwa zimefungiwa kwa "Makufuli"

Sababu "Katelephone" kanaongea -ongea sana bila hata kubonyezwa "Button".
Na mbaya zaidi...kako karibu na Chumba anacholala Mama!

Ni ngumu misheni ya "twenti-thati"kukamilishwa bila kuondoa fenicha zilizokuwa zimefungwa na "Makufuli"
Sasa Zinafunguliwa kwa "Rosti- Tamu"
zinafungwa kwa
"Ma- Kamba" ya Ka- taani.

Ndio Maana "Kaa-Body" iliwekwa ndani ya Uzio.huku ikiwekewa
'KK-Guard"24×7×12.

"Look-Waive" iliwekwa ndani ya Uzio.huku ikiwekewa
"Kk-Guard" 24x7×7×12.

"Pale-pale" Pakasogezwa nje ya Uzio."huko "Mara-wii!".
Sasa panacheza Golf .

"Bash- Raw" ikawekwa mjengoni ili ijiwivishe yenyewe huku ikwa na 'Kk-Guard" 24×7x12..

"Kale-Maini" ikasogezwa 'Chai- toto" ipumzike!
Wakati Nguzo ya Taa- nee -sii -koo! ikifungwa Ma-kamba Mengine ili isinyanyuke kabla ya
"Sisi- Mbioni" nyingine ya Mjomba.

"Sio-Raw" ikapelekwa "Zoom-By-Bwey".

"My-be-Yo" Ikaachwa ipumzike bila kuchafua Bahari.
Maana Tufani ya Bahari ingeupukutisha kila Mnazi.

Na Fenicha zilizobakia zilizofungwa na "Makufuli" kwa Sasa,ni zile tu ambazo zimekubali kula "Asali"na "Rosti-Maini."

"Ma-ajali-liwaa!" yatatokea Kwa kwa "Kate-phone"kupasuka kioo!

Tanzania.....
"Tunacheka ya Kulia"
"Tunalia ya kucheka"

"Bottom-Up" yetu ni zaidi ya ile ya "Root-Raw" kule
"Kanye West"

Tobaa!

Alamsikhi.
10101.
Kama kua hoja za msingi zijibiwe na kufanyiwa kazi, na kuwajibika wawajibike au wawajibshwe.

sio ramli chonganishi na kutafuta mchawi nani
 
Wenye Macho tunaona!,
"Rosti-Tamu"imeingia jikoni....asiyekubali kula. "Rosti-Tamu" Atafungwa na "Kamba" za "Makamba"

Naona "Mjomba" Cheff maarufu wa
"I-Go-Unga"sasa ameamua kufunga mahesabu ya Mwaka,ni wazi sasa "Katelephone" anaandaliwa zengwe ili adondoke!

"Ma-ajali -waa!" yamesakamwa toka pande zote za utamu,kuanzia "Asali- Ganga"
Mpaka "Msogee-Zenji"

Toka Boo-coo-bar... Mpaka "Do-do!-me"
"Ma-ajali-waa!" Anatafutwa kudondoshwa!

Sasa Wanamtaka Mama Saa-100, Avunje Nyumba ili tu.
Waondowe "Katelephone" kalikofungiwa ndani na "Makufuli."

Ni kwamba kwa sasa ni "katelephone"pekee "aliyebaki" miongoni mwa "Fenicha" zilizokuwa zimefungiwa kwa "Makufuli"

Sababu "Katelephone" kanaongea -ongea sana bila hata kubonyezwa "Button".
Na mbaya zaidi...kako karibu na Chumba anacholala Mama!

Ni ngumu misheni ya "twenti-thati"kukamilishwa bila kuondoa fenicha zilizokuwa zimefungwa na "Makufuli"
Sasa Zinafunguliwa kwa "Rosti- Tamu"
zinafungwa kwa
"Ma- Kamba" ya Ka- taani.

Ndio Maana "Kaa-Body" iliwekwa ndani ya Uzio.huku ikiwekewa
'KK-Guard"24×7×12.

"Look-Waive" iliwekwa ndani ya Uzio.huku ikiwekewa
"Kk-Guard" 24x7×7×12.

"Pale-pale" Pakasogezwa nje ya Uzio."huko "Mara-wii!".
Sasa panacheza Golf .

"Bash- Raw" ikawekwa mjengoni ili ijiwivishe yenyewe huku ikwa na 'Kk-Guard" 24×7x12..

"Kale-Maini" ikasogezwa 'Chai- toto" ipumzike!
Wakati Nguzo ya Taa- nee -sii -koo! ikifungwa Ma-kamba Mengine ili isinyanyuke kabla ya
"Sisi- Mbioni" nyingine ya Mjomba.

"Sio-Raw" ikapelekwa "Zoom-By-Bwey".

"My-be-Yo" Ikaachwa ipumzike bila kuchafua Bahari.
Maana Tufani ya Bahari ingeupukutisha kila Mnazi.

Na Fenicha zilizobakia zilizofungwa na "Makufuli" kwa Sasa,ni zile tu ambazo zimekubali kula "Asali"na "Rosti-Maini."

"Ma-ajali-liwaa!" yatatokea Kwa kwa "Kate-phone"kupasuka kioo!

Tanzania.....
"Tunacheka ya Kulia"
"Tunalia ya kucheka"

"Bottom-Up" yetu ni zaidi ya ile ya "Root-Raw" kule
"Kanye West"

Tobaa!

Alamsikhi.
10101.
Ramli mkuu.

Wananchi tunauona jamaa anafit kustaafu kabla hajastaafishwa
 
Nimefuatilia baadhi ya Magazeti likiwemo Raia Mwema likiripoti kutaka Waziri Mkuu Kassim Majaliwa angoke au atumbuliwe na Rais Samia

Huu ni mkakati mkubwa ambao una ufadhili mkubwa sana maana kama ni watendaji wabovu Serikalini wako wengi sana kuanzia Mawaziri, Makatibu Wakuu, Wakuu wa Mikoa na Wakuu wa Wilaya lakini WHY anashambuliwa Majaliwa tu?

Ni nani yuko nyuma ya jambo hili?
 
Back
Top Bottom