Yajayo hayatabiriki!
Aende tu ACT akatulie na mzee wa michongo Zito KabwelaAkimtoa Majaliwa na kwa jinsi Majaliwa anavyokubalika na watu kuliko yeye nadhani ndiyo atakuwa amempatia tiketi yake ya kuwa Rais wa JMT
Huyo ni Mmoja wa wasiotakiwa asilani.
Kwenu ukimaanisha wewe na mumeo na watoto wenu pasi na shakaHata wakimuua kwetu ni poa tu. Mtu yoyote alishirikiana na dhalimu kunyanyasa wasiowasujudia ni fresh tu akifanyiwa kitu mbaya
Kabudi,lukuvi,polepole,Mabeyo,sirro,kalemanietc
Watashindana hawatashindaKabudi,lukuvi,polepole,Mabeyo,sirro,kalemanietc
WOTE kabatini wametunzwa wasiharibu mission ya kipara 2030,
Majaliwa ni last kuwekwa kabatini
Master minder muajemi na Mmedi,mnyamwezi mweupe!!
Najaribu ku decode!
Retired cdfHapa my beyi nimepotea msaada kituoni
Kama kua hoja za msingi zijibiwe na kufanyiwa kazi, na kuwajibika wawajibike au wawajibshwe.Wenye Macho tunaona!,
"Rosti-Tamu"imeingia jikoni....asiyekubali kula. "Rosti-Tamu" Atafungwa na "Kamba" za "Makamba"
Naona "Mjomba" Cheff maarufu wa
"I-Go-Unga"sasa ameamua kufunga mahesabu ya Mwaka,ni wazi sasa "Katelephone" anaandaliwa zengwe ili adondoke!
"Ma-ajali -waa!" yamesakamwa toka pande zote za utamu,kuanzia "Asali- Ganga"
Mpaka "Msogee-Zenji"
Toka Boo-coo-bar... Mpaka "Do-do!-me"
"Ma-ajali-waa!" Anatafutwa kudondoshwa!
Sasa Wanamtaka Mama Saa-100, Avunje Nyumba ili tu.
Waondowe "Katelephone" kalikofungiwa ndani na "Makufuli."
Ni kwamba kwa sasa ni "katelephone"pekee "aliyebaki" miongoni mwa "Fenicha" zilizokuwa zimefungiwa kwa "Makufuli"
Sababu "Katelephone" kanaongea -ongea sana bila hata kubonyezwa "Button".
Na mbaya zaidi...kako karibu na Chumba anacholala Mama!
Ni ngumu misheni ya "twenti-thati"kukamilishwa bila kuondoa fenicha zilizokuwa zimefungwa na "Makufuli"
Sasa Zinafunguliwa kwa "Rosti- Tamu"
zinafungwa kwa
"Ma- Kamba" ya Ka- taani.
Ndio Maana "Kaa-Body" iliwekwa ndani ya Uzio.huku ikiwekewa
'KK-Guard"24×7×12.
"Look-Waive" iliwekwa ndani ya Uzio.huku ikiwekewa
"Kk-Guard" 24x7×7×12.
"Pale-pale" Pakasogezwa nje ya Uzio."huko "Mara-wii!".
Sasa panacheza Golf .
"Bash- Raw" ikawekwa mjengoni ili ijiwivishe yenyewe huku ikwa na 'Kk-Guard" 24×7x12..
"Kale-Maini" ikasogezwa 'Chai- toto" ipumzike!
Wakati Nguzo ya Taa- nee -sii -koo! ikifungwa Ma-kamba Mengine ili isinyanyuke kabla ya
"Sisi- Mbioni" nyingine ya Mjomba.
"Sio-Raw" ikapelekwa "Zoom-By-Bwey".
"My-be-Yo" Ikaachwa ipumzike bila kuchafua Bahari.
Maana Tufani ya Bahari ingeupukutisha kila Mnazi.
Na Fenicha zilizobakia zilizofungwa na "Makufuli" kwa Sasa,ni zile tu ambazo zimekubali kula "Asali"na "Rosti-Maini."
"Ma-ajali-liwaa!" yatatokea Kwa kwa "Kate-phone"kupasuka kioo!
Tanzania.....
