Nani yuko nyuma ya Nape? Mbona ana dharau kiasi hiki?

Brigadia Nnauye aliwajenga kisiasa vijana ndani ya Jeshi wakiwemo Kapteni Makamba, Kikwete na Kinana na hawa wanalipa fadhila ya Brigadia kwa kizazi chake.
Wanamuogopa mtoto wa marehemu?

Tutawaonyesha.
 
Huyo jamaa akili ndogo mno hazijai kisoda msamehe tu atajifunza baada ya muda kupita...
 
State criminal syndicate iliyomuua magufuli ikasingizia tatizo la moyo
 
Wakati wa Mzee alikuwa chwiiiiiii...! Kufa kufaana...!
 
Rais samia atengua uteuzi wa wizara ya habari,sanaa na uweukaji hovyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…