"Tunacheka ya Kulia"
"Tunalia ya kucheka"
"Bottom-Up" yetu ni zaidi ya ile ya "Root-Raw" kule
"Kanye West"
Tobaa!
Alamsikhi.
10101.
Ramli mkuu.Wenye Macho tunaona!,
"Rosti-Tamu"imeingia jikoni....asiyekubali kula. "Rosti-Tamu" Atafungwa na "Kamba" za "Makamba"
Naona "Mjomba" Cheff maarufu wa
"I-Go-Unga"sasa ameamua kufunga mahesabu ya Mwaka,ni wazi sasa "Katelephone" anaandaliwa zengwe ili adondoke!
"Ma-ajali -waa!" yamesakamwa toka pande zote za utamu,kuanzia "Asali- Ganga"
Mpaka "Msogee-Zenji"
Toka Boo-coo-bar... Mpaka "Do-do!-me"
"Ma-ajali-waa!" Anatafutwa kudondoshwa!
Sasa Wanamtaka Mama Saa-100, Avunje Nyumba ili tu.
Waondowe "Katelephone" kalikofungiwa ndani na "Makufuli."
Ni kwamba kwa sasa ni "katelephone"pekee "aliyebaki" miongoni mwa "Fenicha" zilizokuwa zimefungiwa kwa "Makufuli"
Sababu "Katelephone" kanaongea -ongea sana bila hata kubonyezwa "Button".
Na mbaya zaidi...kako karibu na Chumba anacholala Mama!
Ni ngumu misheni ya "twenti-thati"kukamilishwa bila kuondoa fenicha zilizokuwa zimefungwa na "Makufuli"
Sasa Zinafunguliwa kwa "Rosti- Tamu"
zinafungwa kwa
"Ma- Kamba" ya Ka- taani.
Ndio Maana "Kaa-Body" iliwekwa ndani ya Uzio.huku ikiwekewa
'KK-Guard"24×7×12.
"Look-Waive" iliwekwa ndani ya Uzio.huku ikiwekewa
"Kk-Guard" 24x7×7×12.
"Pale-pale" Pakasogezwa nje ya Uzio."huko "Mara-wii!".
Sasa panacheza Golf .
"Bash- Raw" ikawekwa mjengoni ili ijiwivishe yenyewe huku ikwa na 'Kk-Guard" 24×7x12..
"Kale-Maini" ikasogezwa 'Chai- toto" ipumzike!
Wakati Nguzo ya Taa- nee -sii -koo! ikifungwa Ma-kamba Mengine ili isinyanyuke kabla ya
"Sisi- Mbioni" nyingine ya Mjomba.
"Sio-Raw" ikapelekwa "Zoom-By-Bwey".
"My-be-Yo" Ikaachwa ipumzike bila kuchafua Bahari.
Maana Tufani ya Bahari ingeupukutisha kila Mnazi.
Na Fenicha zilizobakia zilizofungwa na "Makufuli" kwa Sasa,ni zile tu ambazo zimekubali kula "Asali"na "Rosti-Maini."
"Ma-ajali-liwaa!" yatatokea Kwa kwa "Kate-phone"kupasuka kioo!
Tanzania.....
"Tunacheka ya Kulia"
"Tunalia ya kucheka"
"Bottom-Up" yetu ni zaidi ya ile ya "Root-Raw" kule
"Kanye West"
Tobaa!
Alamsikhi.
10101.
uko vzr,hujakoseaKabudi,lukuvi,polepole,Mabeyo,sirro,kalemanietc
WOTE kabatini wametunzwa wasiharibu mission ya kipara 2030,
Majaliwa ni last kuwekwa kabatini
Master minder muajemi na Mmedi,mnyamwezi mweupe!!
Najaribu ku decode!
Kwenu ukimaanisha wewe na mumeo na watoto wenu pasi na shaka
Haki bin hakiHata wakimuua kwetu ni poa tu. Mtu yoyote alishirikiana na dhalimu kunyanyasa wasiowasujudia ni fresh tu akifanyiwa kitu mbaya
Binti yangu ni mamako, huna adabu mjukuu.Hapana, kwetu mimi na mke wako, na wale mabinti zako.
Sina babu duwanzi wa aina yako.Binti yangu ni mamako, huna adabu mjukuu.
Umeshamuuliza mamako lakini?Sina babu duwanzi wa aina yako.